Mr Kactus
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 510
- 2,965
Njoo PM, mm Ni bachelor sugu ninataka mchumba seriously. Kigezo ni kimoja tu, USIWE SINGLE MOTHER
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandiko ya biblia lazimae yatimie watamfuat mume mmoja na kuwaambia wewe ni wetu
Naomba mwenye il aya aquote kidogo 😂😂😂sijaiweka kama ilivyo
Ubunifu mzuri, kila la kheri, usiache kutupa mrejesho ili na wengine wenye uhitaji kama wewe waweze kuitumia hiyo mbinu...Hakika kilometa zimesonga, usoni make ups hazikai tena na komwe la uzee limeanza kuonekana. Mikunjo ya uzee napambana nayo kwa kuiziba na vipodozi lkn wapi.
Nyonga zimeanza kukakamaa lkn mpk leo sina mtu ninayemwita mume wangu. Menopause bado muongo mmoja na ushee ijenge kambi kwangu.
Sasa kabla sijaharibikiwa zaidi naanza kutongoza wanaume rasmi ili nipate mume
Wanaume na ninyi acheni kuniogopa hebu muwe mnajiamini basi. Mm kwa sura nimeumbika na shepu imetulia Beyonce anasubiri. Pia rangi ya mtume imetamalaki kwangu. Lkn isiwe sababu ya ninyi kuniogopa.
Yeyote atakayesoma uzi huu amtaarifu na mwenzake.
Tuone picha basi bibieHakika kilometa zimesonga, usoni make ups hazikai tena na komwe la uzee limeanza kuonekana. Mikunjo ya uzee napambana nayo kwa kuiziba na vipodozi lkn wapi.
Nyonga zimeanza kukakamaa lkn mpk leo sina mtu ninayemwita mume wangu. Menopause bado muongo mmoja na ushee ijenge kambi kwangu. Sasa kabla sijaharibikiwa zaidi naanza kutongoza wanaume rasmi ili nipate mume
Wanaume na ninyi acheni kuniogopa hebu muwe mnajiamini basi. Mimi kwa sura nimeumbika na shepu imetulia Beyonce anasubiri. Pia rangi ya mtume imetamalaki kwangu. Lkn isiwe sababu ya ninyi kuniogopa.
Yeyote atakayesoma uzi huu amtaarifu na mwenzake.
Afadhali umenisaidia😂😂😂
We si ulisema mimi kikojozi?Utakoma.Na ntarudia tena kutaka kukuoa.😝😝😝😝😝Hakika kilometa zimesonga, usoni make ups hazikai tena na komwe la uzee limeanza kuonekana. Mikunjo ya uzee napambana nayo kwa kuiziba na vipodozi lkn wapi.
Nyonga zimeanza kukakamaa lkn mpk leo sina mtu ninayemwita mume wangu. Menopause bado muongo mmoja na ushee ijenge kambi kwangu. Sasa kabla sijaharibikiwa zaidi naanza kutongoza wanaume rasmi ili nipate mume
Wanaume na ninyi acheni kuniogopa hebu muwe mnajiamini basi. Mimi kwa sura nimeumbika na shepu imetulia Beyonce anasubiri. Pia rangi ya mtume imetamalaki kwangu. Lkn isiwe sababu ya ninyi kuniogopa.
Yeyote atakayesoma uzi huu amtaarifu na mwenzake.
NakaziaUzi bila picha haunogi 😀😀😀
Kwako tv ni chogo au flatscreenHakika kilometa zimesonga, usoni make ups hazikai tena na komwe la uzee limeanza kuonekana. Mikunjo ya uzee napambana nayo kwa kuiziba na vipodozi lkn wapi.
Nyonga zimeanza kukakamaa lkn mpk leo sina mtu ninayemwita mume wangu. Menopause bado muongo mmoja na ushee ijenge kambi kwangu. Sasa kabla sijaharibikiwa zaidi naanza kutongoza wanaume rasmi ili nipate mume
Wanaume na ninyi acheni kuniogopa hebu muwe mnajiamini basi. Mimi kwa sura nimeumbika na shepu imetulia Beyonce anasubiri. Pia rangi ya mtume imetamalaki kwangu. Lkn isiwe sababu ya ninyi kuniogopa.
Yeyote atakayesoma uzi huu amtaarifu na mwenzake.
Mnataka muone nini?Acheni kudeka.Tengenezeni picha vichwani.Imaginary visions.😂😂😂😂Nakazia
Huwa haeleweki.Leo hii anataka kuolewa.Kesho utaona ameandika kumpa talaka mke.Ambiguities!Kweli we ni sexless, leo ni KE kesho tena utakuwa ME. Maisha yenyewe mafupi haya jipe raha mama.
Kigezo awe anapumua tuSahivi usiangalie, we zoazoa tu unaweza ukapata bahati ukazoa Tanzanite ukatulia nayo mpaka kuzikana.