Ili kukimbizana na umri kuanzia wiki ijayo naanza kutongoza wanaume

Ili kukimbizana na umri kuanzia wiki ijayo naanza kutongoza wanaume

Unaendelea kuuza chai kama kawaida yako mara mwanaume mara mwanamke.
 
Nyuzi zako sijui zina kisa gani na wanawake
 
Huyu ID yenyewe ni sexless huenda anajinsia mbili sina imani nae unalala kitandani nae kitandani badala ya kumaliza unakuta na ile ya pili yake inataka kushtuka kashachomeka
Ushauri ukiona kitu kinapigiwa mnada sana kuwa makini na kitu hiko mi simo
 
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
 
Hakika kilometa zimesonga, usoni make ups hazikai tena na komwe la uzee limeanza kuonekana. Mikunjo ya uzee napambana nayo kwa kuiziba na vipodozi lkn wapi.

Nyonga zimeanza kukakamaa lkn mpk leo sina mtu ninayemwita mume wangu. Menopause bado muongo mmoja na ushee ijenge kambi kwangu. Sasa kabla sijaharibikiwa zaidi naanza kutongoza wanaume rasmi ili nipate mume

Wanaume na ninyi acheni kuniogopa hebu muwe mnajiamini basi. Mimi kwa sura nimeumbika na shepu imetulia Beyonce anasubiri. Pia rangi ya mtume imetamalaki kwangu. Lkn isiwe sababu ya ninyi kuniogopa.

Yeyote atakayesoma uzi huu amtaarifu na mwenzake.
PCHA NI MUHIMU TUONE YALIYOMO YAMO
 
Hakika kilometa zimesonga, usoni make ups hazikai tena na komwe la uzee limeanza kuonekana. Mikunjo ya uzee napambana nayo kwa kuiziba na vipodozi lkn wapi.

Nyonga zimeanza kukakamaa lkn mpk leo sina mtu ninayemwita mume wangu. Menopause bado muongo mmoja na ushee ijenge kambi kwangu. Sasa kabla sijaharibikiwa zaidi naanza kutongoza wanaume rasmi ili nipate mume

Wanaume na ninyi acheni kuniogopa hebu muwe mnajiamini basi. Mimi kwa sura nimeumbika na shepu imetulia Beyonce anasubiri. Pia rangi ya mtume imetamalaki kwangu. Lkn isiwe sababu ya ninyi kuniogopa.

Yeyote atakayesoma uzi huu amtaarifu na mwenzake.
Hahahaha, umenichekesha sana uandishi wako but honestly nimekuonea huruma sana, nna dada yangu hajaolewa mpaka leo wakati huo wadogo zetu wote washaolewa so huwa namuona status zake what's app anahangaika sana.....all in all mwanamke anahitaji kuwa na mume...over
 
Hakika kilometa zimesonga, usoni make ups hazikai tena na komwe la uzee limeanza kuonekana. Mikunjo ya uzee napambana nayo kwa kuiziba na vipodozi lkn wapi.

Nyonga zimeanza kukakamaa lkn mpk leo sina mtu ninayemwita mume wangu. Menopause bado muongo mmoja na ushee ijenge kambi kwangu. Sasa kabla sijaharibikiwa zaidi naanza kutongoza wanaume rasmi ili nipate mume

Wanaume na ninyi acheni kuniogopa hebu muwe mnajiamini basi. Mimi kwa sura nimeumbika na shepu imetulia Beyonce anasubiri. Pia rangi ya mtume imetamalaki kwangu. Lkn isiwe sababu ya ninyi kuniogopa.

Yeyote atakayesoma uzi huu amtaarifu na mwenzake.

Yaani hata ujisifie kuumbika vipi, bado hatudamganyiki! Maana wewe ni Sexless ! Yaani huna jinsia!
 
Hakika kilometa zimesonga, usoni make ups hazikai tena na komwe la uzee limeanza kuonekana. Mikunjo ya uzee napambana nayo kwa kuiziba na vipodozi lkn wapi.

Nyonga zimeanza kukakamaa lkn mpk leo sina mtu ninayemwita mume wangu. Menopause bado muongo mmoja na ushee ijenge kambi kwangu. Sasa kabla sijaharibikiwa zaidi naanza kutongoza wanaume rasmi ili nipate mume

Wanaume na ninyi acheni kuniogopa hebu muwe mnajiamini basi. Mimi kwa sura nimeumbika na shepu imetulia Beyonce anasubiri. Pia rangi ya mtume imetamalaki kwangu. Lkn isiwe sababu ya ninyi kuniogopa.

Yeyote atakayesoma uzi huu amtaarifu na mwenzake.
Tongoza tu, Dunia yenyewe ndio hii hii...Ukisubiri Dunia nyingine utachelewa......Tena anza na wanaume wa JF....Bado haujachelewa.
 
Back
Top Bottom