Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
AstaghafirulilahBabu
Huyo ana dalili zote za kuwa delicious sasa ameona anazeeka na mbungi zinapungua.
Muache atongoze bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AstaghafirulilahBabu
Huyo ana dalili zote za kuwa delicious sasa ameona anazeeka na mbungi zinapungua.
Muache atongoze bana
Kama sio wakili msomi wewe ni waifu matirio iliyekuwA nakutafuta miaka miaka yote... nihakimishie Hilo nije PM chap kwa harakaHakika kilometa zimesonga, usoni make ups hazikai tena na komwe la uzee limeanza kuonekana. Mikunjo ya uzee napambana nayo kwa kuiziba na vipodozi lkn wapi.
Nyonga zimeanza kukakamaa lkn mpk leo sina mtu ninayemwita mume wangu. Menopause bado muongo mmoja na ushee ijenge kambi kwangu. Sasa kabla sijaharibikiwa zaidi naanza kutongoza wanaume rasmi ili nipate mume
Wanaume na ninyi acheni kuniogopa hebu muwe mnajiamini basi. Mimi kwa sura nimeumbika na shepu imetulia Beyonce anasubiri. Pia rangi ya mtume imetamalaki kwangu. Lkn isiwe sababu ya ninyi kuniogopa.
Yeyote atakayesoma uzi huu amtaarifu na mwenzake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiiiiiiiihJF kiboko. Leo ndio nimejua una jinsia ya chifu Hangaya....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuwa makini. Usije kukuta anazo mbili.... usiku unaamka unashangaa anakubashia. Si umeona anajiita sexless?
Khaaaaah ila watu lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni najua{ga} we mbata ndume kumbe mbogoma!!.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha wee.Ndoa hailazimishwi, huko unakosikia wana ndoa wamechomana visu ndiyo hayo mambo ya kulazimishana. Umri ukisogea kamahujaolewa anza kujitengenezea uzee wako.
Hakikisha una nyumba nzuri yenye madirisha yanayoingiza hewa vizuri. Kitanda kizuri, ukijiweza chumba ensuite.
Mrudie Mola wako, kuna wanaoolewa na miaka 60.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna wengine wana mbili ila dominance inategemeana na awamu ya wakati huo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aunt taratibu bas nawee, ndoa tamu bhana.Kuna rafiki yangu kaniambia "mwaka huu lazima niolewe hata kama na tahira".
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huwa haeleweki.Leo hii anataka kuolewa.Kesho utaona ameandika kumpa talaka mke.Ambiguities!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu ID yenyewe ni sexless huenda anajinsia mbili sina imani nae unalala kitandani nae kitandani badala ya kumaliza unakuta na ile ya pili yake inataka kushtuka kashachomeka
Ushauri ukiona kitu kinapigiwa mnada sana kuwa makini na kitu hiko mi simo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani usingenitaja mie comment yako isingeeleweka? Au nimekukaa sana moyoni husikii huoni ni mie tyuuh, kupelekewa motoo ajabu kwan? Nawee pelekewa motooo kwan tobo huna ambalo mkunyenge unaweza pita? Sasa yeye akipelekewa moto wee unateseka na kipi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hujakosea hili ni dume kweli, limeamua kuja kwa mwandiko wa kike. Shauri zake ngoja wahuni wajee walipelekee moto kweli.
kesho kutwa aanze kutudekea humu kama kina cocastic/ James delicious.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unalolitafuta utalipata best..kila la kheri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Babu
Huyo ana dalili zote za kuwa delicious sasa ameona anazeeka na mbungi zinapungua.
Muache atongoze bana
Aste asteAstaghafirulilah
We Babu wewe[emoji1787] kasema msimuogope mkagueniJF kiboko. Leo ndio nimejua una jinsia ya chifu Hangaya....