WAKO WAPI WATU WAKO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2017
- 2,373
- 3,139
Naunga mkono waende Chato...[emoji51][emoji34][emoji22]Wangeenda Chatto kabisa. Yaonyesha huko wataalamu wa kufukiza ndiyo makazi yao yaliko.
Mwandishi nae kilaza sana.Eti mkuu wa wilaya hana uhakika kama ni vurugu.. sasa kwa nini kapokea simu ? Kwa nini anatoa maelezo bila kua na fact ?
Ameshindwa kusema hata anasubiri report ili awe na fact za kuwaambia watu.
Samahani mkuu, ina maana hawajatoroka?Sophia simba anaficha ukweli
Ukweli ni huu hapa
Jana kuna mwanamke amefariki katika wodi ya corona
Madaktari na wauguzi awataki kuchukua ile maiti
Maiti imeshinda wodini kutwa nzima ya jana
Ikabidi wagonjwa wakaichukua ile maiti mbaka ofisi ya madaktari
Wakasema wagonjwa kama nyie Mnaona kukaa na maiti sio kesi kaeni nayo nyie
Madaktari, manesi na wauguzi pamoja na mapolisi wote kwa pamoja wakatoka nduli kila mtu na njia yake
Ndio sasa vurugu zikaanzia hapo wagonjwa wakavunja mageti wakarusha mawe
Kufika usiku ndio huduma zikarejea na wagonjwa wakaombwa msamaha
Hiyo ndio hali halisi ya Amana
Sent using Jamii Forums mobile app
HAPO NDIPO NAPOWALAANI WANAISHABIKIA CCM, YAMEKAA TU KUTAFUTA SIFA, MIPANGO YA UONGO MPAKA BOSI WAO KAKIMBIA NA KUJIFUNGIA CHATTLES, NADHANI SHIDA HAPA NI HUDUMA MBOVU KABISA.Maana yake huduma mbovu
Duh...!.Mkuu wa wilaya ya Ilala Bi.Sophia Mjema
===================
Mkuu wa wilaya ya Ilala Bi Sophia Simba
Mara hana hakika kama kuna vurugu! Mara wanajisikia wananafuu na wanaomba kurudi majumbani. Ila kichwa cha habari amethibisha kutokea vurugu! Nia yako nini sasa?Mkuu wa wilaya ya Ilala Bi.Sophia Mjema athibitisha wagonjwa kulazimisha kuondoka katika Hospitali ya Amana kurejea nyumbani.
===================
Mkuu wa wilaya ya Ilala Bi Sophia Simba amesema kuwa kulikuwa na wagonjwa ambao walikuwa hawataki kuendelea kukaa hospitali kwa kuwa walikuwa wanajihisi hawaumwi sana.
Hivyo akasema ikumbukwe kuwa mtu akifika hospitali kwa kuhisiwa kuwa na maambukizi ni lazima akae aangaliwe kwanza ndipo aruhusiwe lakini wao walikuwa hawataki bali walikuwa wanataka kurudi nyumbani.
Akasema pia hana hakika kama kweli kuna vurugu zilizotekea isipokuwa wagonjwa walikuwa wanapiga kelele wanataka kurudi nyumbani.
Pia akasema hana hakika kama kweli kuna wagonjwa ambao wametoroka hivyo wanafuatilia swala hilo kwa walinzi wa hospitali ili kujua kama ni kweli wametoroka basi wafatilie ni wagonjwa wangapi na wawafatilie wapo wapi.
''Hili hatuna taarifa hiyo bado hivyo ngoja tulifatilie kwa upande wa wenzetu maaskari wanaolinda hapo na kama wametoroka watakuwa wameendea wapi maana kama mtu alikuwa amehisiwa na anajulikana alitokea wapi hivyo atakwenda kufatiliwa kwenye mtaa aliotekea na atapatikanaili asiweze kwenda kueneza magonjwa kwa watu wengine''
Kwa sasa hospitalini hapo hali ni shwari hakuna tatizo lolote hivyo watulie tu wafatilie taratibu za hospitali na wale ambao wataonekana hawana tatizo wataruhusiwa na kuondoka.
