Una maanisha Meddy?Kwenda Preseason nje ya Nchi na wachezaji ambao utawaacha sio weledi bali ni kuchelewesha wachezaji ambao wataachwa kutafuta timu na kuwadhalilisha pia.
Kocha mpya Kukaa na mchezaji kwa siku 15 kunamsadiaje kuamua hatima ya maisha ya mchezaji kwenye timu?
Kama ni ivyo basi wangesubili amuone wawa na morrisoni kwanza ndo aamue yeye waondoke au wabaki, Uswahili juu ya uswahili, tafuta hoja nyingine iyo haina mashikoSoka la tz sio ulaya, mwalimu anaenda pale Manchester akiwa anajua fulani na fulani hawawezi kuwa kwenye mfumo wangu..
Africa kocha anakuja simba kagere anamjulia pale pale.. Da rosa alivyokuja kuna video ilisambaa wachezaji wanajitambulisha majina na nafasi zao uwanjani.
Ni vema mwalimu awatizame wachezaji kisha yeye ndio aamue yupi anamfaa yupi hamtaki, ili kesho asitafupte mchawi.
Hivi unadhanj bwana KOEMAN pale Barcelona ingekuwa uongkzi ndio umesema suarez kazeeka hatumtaki kisha wakamuuza atletico kisha akafanya haya aliyoyafanya unadhani angelaumiwa kocha ama uongozi.. Ila kocha mwenyeeewe akasema mimi nakuja hapo ila suarez si sehemu ya mipango yangu.
Morrisson nadhani shida kubwa ni utovu wa zamu, sina hakika ila nahisi wawa kocha alikuwa hajafika, ila kubwa ni mkataba kuwa umeisha, hawa wameenda nao bado wana mikataba yao, sasa kumuacha mchezaji una mkataba nae kuna gharama za kuvunja mkataba.Kama ni ivyo basi wangesubili amuone wawa na morrisoni kwanza ndo aamue yeye waondoke au wabaki, Uswahili juu ya uswahili, tafuta hoja nyingine iyo haina mashiko
Ripoti ya mwalimu mkuu aliyeikochi timu kwenye msimu ndio muhimu kwenye kuacha na kuendelea na mchezaji msimu unaofuata. Kocha mpya kupewa timu siku 15 aseme nani anafaa na nani hafai ni kichekesho. Lakiniii! Hiivi tunaenda preseason na kundi looote la msimu uliopita ili tukaamue nani abaki na nani apewe mkataba?Soka la tz sio ulaya, mwalimu anaenda pale Manchester akiwa anajua fulani na fulani hawawezi kuwa kwenye mfumo wangu..
Africa kocha anakuja simba kagere anamjulia pale pale.. Da rosa alivyokuja kuna video ilisambaa wachezaji wanajitambulisha majina na nafasi zao uwanjani.
Ni vema mwalimu awatizame wachezaji kisha yeye ndio aamue yupi anamfaa yupi hamtaki, ili kesho asitafupte mchawi.
Hivi unadhanj bwana KOEMAN pale Barcelona ingekuwa uongkzi ndio umesema suarez kazeeka hatumtaki kisha wakamuuza atletico kisha akafanya haya aliyoyafanya unadhani angelaumiwa kocha ama uongozi.. Ila kocha mwenyeeewe akasema mimi nakuja hapo ila suarez si sehemu ya mipango yangu.
Chupli zenu mnataka kumuangushia jumba bovu mwali mgeni baba wa watu ili nyinyi mfiche nyuso zenu kwenye mgongo wake. Ripoti ya mwalimu aliyemaliza nao msimu inasemaje? Shida yenu hapa ni hela hamna za kuvunja mikataba Yao, mnawatafutia sababu kupitia kocha mgeni asiyewafahamu hata nusu ya robo ya uwezo na tabia zao.Morrisson nadhani shida kubwa ni utovu wa zamu, sina hakika ila nahisi wawa kocha alikuwa hajafika, ila kubwa ni mkataba kuwa umeisha, hawa wameenda nao bado wana mikataba yao, sasa kumuacha mchezaji una mkataba nae kuna gharama za kuvunja mkataba.
