Mimi sitakubali, nawashtakia Kwa Muumba aingilie kati,Mtikila alishamaliza kazi yake, mkuu. Na kifo chake, sote tunajua kilivyokuwa. Swali la msingi ni kwamba, hivi yupo mwingineyo wa kuthubutu japo kufikia robo yake?
Au, tuwaache tu watupeleke mputa mputa watakavyo?
Nawaona majirani hapa wanafungasha mizigo, eti wanahamia Burundi. hahaha
USALAMA wa Taifa KAZI yake nini?Tatizo Rais ana madaraka makubwa Tanzania kuliko mfalme. Ni kama mungu mtu.
Kwamba anaweza kujiamulia mambo nyeti kama haya yeye kama mtu mmoja. Anaweza asifuate maoni ya Watanzania milioni 60 na hakuna mtu, chombo cha kumuhoji, kumuwajibisha, kumuuliza kitu.
Maoni ya wananchi kwenye issue muhimu kama hii, loliondo, LNG ilitakiwa yazingatiwe, na issue kama tozo, matumizi ya mikopo/ kodi muhimu maoninya raia kuzingatiwa.
Kinga ya kutoshitakiwa iondolewe Kwa viongozi wote hadi Rais.
Bunge, mahakama, vyombo vya habari viwe na meno na Uhuru wa kuhoji, kupiga Kula ya kutokuwa na Imani na Rais kama anafanya vitu kinyume na maslahi ya Taifa.
Rais aweze kushtakiwa na mahakama kuwa huru kutoa hukumu bila kuingiliwa na yoyote.
Issue kama hii, umeme, loliondo na nyingine muhimu ingebidi Rais aulizwe maswali na vyombo vya habari / wananchi na atoe ufafanuzi.
Bila uwazi, uwajibikaji ni vigumu hii nchi kupiga hatua, kuepuka maamuzi yasiyo na tija kwa maslahi ya Taifa.
Mimi si mwanasheria, lakini Rais hawezi jiamulia vitu tu kuna context katika hilo na katiba imeweka wazi nje ya hapo ni kuvunja katiba na sheria inaruhusu kushitakiwa iwapo atavunja Katiba...Kwamba haijawahi kutokea yeyote akashitakiwa hili ni tatizo la nchi na wananchi zaidi kuliko Katiba...Labda mnipe mwongozo.Tatizo Rais ana madaraka makubwa Tanzania kuliko mfalme. Ni kama mungu mtu.
Kwamba anaweza kujiamulia mambo nyeti kama haya yeye kama mtu mmoja. Anaweza asifuate maoni ya Watanzania milioni 60 na hakuna mtu, chombo cha kumuhoji, kumuwajibisha, kumuuliza kitu.
Maoni ya wananchi kwenye issue muhimu kama hii, loliondo, LNG ilitakiwa yazingatiwe, na issue kama tozo, matumizi ya mikopo/ kodi muhimu maoninya raia kuzingatiwa.
Kinga ya kutoshitakiwa iondolewe Kwa viongozi wote hadi Rais.
Bunge, mahakama, vyombo vya habari viwe na meno na Uhuru wa kuhoji, kupiga Kula ya kutokuwa na Imani na Rais kama anafanya vitu kinyume na maslahi ya Taifa.
Rais aweze kushtakiwa na mahakama kuwa huru kutoa hukumu bila kuingiliwa na yoyote.
Issue kama hii, umeme, loliondo na nyingine muhimu ingebidi Rais aulizwe maswali na vyombo vya habari / wananchi na atoe ufafanuzi.
Bila uwazi, uwajibikaji ni vigumu hii nchi kupiga hatua, kuepuka maamuzi yasiyo na tija kwa maslahi ya Taifa.
