Ile dhana potofu kuwa ufisadi ni maendeleo sasa haipo. Kila pesa ya serikali inafanya kazi inavyostahili

Ile dhana potofu kuwa ufisadi ni maendeleo sasa haipo. Kila pesa ya serikali inafanya kazi inavyostahili

Hakukuwa na majibu zaidi ya utapeli na hofu ya PAC ili wasitekwe na kundi la jiwe la watu wasiojulikana.

Uchaguzi mkuu, wakati wa JK uchaguzi wa 2015 kulikuwa na BVR KITI mpya nchi nzima, uchaguzi ule haikufika 300b, lakini uchaguzi huu wa majizi wanasema wametumia 300b+, wakati hawajanunua hata BVR KIT moja, na wakati wa kujiandikisha walikuwa wanapita na tano chakavu. Ni wapi majizi yamepeleka 300b+?
Kutoka malalamiko ya kuibiwa kura mpaka malalamiko ya kutonunua Bvr kit mpya!
 
Kutoka malalamiko ya kuibiwa kura mpaka malalamiko ya kutonunua Bvr kit mpya!

Naweka rekodi vizuri sheikh, kutokununua bvr kit mpya lengo ilikuwa ni kufanikisha huo upuuzi wa wizi wa kura.
 
Naweka rekodi vizuri sheikh, kutokununua bvr kit mpya lengo ilikuwa ni kufanikisha huo upuuzi wa wizi wa kura.
Wewe ndugu, unaleta swaga mpya? Bvr kit?
 
Njoo huku mwanza halmashauri ya ilemela, utajionea jinsi mbunge na mkurugenzi wanavyipiga hela. Madiwani wao wanahongwa tu elfu 50 wanabaki kupiga tu makofi. Kwa kifupi awamu hii ndiyo watu wanapiga hela kinoma
 
Njoo huku mwanza halmashauri ya ilemela, utajionea jinsi mbunge na mkurugenzi wanavyipiga hela. Madiwani wao wanahongwa tu elfu 50 wanabaki kupiga tu makofi. Kwa kifupi awamu hii ndiyo watu wanapiga hela kinoma
Labuda
 
Kwa nchi za kiafrika ni ndoto kumaliza ufisadi,, angalia we mwenyewe chaguzi,, ile ni rushwa kubwa
 
Kuna kipindi Watanzania walijenga kasumba mbaya sana. Kwamba kila mradi wa serikali ukifanyika lazima watu wapige dili na kisha wao kuporomosha majumba na kununua magari ya kifahari.

Awamu hii mambo yamebadilika maana pesa ya serikali inatolewa macho na mtu huwezi kuidokoa hovyo hovyo.

Leo hii tunashudia mil 700+ zilizotolewa na Mh rais wa JMT kujenga majengo ya utawala na mabweni kwa ajili ya maafisa pale DPA ikikamilika ndani ya mwaka mmoja.

Ikumbukwe majengo yaliyotumika yalikuwa yameachwa na mkoloni tangu mwaka 1958. Leo hii ndani ya mwaka mmoja yanapatina majengo mapya ya kiwango cha kisasa kabisa.

My take; Je, mliosema kuwa hii nchi sio barabara na JPM haiwezi kuiyoosha hamuoni aibu? Maana imenyooshwa vizuri tu japokuwa kuna vikwazo kidogo.
 
Samahani mkuu hivi ile Mv Dar es Salaam unatumika wapi
 
Back
Top Bottom