Anasema kuwa watu wana hofu hivyo mtu akijiona hana dalili za ugonjwa kama mafua, kukohoa na kichwa kuuma ni kawaida kwa binadamu kutamani kuondoka, lakini kama alichukuliwa kwa kuwa na viashiria basi ni vyema wakatulia hospitali mpaka taratibu rasmi.
Na wale walio na viashiria hata wakirudi mtaani nako huko watu watawakimbia watawaambia warudi kwanza hospitali wapone ndipo warudi hospitali.
Na pia Amesema wananchi watulie wasikilize serikali inawaambia nini maana kama mgonjwa amepelekwa hospitali kwa kuwa na viashiria vya ugonjwa basi ni bora akatulia asubirie taratibu za hospitali, maana unaweza kaa siku mbili ukijiona kuwa u mzima na na baada ya siku mbili ukawa mgonjwa, hivyo ni bora kusubiri uruhusiwe kwa taratibu zilizowekwa maana hospitali sio jela bali ni kwa aliji ya kuangalia afya.
Mkuu wa wilaya ya Ilala Bi.Sophia Mjema athibitisha wagonjwa kulazimisha kuondoka katika Hospitali ya Amana kurejea nyumbani.
Mkuu wa wilaya ya Ilala Bi Sophia Simba amesema kuwa
Hao wote wasomeke kwenye idadi ya waliopona na katibu mkuu mpya atutangazie jioni.
😀😀Karibu mzee tujifukizeView attachment 1427711
Ndio kusema bado unaomba huu ugonjwa uenee ili utumalize?Duh! Habari mbaya sana hii,
Hii chain itakayotengenezwa hapo duh nchi haipo salama tena hii nawaonea huruma sana wazee na wenye magonjwa mengine mwilini ni kupukutika tu.
Wacha tufe tu watakao baki watatoa historia na ushuhuda miaka ijayo.
Mgonjwa wa Covid-19 ambae anashindwa hata kupumua ataweza kubeba maiti? Maana huu ugonjwa unaathiri sana mfumo wa hewa kwa muda mfupi sana.Sophia simba anaficha ukweli
Ukweli ni huu hapa
Jana kuna mwanamke amefariki katika wodi ya corona
Madaktari na wauguzi awataki kuchukua ile maiti
Maiti imeshinda wodini kutwa nzima ya jana
Ikabidi wagonjwa wakaichukua ile maiti mbaka ofisi ya madaktari
Wakasema wagonjwa kama nyie Mnaona kukaa na maiti sio kesi kaeni nayo nyie
Madaktari, manesi na wauguzi pamoja na mapolisi wote kwa pamoja wakatoka nduli kila mtu na njia yake
Ndio sasa vurugu zikaanzia hapo wagonjwa wakavunja mageti wakarusha mawe
Kufika usiku ndio huduma zikarejea na wagonjwa wakaombwa msamaha
Hiyo ndio hali halisi ya Amana
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ni tatizo la kutengwa na ndugu zao bila aliyewatenga kuwahudumia.Hapo ndio tatizo la wagonjwa kusambaa mikoni lilipo
Aseme na sababu zinazofanya walazimishe kuondoka na kutoroka
Unasema kweli?...Sophia simba anaficha ukweli
Ukweli ni huu hapa
Jana kuna mwanamke amefariki katika wodi ya corona
Madaktari na wauguzi awataki kuchukua ile maiti
Maiti imeshinda wodini kutwa nzima ya jana
Ikabidi wagonjwa wakaichukua ile maiti mbaka ofisi ya madaktari
Wakasema wagonjwa kama nyie Mnaona kukaa na maiti sio kesi kaeni nayo nyie
Madaktari, manesi na wauguzi pamoja na mapolisi wote kwa pamoja wakatoka nduli kila mtu na njia yake
Ndio sasa vurugu zikaanzia hapo wagonjwa wakavunja mageti wakarusha mawe
Kufika usiku ndio huduma zikarejea na wagonjwa wakaombwa msamaha
Hiyo ndio hali halisi ya Amana
Sent using Jamii Forums mobile app