Nenda kasome muswada.Ebu kwanza kabla ya kwenda mbali tujiridhishe je ni kweli hiyo miaka tunayoisema? Sidhani kama kuna mtu mwenye akili zake timamu ataruhusu mkataba wa hiyo miaka, kwakua variables zitajazotokea katika muda huo ni nyingi mno kiasi ambacho huwezi kufikiria kuwa hicho kitu kitaendelea kufaa miaka hiyo kama ilivyo leo.
ikiwa hili ni la kweli basi watanzania hata kama nikwakupigwa risasi wote tukafa tusikubali, its something so dangerous ni kama kusema hakuna ulinzi tena kwa Taifa letu and a person or a group can decide anyhow na hakuna jambo tutamfanya, kitu ambacho kinahatatisha usalama wa kila mtu na kila kitu kwa taifa letu kwa precedence kama hii itakayo ingiwa.
Ndiyo sababu naamini hili haliwezi kuwa kweli, na kama si kweli basi tusipotoshe raia na kusababisha mihemko isiyo ya lazima.
Mikataba hii ni mibaya,Alichofanya awamu ya pili Loliondo kinasumbua mpaka leo, na hakuna impact yoyote positive aliyofanya mwarabu kwa wananchi, hili la bandari litakuwa kitanzi.
Siwezi kuusoma acha niendelee kuamini ni uzushi....Nenda kasome muswada.
Kuwaza tu kuibinafsisha bandari Kwa wageni ni DHAMBI isiyosameheka!!!
Kibatala na Lissu hawawezi kum-interrupt adui yao, kama anafanya makosa. Naona jinsi wanavyoshangilia kimya kimya huku wakiongeza hoja kwenye kitimtimu cha siasa jukwaani. hahaAfufuke basi MTIKILA kufungua kesi ya kikatiba kupinga hili ikiwa KIBATALA na LISSU wameshindwa!!!!
Watu hawajifunzi kwa yale yanayotokea SA na Zimbabwe.Mikataba hii ni mibaya,
Magu aliishia tu kuchungulia Loliondo na kuacha,
Mikataba ya namna hii inaumiza Nchi na vizazi vijavyo,
Enyi mnaoshika zamu , Enyi walinzi wa Nchi hii msikae kimya.
Nchi hii ni yetu sote, itoshe kusema yatosha.
Ni huzuni kiasi Gani kuwa watumwa katika Nchi yetu wenyewe?
Kwanini tunasikia habari mbaya Kila uchao katika Nchi yetu?
Yaani tupoteze Ajira ya wtz, tupoteze biashara na Burundi, Zambia, DRC, Rwanda, Uganda sababu ya tamaa na kushindwa kuwajibika Kwa viongozi Wachache?Mtikila alishamaliza kazi yake, mkuu. Na kifo chake, sote tunajua kilivyokuwa. Swali la msingi ni kwamba, hivi yupo mwingineyo wa kuthubutu japo kufikia robo yake?
Au, tuwaache tu watupeleke mputa mputa watakavyo?
Nawaona majirani hapa wanafungasha mizigo, eti wanahamia Burundi. hahaha
USALAMA wa Taifa KAZI yake nini?
Hili halikubaliki!!!!!!!
CCM ni jangaUlifanyika uchaguzi 2020, Chama Cha mapinduzi kilimpa Magufuli na sa100 ilani waliyopitia nayo Nchi nzima kuinadi Kwa wananchi.
Katika ilani hiyo ya 2020, hakuna mahala popote CCM ilimuelekeza Magufuli na Sa100 kuuza au kukodisha bandari yetu ya Dar Kwa Miaka 100, Bali ilielekeza bandari hiyo iboreshwe na idhibiti wizi na ucheleweshaji wa mizigo Kutoka bandarini na kuongeza ufanisi Ili kuhudumia wananchi na majirani zetu.
Bandari ya Dar ni kitovu Cha Uchumi wetu, hivyo suala hili la kuuza bandari ni la kitaifa, linapasa litokane na ilani ya 2025.
Awamu ya nne, Rais Kagame aliwahi kuiomba bandari ya Dar aisimamie Kwa ufanisi, ombi Hilo wananchi tulilichukulia kama dharau Kwa Nchi yetu na tulikataa Kwa pamoja na kukubaliana kuwa tunaweza kuisimamia wenyewe bandari yetu.
