Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh ukawatajia katiba mpya MACCM ni kama unawalazimisha kuja.mba hadharani.
Wao wanampango wa kutununulia sisi waalimu laptop mpyaaaaa kotoka china,
alafu watugawie vijiji vyote nchini mil50 "TZS" kwa kila kijiji (vijiji 12,000 * 50,000,000 = 600,000,000,000 i.e bil 600),
alafu wakimaliza watujengee kiwanda cha samaki teh teh teh (huku Kanda ya ziwa tunakula mapanki),
alafu wakimaliza wawagawie wachina gesi na mafuta ya nchi hii,
alafu wakimaliza wazindue vyoo tutakavyojengewa na wachina kwa thamani ya mabilioni,
alafu wakimaliza tuwapigie makofi na kuimba iyena iyena,
na wao wahitimishe kwa kutuita sisi WAPU.MBAVU na MAL.OFA.
Huyu magufuli hana jipya wizara yake ya ujenzi imefeli, wakandarasi wanaidai serikali mpaka wengine wamekufa kwa presha kwa madeni kwenye mabenki halafu eti ndio jembe? Huyu ndio mchapakazi wa ccm wizara imemshinda nchi ataiwezaje? Magufuli angejitazama kwanza ndio aanze kampeni hafai hafiti ni janga lingine nchi hii.
Vipaumbele:
1. Elimu
2. Afya
3. Kilimo
4. Miundombinu
5. Utawala bora
6. Mawasiliano
Swali: Je, kwa takribani miaka 54 ya kuwa madarakani wametekeleza hayo kwa kiwango gani cha kuridhisha wananchi?!
Je, kwa sasa kuna miujiza gani watakayotumia kutekeleza ilani hiyo?
Ilani kuu ya uchaguzi 2005 na 2010: Kasi mpya, Ari Mpya na Nguvu Mpya iliishia wapi? Maisha bora kwa kila mtanzania yako wapi? Nadhani ccm wanawaona watanzania kama mazuzu hivi, maana wanabadilisha biti tu lakini wimbo ni uleule!
Ndugu wewe.hujaona serikari iliyokufanyia mpaka na wewe leo unajitambua? Leo umepata elimu kupitia shule.zilizojengwa na serikari ya ccm na una afya njema sasa hivi kupitia serikari ya ccm inakuaje unaanza kudharau waliokupa hiyo elimu yako ukajitambua. Hata siasa haiko.hivo ukawa mmezidi na tumewashtukia
Duh ila kweli hakuna mtu angepiga sound aisee maana ni majangaaaaCCM ingezaliwa demu mwaka 2015 isingepata hata men wa Sound!!
Atawavusha nyie na liccm lenu, ila sio Tanzania!! mwenye uwezo wa kuivusha tanzania ni Lowassa tu!!!yeye kama kiongozi mkuu wa awamu ya tano, inatakiwa umhukumu kwa aliyoysema pia muangalie usoni na anachokisema je kinaendana , dr maghufuli atatuvusha ni kiongozi mwenye muono wa miaka 100 ijayo,
TM 2015( Twende na Maghufuli 2015)
Hapa kazi tu
Unachesha kweli!! Kama ccm mmeshindwa kwa miaka zaidi ya hamsini je miaka 5 mtaweza ?? embu usijitoe ufahamu wewe mtoto.naamini Tanzania tutakuwa na kupaa kiuchumi kuliko utawala wowote
Katiba mpya ilikuwa gia ya kikwete ya kupiga hela za walalahoi na malofa tu.hawakuwa na dhamira ya dhati ndio maana wapo kimya
Bora umefunguka aisee kama una ushahidi zaidi wa jinsi alivyopiga hela njoo nao uweke hapa ili tuheshimiane!
Ndugu wana JF
sikubahatika kuangalia uzinduzi wa kampeni za CCM,kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu
KWA WALIOBAHATIKA KUANGALIA NAOMBA KUJUZWA KAMA HAWA WALIONGELEA ISSUE YEYOTE KUHUSIANA NA SWALA LA KATIBA MPYA MAANA BADO IKO PENDING
NAOMBA KUWASILISHA