Ili kuepusha foleni za ajabu ajabu, kwanini Rais Samia na wenzake wasiwe wanatumia Helikopta?

Ili kuepusha foleni za ajabu ajabu, kwanini Rais Samia na wenzake wasiwe wanatumia Helikopta?

Huwezi kumuelewa huyu Hadi upitie nyuzi zake zingine ..
Kuna nyuzi anamsafisha Philip Mpango...pitia ...halafu kuna nyuzi anampa pongezi Kardinali Rugambwa....

Huyu ana chuki za kidini...
Hatachukia foleni iwapo Rais angekuwa mkatoliki mwenzake
Sifia na wewe waislamu wenziyo, hujakatazwa bwana IS.
 
Huwezi kumuelewa huyu Hadi upitie nyuzi zake zingine ..
Kuna nyuzi anamsafisha Philip Mpango...pitia ...halafu kuna nyuzi anampa pongezi Kardinali Rugambwa....

Huyu ana chuki za kidini...
Hatachukia foleni iwapo Rais angekuwa mkatoliki mwenzake
Mkuu,

Mbona unatoka kwenye kujadili hoja, unakwenda kumshutumu mtoa hoja kwa ad hominem attack?

Surely, even a broken clock can be right twice a day, no?

Tujadili hoja, kumjadili mtu ni kama tumeshindwa kujadili hoja.
 
Kwa nini asimlaumu Samia?

Kwani Samia haoni hili tatizo?

Tatizo lilokuwapo tangu siku nyingi lisitatuliwe leo kwa sababu ni la siku nyingi?

Unajua Samia ndiye mkuu wa mfumo wote wa utawala, na lawama za mfumo wote wa utawala zinaishia kwake?

Unajua maana ya "The Buck Stops With The President"?
Kwann iwe kwa Samia na sio waliopita? Ndio hoja yang, huu utaratib umekua kero kwa kila awamu, jukumu la lawama wapelekewe security system cz wao ndio hupanga utaratib wa kiusalama!!! NB; Makosa ya tangu zaman mpaka sasa asilaumiwe Samia!!! Over!
 
Mkuu,

Mbona unatoka kwenye kujadili hoja, unakwenda kumshutumu mtoa hoja kwa ad hominem attack?

Surely, even a broken clock can be right twice a day, no?

Tujadili hoja, kumjadili mtu ni kama tumeshindwa kujadili hoja.

Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Achana na huyo mjinga, ni mpuuzi!

Kipindi cha Magufuli alikuwa akimpinga kwa sababu ya dini sasa akili yake ilivyooza kila anaye mpinga bi chaunabe anahisi ni kwa sababu ya dini yake kama alivyo kuwa akifanya yeye.

Kingine, jamaa ana tabia za kinoko noko. Namaanisha ni MNOKO FULANI HIVI!
 
Sio Kila mara ndugu.. pima na level za nchi ktk ulinzi wa aina fulani kwaajili ya usalama mi sishauri atumie helicopter! Just for emergency
Kama nchi inashindwa kudhibiti usalama wa rais wake kutumia helikopta, kwa safari fupi za mjini, basi haina haki ya kuwa nchi na kujitawala.

Kama unashindwa kudhibiti usalama wa mtu mmoja kutumia helikopta kwa safari fupi za mjini, utaweza vipi kulinda usalama wa nchi nzima yenye mamilioni ya watu?

Hspa sababu kubwa ni juwa rsis anataka aonekane tu, kwenye helikopta haonekani vizuri.
 
Ni dhana potofu kudhani eti Rais kutumia helkopta ni kuhatarisha usalama wake marais kibao wanatumia hizo helkopta miaka na miaka nothing bad happened.kuna modern chops kibao ambazo zitamfanya mama afike Magogoni safe kabisa
 
Hapa umeonyesha zaid chuki kwa Samia, sometimes huyu maza mnamchukia bila sababu. Issue ya foleni Rais kupita ni kawaida kwa wote, angalau hata awamu iliyopita kulikua na msururu wa magari hatar!! Hoja itolewe kushauri namna ya kupunguza folen pindi Rais akipita.
Sasa mtu kutoa ushauri ni chuki? Alieturoga ngozi nyeusi atuhurumie
 
Sema suala jingine, lakini si gharama.

Ukipiga mahesabu ya kiuchumi productivity inayopotea kwa watu kusubiri msafara wa rais upite ni kubwa sana, hiyo gharama ya msafara wa helikopta ni ndogo sana ukiilinganisha na gharama ya productivity ya maelfu wa watu wanaokwama kwenye foleni.
Gharama ya Kumpata Rais mwingine ni Bora tuchelewe kwenye Foleni.
 
Huwezi kumuelewa huyu Hadi upitie nyuzi zake zingine ..
Kuna nyuzi anamsafisha Philip Mpango...pitia ...halafu kuna nyuzi anampa pongezi Kardinali Rugambwa....

Huyu ana chuki za kidini...
Hatachukia foleni iwapo Rais angekuwa mkatoliki mwenzake
Tena wewe Ostadhi ndio mdini wa kutupwa sasa kadrinali kaingiaje hapa kwenye foleni?
 
Gharama ya Kumpata Rais mwingine ni Bora tuchelewe kwenye Foleni.
Ume assume kwamba usafiri wa helikopta utasababisha tulazimike kumpata rais mwingine.

Marais wa Marekani wanatumia helikopta inaitwa Marine One all the time.

Wanatumia kutoka Airport ya Andrews Air Force Base kwenda White House, kutoka White House kwenda Camp David, and back. Mara nyingi sana.

Na hakuna rais wa Marekani aliyekufa kwenye ajali ya helikopta.
 
Kama nchi inashindwa kudhibiti usalama wa rais wake kutumia helikopta, kwa safari fupi za mjini, basi haina haki ya kuwa nchi na kujitawala.

Kama unashindwa kudhibiti usalama wa mtu mmoja kutumia helikopta kwa safari fupi za mjini, utaweza vipi kulinda usalama wa nchi nzima yenye mamilioni ya watu?

Hspa sababu kubwa ni juwa rsis anataka aonekane tu, kwenye helikopta haonekani vizuri.
Watu tunafikiria tofauti...😅
 
Back
Top Bottom