Kama CCM haikuruhusu bandari kukodishwa kupitia ilani Ile ya 2020, Serikali ya Sa100 inatumia ilani ipi kutaka kuibinafsisha bandari ya Dar Kwa miaka 100 bila kupata ridhaa ya chama na wananchi kupitia SANDUKU la KURA?
Hapa alipogusa ni nyeti sana, kelele zitapigiwa Hadi na majirani wanaonufaika na Bandari ya Dar.Usalama iko chini ya Rais. Hakuna chombo Tanzania Chenye uwezo kiuhalisia kuhoji au kumuita Rais atoe ufafanuzi amefikiaje maamuzi fulani.
Trump ana kesi kadhaa na amefikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili.
Boris Johnson ameitwa kujitetea na kufafanua maamuzi yake wakati wa COVID na tume maalum ya uchunguzi.
Wachunguzi wamechukua mawasiliano yake ya simu, chats, notebook, SMS, WhatsApps, diaries, zake, yeye pia atahojiwa na tume.
Ukijua maamuzi yako kama siyo sahihi yatachunguzwa na kuna uwezekano wa kuwajibika na kuwajibishwa utajitahidi kuchukua maamuzi sahihi tofauti na ukijua hakuna uwajibikaji wala kuwajibishwa.
Hapa alipogusa ni nyeti sana, kelele zitapigiwa Hadi na majirani wanaonufaika na Bandari ya Dar.
Katika hili CCM wasisingiziwe,CCM ni janga
Kama mbuga,,,migodi,,gesi,, zinabinafsishwa na raia kuondolewa,,watashindwa bandari kwa hulka ya viongozi wetu na ubinafsi wa hovyo waliokuwa nao na kutojali maslahi yenye tija kwa taifa hili,,,Hili la bandari ni kweli kwa % 99.99!!Watu hawewezi kurupuka na kuropoka tuu ni lipo kama halipo Lipo njiani linakuja!!Ebu kwanza kabla ya kwenda mbali tujiridhishe je ni kweli hiyo miaka tunayoisema? Sidhani kama kuna mtu mwenye akili zake timamu ataruhusu mkataba wa hiyo miaka, kwakua variables zitakazojitokeza katika muda huo ni nyingi mno kiasi ambacho huwezi kufikiria kuwa hicho kitu kitaendelea kufaa miaka hiyo kama ilivyo leo.
ikiwa hili ni la kweli basi watanzania hata kama nikwakupigwa risasi wote tukafa tusikubali, its something so dangerous ni kama kusema hakuna ulinzi tena kwa Taifa letu and a person or a group can decide anyhow na hakuna jambo tutamfanya, kitu ambacho kinahatarisha usalama wa kila mtu na kila kitu kwa taifa letu kwa precedence kama hii itakayo ingiwa.
Ndiyo sababu naamini hili haliwezi kuwa kweli, na kama si kweli basi tusipotoshe raia na kusababisha mihemko isiyo ya lazima.
Wanaotekelwza hayo ni ukawa au mazimwi,?Katika hili CCM wasisingiziwe,
Ilani ipi inatumika kutekeleza haya?
Aulizwe mamlaka haya kayatoa wapi, ndani ya Chama kupitia ilani ipi?
Asubiri 2025 ikitokea kakabidhiwwa ilani inayoruhusu hayo ndipo aje kuomba ridhaa ya wananchi aone kama atatoboa!!!!!
Hiki ni kipindi Cha mpito, hapaswi kugusa sehemu nyeti namna hii!!!
Katika hili la Bandari, Janga ni Sa100!!Wanaotekelwza hayo ni ukawa au mazimwi,?
Ukimya wa CCM ni jibu kwamba imebariki hayo.
Janga letu ni CCM
Mimi si mwanasheria, lakini Rais hawezi jiamulia vitu tu kuna context katika hilo na katiba imeweka wazi nje ya hapo ni kuvunja katiba na sheria inaruhusu kushitakiwa iwapo atavunja Katiba...Kwamba haijawahi kutokea yeyote akashitakiwa hili ni tatizo la nchi na wananchi zaidi kuliko Katiba...Labda mnipe mwongozo.