Hawa wameenda nao mwalimu asipowahitaji watawatoa hata kwa mkopo.
Kuwa serious kidogo kila mwalimu na mbinu zake, aina ya uchezaji wake, so mwalimu huyu anaweza kumuona anafaa huyu akaona hamfai.Ripoti ya mwalimu mkuu aliyeikochi timu kwenye msimu ndio muhimu kwenye kuacha na kuendelea na mchezaji msimu unaofuata. Kocha mpya kupewa timu siku 15 aseme nani anafaa na nani hafai ni kichekesho. Lakiniii! Hiivi tunaenda preseason na kundi looote la msimu uliopita ili tukaamue nani abaki na nani apewe mkataba?
😂 😂Chup
Chupli zenu mnataka kumuangushia jumba bovu mwali mgeni baba wa watu ili nyinyi mfiche nyuso zenu kwenye mgongo wake. Ripoti ya mwalimu aliyemaliza nao msimu inasemaje? Shida yenu hapa ni hela hamna za kuvunja mikataba Yao, mnawatafutia sababu kupitia kocha mgeni asiyewafahamu hata nusu ya robo ya uwezo na tabia zao.
Kwani pesa zinazotumika ametoa Ghalib? Waacheni na mambo yao na nyie endeleeni na yenu. Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza kinene.Kwenda Preseason nje ya Nchi na wachezaji ambao utawaacha sio weledi bali ni kuchelewesha wachezaji ambao wataachwa kutafuta timu na kuwadhalilisha pia.
Kocha mpya Kukaa na mchezaji kwa siku 15 kunamsadiaje kuamua hatima ya maisha ya mchezaji kwenye timu?
wachezaji wanaoachwa uwamuzi huwa umefanywa mapema hata kabla ya mechi ya mwisho ya msimu haijachezwa. Wanaoachwa wanaambiwa ili wajue wanachukua njia gani kwaajili ya msimu ujao, mchezaji anaweza kukataa kwenda kwa mkopo kwenye timu fulani. yaani umpeleke kagere timu ya Ihefu kwa mkopo dakika za mwisho za usajili.Kuwa serious kidogo kila mwalimu na mbinu zake, aina ya uchezaji wake, so mwalimu huyu anaweza kumuona anafaa huyu akaona hamfai.
Tufanye timu yako anaondoka guardiola ndio utumie ripoti hiyo kwa jose mourinho!?? Unadhani wachezaji atakaopendekeza pep ndio special one watamfaa.
Hakuna sehemu nimesema eti wachezaji wameenda huko ndio watapewa mkataba, wameenda watu ambao bado wana mikataba so ni juu ya mwalimu kusema atawatumia au awatoe kwa mkopo, ama waachwe huo ni uamuzi wa mwalimu.
kuna jambo gani hapo zaidi ya kuugulia maumivu ya kupokwa mataji yote na Manara? Muombe mungu wenu ngao ya jamii msifungwe na yanga, la sivyo Simba itafeli kabla ligi haijaanza. Yanga haihitaji preseason ndefu, maana 97% ya kikosi ni kilekile na 100% ya benchi la ufundi ni lilelile la msimu uliopita.Kwani pesa zinazotumika ametoa Ghalib? Waacheni na mambo yao na nyie endeleeni na yenu. Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza kinene.
Hela za magodoro zimekata kambi tumepeleka moroWizi mtupu. Bora hata upande wa pili mambo yanaenda katika straight way. Hakuna ubabaishaji wa aina yoyote ile
Mambo ya simba yanakuwasia nini we nyani usiokuwa na ElimuRipoti ya mwalimu mkuu aliyeikochi timu kwenye msimu ndio muhimu kwenye kuacha na kuendelea na mchezaji msimu unaofuata. Kocha mpya kupewa timu siku 15 aseme nani anafaa na nani hafai ni kichekesho. Lakiniii! Hiivi tunaenda preseason na kundi looote la msimu uliopita ili tukaamue nani abaki na nani apewe mkataba?