Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
- Thread starter
-
- #21
Sifia na wewe waislamu wenziyo, hujakatazwa bwana IS.Huwezi kumuelewa huyu Hadi upitie nyuzi zake zingine ..
Kuna nyuzi anamsafisha Philip Mpango...pitia ...halafu kuna nyuzi anampa pongezi Kardinali Rugambwa....
Huyu ana chuki za kidini...
Hatachukia foleni iwapo Rais angekuwa mkatoliki mwenzake
Mkuu,Huwezi kumuelewa huyu Hadi upitie nyuzi zake zingine ..
Kuna nyuzi anamsafisha Philip Mpango...pitia ...halafu kuna nyuzi anampa pongezi Kardinali Rugambwa....
Huyu ana chuki za kidini...
Hatachukia foleni iwapo Rais angekuwa mkatoliki mwenzake
Kuna agenda ya udini kwenye andiko hili ewe mtoka pabaya?! Kuna dini inaitwa foleni siku hizi?!Alafu amejivika u-ccm. Kama vyama vya upinzani wanatumia ajenda ya kupandikiza chuki za dini na ukabila wanafeli sana.
Kwa hivyo nje wakila mavi na wewe utakula mavi kwa sababu nje wanakula mavi?Sio Tanzania Tu Hata nje Foleni zipo wakati Raisi Anapita.
Usalama mdogoHizo foleni za kijinga kwa nini Rais Samia na wenzake wasitumie ndege kata upepo kutoka uwanja wa ndege hadi huko Ikulu ya Dar es Salaam?
Viongozi wengi (waliochaguliwa kwa haki) hata huko Duniani wanatumia ndege upepo kuepusha misongamano isiyo na maana.
Tumechoka aisee!
Kwann iwe kwa Samia na sio waliopita? Ndio hoja yang, huu utaratib umekua kero kwa kila awamu, jukumu la lawama wapelekewe security system cz wao ndio hupanga utaratib wa kiusalama!!! NB; Makosa ya tangu zaman mpaka sasa asilaumiwe Samia!!! Over!Kwa nini asimlaumu Samia?
Kwani Samia haoni hili tatizo?
Tatizo lilokuwapo tangu siku nyingi lisitatuliwe leo kwa sababu ni la siku nyingi?
Unajua Samia ndiye mkuu wa mfumo wote wa utawala, na lawama za mfumo wote wa utawala zinaishia kwake?
Unajua maana ya "The Buck Stops With The President"?
Kuna agenda ya udini kwenye andiko hili ewe mtoka pabaya?! Kuna dini inaitwa foleni siku hizi?!
Kwa hivyo nje wakila mavi na wewe utakula mavi kwa sababu nje wanakula mavi?
Achana na huyo mjinga, ni mpuuzi!Mkuu,
Mbona unatoka kwenye kujadili hoja, unakwenda kumshutumu mtoa hoja kwa ad hominem attack?
Surely, even a broken clock can be right twice a day, no?
Tujadili hoja, kumjadili mtu ni kama tumeshindwa kujadili hoja.
Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Kama nchi inashindwa kudhibiti usalama wa rais wake kutumia helikopta, kwa safari fupi za mjini, basi haina haki ya kuwa nchi na kujitawala.Sio Kila mara ndugu.. pima na level za nchi ktk ulinzi wa aina fulani kwaajili ya usalama mi sishauri atumie helicopter! Just for emergency
Huna hoja!.......Ishikilie japo kidogo akili aliyokupa Mungu. Utakuwa wa maana sana.
Sasa mtu kutoa ushauri ni chuki? Alieturoga ngozi nyeusi atuhurumieHapa umeonyesha zaid chuki kwa Samia, sometimes huyu maza mnamchukia bila sababu. Issue ya foleni Rais kupita ni kawaida kwa wote, angalau hata awamu iliyopita kulikua na msururu wa magari hatar!! Hoja itolewe kushauri namna ya kupunguza folen pindi Rais akipita.
Gharama ya Kumpata Rais mwingine ni Bora tuchelewe kwenye Foleni.Sema suala jingine, lakini si gharama.
Ukipiga mahesabu ya kiuchumi productivity inayopotea kwa watu kusubiri msafara wa rais upite ni kubwa sana, hiyo gharama ya msafara wa helikopta ni ndogo sana ukiilinganisha na gharama ya productivity ya maelfu wa watu wanaokwama kwenye foleni.
Toa ushauri kwa security system inayo arrange masuala ya kiusalama barabarani!!Sasa mtu kutoa ushauri ni chuki? Alieturoga ngozi nyeusi atuhurumie
ChopaNi dhana potofu kudhani eti Rais kutumia helkopta ni kuhatarisha usalama wake marais kibao wanatumia hizo helkopta miaka na miaka nothing bad happened.kuna modern chops kibao ambazo zitamfanya mama afike Magogoni safe kabisa
Tena wewe Ostadhi ndio mdini wa kutupwa sasa kadrinali kaingiaje hapa kwenye foleni?Huwezi kumuelewa huyu Hadi upitie nyuzi zake zingine ..
Kuna nyuzi anamsafisha Philip Mpango...pitia ...halafu kuna nyuzi anampa pongezi Kardinali Rugambwa....
Huyu ana chuki za kidini...
Hatachukia foleni iwapo Rais angekuwa mkatoliki mwenzake
Ume assume kwamba usafiri wa helikopta utasababisha tulazimike kumpata rais mwingine.Gharama ya Kumpata Rais mwingine ni Bora tuchelewe kwenye Foleni.
Mkuu wa nchi ni nan? Watu weusi tumelaaniwaToa ushauri kwa security system inayo arrange masuala ya kiusalama barabarani!!
Watu tunafikiria tofauti...😅Kama nchi inashindwa kudhibiti usalama wa rais wake kutumia helikopta, kwa safari fupi za mjini, basi haina haki ya kuwa nchi na kujitawala.
Kama unashindwa kudhibiti usalama wa mtu mmoja kutumia helikopta kwa safari fupi za mjini, utaweza vipi kulinda usalama wa nchi nzima yenye mamilioni ya watu?
Hspa sababu kubwa ni juwa rsis anataka aonekane tu, kwenye helikopta haonekani vizuri.