hizi ni timu za wananchi kaka, angefanya hivyo Gwambina na Azam usingeona uzi kama huu. Baada ya Morrison kuanika ukweli kuhusu uongo tuliokuwa tukilishwa na uongozi juu yake, sasa hivi nina question kiiiilaa kitu cha uongozi wa simba.Mambo ya simba yanakuwasia nini we nyani usiokuwa na Elimu
Niliandika hivi nikaonekana Nina wivu na ni shabiki wa Yanga wakati hata Yanga wenyewe hawana hamu na Mimi.Kwenda Preseason nje ya Nchi na wachezaji ambao utawaacha sio weledi bali ni kuchelewesha wachezaji ambao wataachwa kutafuta timu na kuwadhalilisha pia.
Kocha mpya Kukaa na mchezaji kwa siku 15 kunamsadiaje kuamua hatima ya maisha ya mchezaji kwenye timu?
Mimi nilijua wewe mtu wa mpira kumbe Khadija Koppa.kuna jambo gani hapo zaidi ya kuugulia maumivu ya kupokwa mataji yote na Manara? Muombe mungu wenu ngao ya jamii msifungwe na yanga, la sivyo Simba itafeli kabla ligi haijaanza. Yanga haihitaji preseason ndefu, maana 97% ya kikosi ni kilekile na 100% ya benchi la ufundi ni lilelile la msimu uliopita.
Sasa hivi anzeni kutafuta kisingizio mapema kama mtafungwa ngao ya jamii. Najua mtakimbilia kusema kocha mpya, wachezaji hawajazoeana, nk.
Acheni kujitoa ufahamu basi. Timu inaingia kambini Avic Town Kigamboni leo tarehe 20/07/2022!!! Hizo habari zenu za Morogoro mmezitoa wapo?Hela za magodoro zimekata kambi tumepeleka moro
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] upande wa pili upi? Mbna yacouba hamku mtoa kabla ya ujio wa DOMOLEPEE? mmesubiri ashawamalizia mchongo mkamfurusha, tutolee upupu wako hapa.Wizi mtupu. Bora hata upande wa pili mambo yanaenda katika straight way. Hakuna ubabaishaji wa aina yoyote ile
Yanga tuko vizuri tukamsajili Aziz Ali kwa milioni 600 ,kisa aliwafunga Simba CAF,kambi tukaweka geza uloleWizi mtupu. Bora hata upande wa pili mambo yanaenda katika straight way. Hakuna ubabaishaji wa aina yoyote ile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shost ako Takadini jana kwa press anaonesha kabisaa anateseka na kuumia. Ndo usiteseke wee???Acheni kujitoa ufahamu basi. Timu inaingia kambini Avic Town Kigamboni leo tarehe 20/07/2022!!! Hizo habari zenu za Morogoro mmezitoa wapo?
Na uzuri wanachama na mashabiki wote tumeunga mkono hilo wazo! Shida iko wapi? Huko Uturuki kuna jipya lipi? Maana karibia wachezaji wote wameshawahi kupanda ndege!
Mimi naona tungekutana tu msimu mpya wa ligi ili tuone hiyo tofauti ya Pre season ya Misri, na ile ya Avic
town.
Unajua umri wa kagere au unaongea miaka 36 mwili umechoka unakataaKuna vitu viwili Simba vinawafanya waonekane ma mbumbumbu. Moja wanataka kumwacha Kagere lakini awataki timu nyingine imsajili apa Tanzania. Pili Wana ukata, kama unataka ku terminate mkataba inatakiwa ulipie gharama lakini inaonekana viongozi wanapata kizungumkuti.
Aliyewahi kuwa kaimu CEO wa Simba kwasasa ni mshauri wa MO aliwahi kusema Viongozi ndio wanao sajili wachezaji zaji na sio kocha kwakua kocha ni mtu wa kupita tu.
Hii inamaanisha ata wachezaji wanao ondoka viongozi walisha amua ila jumba bovu kaachiwa kocha atangaze.
Kagere ndiye mwenye goli nyingi kuliko Boko au Mugalu lakini yeye ndio Sadaka.
Hata mwaka Jana walisema preseason Yao ilikuwa Bora sana kuliko ya Yanga, lakini kilichowapata wote ni mashahidi.Acheni kujitoa ufahamu basi. Timu inaingia kambini Avic Town Kigamboni leo tarehe 20/07/2022!!! Hizo habari zenu za Morogoro mmezitoa wapo?
Na uzuri wanachama na mashabiki wote tumeunga mkono hilo wazo! Shida iko wapi? Huko Uturuki kuna jipya lipi? Maana karibia wachezaji wote wameshawahi kupanda ndege!
Mimi naona tungekutana tu msimu mpya wa ligi ili tuone hiyo tofauti ya Pre season ya Misri, na ile ya Avic
town.