Ili kuepusha foleni za ajabu ajabu, kwanini Rais Samia na wenzake wasiwe wanatumia Helikopta?

Sasa wakitumia kata upepo ma vx atapanda nani mtaonaje ana ulinzi mkali hela za walipa kodi zitalikaje
 
Shida Ya Miji yetu sio Foleni ni Wizi mkubwa na watu kutotii sheria barabara zina matuta mengi sana ya nini??? Kwanini tusiweke Camera yule anaevunja sheria apigwe picha adhabu kali ichukuliwe...

Rais Na makamu na PM tu watumie Vingora tena wkaiwa njiani wengine wote sijui IGP sijui Mnauye tukae nao foleni na na wasitanue...
TUJENGE TREN ZA chini ya ardhi na hii inawezekana kabisa kabisa tukizuia majizi...Tujenge Treni za juu hapo Mwendonkasi na bafabara ziwe 4 kila upande hutaona foleni
 
Watu tunafikiria tofauti...[emoji28]
Tungefikiria sawa tusingehitaji JF.

Unakuja JF kufanya nini kama fikra zetu wote sawa?

Back to the topic.

Kwa nini marais wa Tanzania wanapenda kuwawekea watu foleni kubwa na hawapendi kutumia helikopta na kuondoa hizi foleni na hata kuokoa muda wao wenyewe?

Marais wa US mara nyingi wanatumia helikopta kutoka White House mpaka airport ya Andrews Air Force Base, au kwenda Camp David na kurudi White House.

Kwa nini sisi hatufanyi hivyo?

Dar Airport mpaka Ikulu si safari ndefu hivyo kwa mfano.
 
Kuna watu wanamdharau sana Rais Samia,yaani wanaona kama vile haoni foleni zinazoweza kuepukika.Eti usimseme Samia,laumu utawala.Rais mwenyewe ni sehemu ya hao watawala,sioni shida kumsema yeye pia.
 
Kuna watu wanamdharau sana Rais Samia,yaani wanaona kama vile haoni foleni zinazoweza kuepukika.Eti usimseme Samia,laumu utawala.Rais mwenyewe ni sehemu ya hao watawala,sioni shida kumsema yeye pia.
Yani wanamdharau rais, halafu katika akili zao wao wanaona ndiyo wanamtetea rais hapo!
 
Better go and ask them, by the way do not compare us and TZ .
 
Better go and ask them, by the way do not compare us and TZ .
How do you know they are not here?

Why should I not compare the US with Tanzania?

Is the US some mythical heaven that does not exist on this earth?
 
Mkuu,

Mbona unatoka kwenye kujadili hoja, unakwenda kumshutumu mtoa hoja kwa ad hominem attack?

Surely, even a broken clock can be right twice a day, no?

Tujadili hoja, kumjadili mtu ni kama tumeshindwa kujadili hoja.
Nilifikiri kumjua mtu vizuri kunasaidia kumuelewa?
Issa Shivji anapozungumza kuhusu chochote huwa anakuwa very clear kuwa yeye ana prefer serikali ifanye biashara kuanzia mabenki Hadi Bandari....hii inasaidia Sana kwenye mjadala unavyo evolve ...unajua kabisa msimamo wa mhusika...
Mkifika huko kwenye mkataba upi sahihi mnajua kabisa kuwa Fulani yeye tatizo lake wala sio mkataba ...hataki kabisa privatisation to begin with....

Hawa ambao ni "biased based on religion"... sometimes lazima uwezeshe wengine waweze kuwa "identify" just in case wasijifiche kwenye kichaka chochote...iwe foleni iwe privatisation....
 
USA wako more Advanced, huwezi kuwa unatumia akili sawasawa ukalinganisha usafiri wa Rais wa USA na wa TZ
 
How do you know they are not here?

Why should I not compare the US with Tanzania?

Is the US some mythical heaven that does not exist on this earth?
Your questions point on me, okay let them read and wait if they can answer..😂

Two different level bro!, it's going to take a while for us to be like us.. US is next level in terms of protecting their president.. also technically and intelligent.

Do you want our nyawawa to be taken down in just a minute...😂
Think twice bro.
 
Hapo kuna tatizo la kumuangalia mtu badala ya kuangalia hoja.

The logical fallacy is called ad hominem.

Kwa msimamo huo, wewe unaweza kupotoshwa kirahisi sana siku DP World wakijua kwamba Watanzania wanamuamini sana Issa Shivji kutokana na misimamo yake ya awali, wakamuhonga, akaja aka support DP World, na wewe kwa sababu unapenda kuangalia mtoa hoja, badala ya hoja, ukasema "Hata Issa Shivji kaikubali DP World, mimi ni nani niikatae?".

