Kutoka malalamiko ya kuibiwa kura mpaka malalamiko ya kutonunua Bvr kit mpya!Hakukuwa na majibu zaidi ya utapeli na hofu ya PAC ili wasitekwe na kundi la jiwe la watu wasiojulikana.
Uchaguzi mkuu, wakati wa JK uchaguzi wa 2015 kulikuwa na BVR KITI mpya nchi nzima, uchaguzi ule haikufika 300b, lakini uchaguzi huu wa majizi wanasema wametumia 300b+, wakati hawajanunua hata BVR KIT moja, na wakati wa kujiandikisha walikuwa wanapita na tano chakavu. Ni wapi majizi yamepeleka 300b+?
Kutoka malalamiko ya kuibiwa kura mpaka malalamiko ya kutonunua Bvr kit mpya!
Wewe ndugu, unaleta swaga mpya? Bvr kit?
Kuna kipindi Watanzania walijenga kasumba mbaya sana. Kwamba kila mradi wa serikali ukifanyika lazima watu wapige dili na kisha wao kuporomosha majumba na kununua magari ya kifahari.
Awamu hii mambo yamebadilika maana pesa ya serikali inatolewa macho na mtu huwezi kuidokoa hovyo hovyo.
Leo hii tunashudia mil 700+ zilizotolewa na Mh rais wa JMT kujenga majengo ya utawala na mabweni kwa ajili ya maafisa pale DPA ikikamilika ndani ya mwaka mmoja.
Ikumbukwe majengo yaliyotumika yalikuwa yameachwa na mkoloni tangu mwaka 1958. Leo hii ndani ya mwaka mmoja yanapatina majengo mapya ya kiwango cha kisasa kabisa.
My take; Je, mliosema kuwa hii nchi sio barabara na JPM haiwezi kuiyoosha hamuoni aibu? Maana imenyooshwa vizuri tu japokuwa kuna vikwazo kidogo.
Sijavaa Aiseee...... Ndo shida imeanzia hapo.Mkuu umechanganya topic, umevaa miwani yako leo? 🤣 🤣
Sijavaa Aiseee...... Ndo shida imeanzia hapo.
Yaani nmekumbuka tu kuvaa barakoa kama mleta uzi alivyoshauri kuwa kwa sasa inabidi popote tuvae barakoa.
Prof. ASSAD asingeng'olewa uCAGFuatilia kwa umakini, utajua kuwa tril 1.5 hazikupigwa.