secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Kwani wameshaongezewa hizo increment,mishahara na kupandishwa madaraja!?Mungu fundi sana kulibeba liwe jiwe. kwa ilani hii watumishi increment na madaraja wangeendelea kuota. yani wangelimia ulimi..
Manake pamoja na uchumi kushuka corona mwamba angekomaa kutandaza mivyuma ardhini...Mungu ni mwema.
au hali iko vile vile