Unajiweka katika hali ya kukataa neno la kichaa, kwa sababu limesemwa na kichaa.

Siku kichaa atapata nafuu, labda kapewa dawa, atakwambia usipite njia hiyo kuna joka kubwa mbele hapo.

Wewe utasema huyu kichaa tu, maneno yake hayana msingi, hutataka hata kuhakiki maneno yale kama yanaweza kuwa ya kweli.

Utapita kwa mbwembwe zote njia ile na kugongwa na joka kali.

Tujadili hoja, tuache kujadili mtu.

Kama hoja ni mbovu, ipangue tu hoja huna haja ya kumsakama mtu.Hoja mbovu ni mbovu tu hata ikitolewa na nani, sasa kwa nini unaangalia mtu badala ya hoja?

Ukianza kumsakama mtu wakati hujajibu hoja, unaonekana kama umeshindwa kuijibu hoja, na sasa unakimbilia kumsakama mtoa hoja.
 
Mtoa mada ulichopost unaonyesha unechoka ungeandika kwako muheshimiwa mama suluhu hassan , kichwa cha barua kina husiana na msafara za waheshimiwa , naomba nitoe wazo kwanini msichutumie helkopta kuepusha foleni za barabani ??
Hilo ndio wazo langu asante na uwe na kazi njema .

Wako mtiifu weka
Jina sign itume kwenye instagram , jamii forums na mitandao ya kijamii sio unaropoka ovyoo.

Najibu kuhusu hili helkopta sio safe bira magari
 
USA wako more Advanced, huwezi kuwa unatumia akili sawasawa ukalinganisha usafiri wa Rais wa USA na wa TZ
Kwa hivyo wewe umekubali kubweteka kuwa less advanced?

Wahindi hawa nao walikuwa kama sisi.

Wametswsliwa na Waingereza kama sisi, mpaka mwaka 1948.

Lakini hawakubweteka na kusema "USA wako more advanved" na kuishia hapo.

Wameona USA wanafanya space exploration mwezini, wamejipanga.

Wameweka mikakati ya miaka mingi kujiongeza.

Juzi wamerusha spacecraft kwenda mwezini, kwa gharama ndogo sana relatively, US $75 million.

Sisi bado tunalialia USA wako more advanved katika safari za helikopta za rais mjini tu?

Nchi ya watu milioni zaidi ya 60.

Hamuoni hata aibu kusema hivyo jamani?

Yani kupeleka watu mwezini tumeshindwa, tutasema USA is more advanved.

Kumsafirisha rais mmoja tu mjini kwa helikopta nayo tunasema USA is more advanved?

 
This is not as hard as you make it out to be.

It is more about lack of imaginatiin than anything else.

Otherwise, the president would not even be able to fly on a presidential plane.

What is so hard about installing a helipad at Ikulu and the airport, if we don't have one already, and designating special landing zones all over Dar?

If Mbowe and CHADEMA can use a helicopter to campaign successfully all over Tanzania, without using Ikulu's funds, why can't the president use a helicopter to get around Dar?

After all, presidents do use helicopters, so what is the difference between the times when they do use helicopters and when they don't?
 
Mkuu wa nchi ni nan? Watu weusi tumelaaniwa
Hujitambui kbs!! Unadhan Rais ndio anaamua kuhusu usalama wake? Mfumo wa kiusalama ndio hufany maamuz. Achana na mamb ya vijiwen, usifikir ukiwa Rais kila jambo unajiamulia tu!!
 
Kwa hyo kwa sababu kipindi kilichonikiutaa ndio ynaifanya reference jamaa kaleta hoja ww unaandika tantarira

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huwezi kumuelewa huyu Hadi upitie nyuzi zake zingine ..
Kuna nyuzi anamsafisha Philip Mpango...pitia ...halafu kuna nyuzi anampa pongezi Kardinali Rugambwa....

Huyu ana chuki za kidini...
Hatachukia foleni iwapo Rais angekuwa mkatoliki mwenzake
HV kumbe we Ni kiazi namna hi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Alfu unajionaga una akili kumbe Ni debe tupu la mashudu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe na wewe uliifuatilia Chandrayaan 3?

Ulichokisema hapo hata mimi niliwaza hivyo hivyo.

Pamoja na matatizo yao mengi waliyonayo, kidogo kidogo India itakuja kuwa nchi iliyoendelea sana katika nyanja za kisayansi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…