Ili kukimbizana na umri kuanzia wiki ijayo naanza kutongoza wanaume

Ili kukimbizana na umri kuanzia wiki ijayo naanza kutongoza wanaume

Hakika kilometa zimesonga, usoni make ups hazikai tena na komwe la uzee limeanza kuonekana. Mikunjo ya uzee napambana nayo kwa kuiziba na vipodozi lkn wapi.

Nyonga zimeanza kukakamaa lkn mpk leo sina mtu ninayemwita mume wangu. Menopause bado muongo mmoja na ushee ijenge kambi kwangu. Sasa kabla sijaharibikiwa zaidi naanza kutongoza wanaume rasmi ili nipate mume

Wanaume na ninyi acheni kuniogopa hebu muwe mnajiamini basi. Mimi kwa sura nimeumbika na shepu imetulia Beyonce anasubiri. Pia rangi ya mtume imetamalaki kwangu. Lkn isiwe sababu ya ninyi kuniogopa.

Yeyote atakayesoma uzi huu amtaarifu na mwenzake.
Inasoma saa ngap vile?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani usingenitaja mie comment yako isingeeleweka? Au nimekukaa sana moyoni husikii huoni ni mie tyuuh, kupelekewa motoo ajabu kwan? Nawee pelekewa motooo kwan tobo huna ambalo mkunyenge unaweza pita? Sasa yeye akipelekewa moto wee unateseka na kipi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hebu nipishee kuleee, kupelekewa motooooo ni fashiooooooooooooooon!!! Weuweeeeeeeeeeeeeeeeeh
nataka nianze na wewe mchumba, andaa kijambio hiko nikupelekee moto, nikukune sawasawa mpaka uniite mume wako.
 
nataka nianze na wewe mchumba, andaa kijambio hiko nikupelekee moto, nikukune sawasawa mpaka uniite mume wako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkunyenge unao sasa? Mie kupakazwa shombo sitaki lol
 
😂😂😂😂😂 awiiiiiiii..............awaaaaaaa
 
Back
Top Bottom