KIXI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 1,955
- 2,465
Wewe kichwani kwako kuna ma+viHujitambui kbs!! Unadhan Rais ndio anaamua kuhusu usalama wake? Mfumo wa kiusalama ndio hufany maamuz. Achana na mamb ya vijiwen, usifikir ukiwa Rais kila jambo unajiamulia tu!!