Ili kukimbizana na umri kuanzia wiki ijayo naanza kutongoza wanaume

Ili kukimbizana na umri kuanzia wiki ijayo naanza kutongoza wanaume

Hakika kilometa zimesonga, usoni make ups hazikai tena na komwe la uzee limeanza kuonekana. Mikunjo ya uzee napambana nayo kwa kuiziba na vipodozi lkn wapi.

Nyonga zimeanza kukakamaa lkn mpk leo sina mtu ninayemwita mume wangu. Menopause bado muongo mmoja na ushee ijenge kambi kwangu. Sasa kabla sijaharibikiwa zaidi naanza kutongoza wanaume rasmi ili nipate mume

Wanaume na ninyi acheni kuniogopa hebu muwe mnajiamini basi. Mimi kwa sura nimeumbika na shepu imetulia Beyonce anasubiri. Pia rangi ya mtume imetamalaki kwangu. Lkn isiwe sababu ya ninyi kuniogopa.

Yeyote atakayesoma uzi huu amtaarifu na mwenzake.
wee kilaza acha ushoga, unatongozaje mwanaume mwenzako? au unazani hatujui kua wewe ni jianaume?
 
Hakika kilometa zimesonga, usoni make ups hazikai tena na komwe la uzee limeanza kuonekana. Mikunjo ya uzee napambana nayo kwa kuiziba na vipodozi lkn wapi.

Nyonga zimeanza kukakamaa lkn mpk leo sina mtu ninayemwita mume wangu. Menopause bado muongo mmoja na ushee ijenge kambi kwangu. Sasa kabla sijaharibikiwa zaidi naanza kutongoza wanaume rasmi ili nipate mume

Wanaume na ninyi acheni kuniogopa hebu muwe mnajiamini basi. Mimi kwa sura nimeumbika na shepu imetulia Beyonce anasubiri. Pia rangi ya mtume imetamalaki kwangu. Lkn isiwe sababu ya ninyi kuniogopa.

Yeyote atakayesoma uzi huu amtaarifu na mwenzake.
We jamaa unakuaga mwanaume au mwanamke? Samahani lakini
 
Hongera sana kwa kujiambia na kutwambia wengine mimi.nahitaji mke na naona wanifaa njoo pm tuyajenge momy!! Usiogope!!
 
Hakika kilometa zimesonga, usoni make ups hazikai tena na komwe la uzee limeanza kuonekana. Mikunjo ya uzee napambana nayo kwa kuiziba na vipodozi lkn wapi.

Nyonga zimeanza kukakamaa lkn mpk leo sina mtu ninayemwita mume wangu. Menopause bado muongo mmoja na ushee ijenge kambi kwangu. Sasa kabla sijaharibikiwa zaidi naanza kutongoza wanaume rasmi ili nipate mume

Wanaume na ninyi acheni kuniogopa hebu muwe mnajiamini basi. Mimi kwa sura nimeumbika na shepu imetulia Beyonce anasubiri. Pia rangi ya mtume imetamalaki kwangu. Lkn isiwe sababu ya ninyi kuniogopa.

Yeyote atakayesoma uzi huu amtaarifu na mwenzake.
Nikupe namba za Bujibuji Simba Nyanaume uanze nae
 
Hakika kilometa zimesonga, usoni make ups hazikai tena na komwe la uzee limeanza kuonekana. Mikunjo ya uzee napambana nayo kwa kuiziba na vipodozi lkn wapi.

Nyonga zimeanza kukakamaa lkn mpk leo sina mtu ninayemwita mume wangu. Menopause bado muongo mmoja na ushee ijenge kambi kwangu. Sasa kabla sijaharibikiwa zaidi naanza kutongoza wanaume rasmi ili nipate mume

Wanaume na ninyi acheni kuniogopa hebu muwe mnajiamini basi. Mimi kwa sura nimeumbika na shepu imetulia Beyonce anasubiri. Pia rangi ya mtume imetamalaki kwangu. Lkn isiwe sababu ya ninyi kuniogopa.

Yeyote atakayesoma uzi huu amtaarifu na mwenzake.
Njoo unitongoze nipo tayari.
 
Hakika kilometa zimesonga, usoni make ups hazikai tena na komwe la uzee limeanza kuonekana. Mikunjo ya uzee napambana nayo kwa kuiziba na vipodozi lkn wapi.

Nyonga zimeanza kukakamaa lkn mpk leo sina mtu ninayemwita mume wangu. Menopause bado muongo mmoja na ushee ijenge kambi kwangu. Sasa kabla sijaharibikiwa zaidi naanza kutongoza wanaume rasmi ili nipate mume

Wanaume na ninyi acheni kuniogopa hebu muwe mnajiamini basi. Mimi kwa sura nimeumbika na shepu imetulia Beyonce anasubiri. Pia rangi ya mtume imetamalaki kwangu. Lkn isiwe sababu ya ninyi kuniogopa.

Yeyote atakayesoma uzi huu amtaarifu na mwenzake.
Cheki na shigela wa ccm ni mjane atakufaa
 
Hakika kilometa zimesonga, usoni make ups hazikai tena na komwe la uzee limeanza kuonekana. Mikunjo ya uzee napambana nayo kwa kuiziba na vipodozi lkn wapi.

Nyonga zimeanza kukakamaa lkn mpk leo sina mtu ninayemwita mume wangu. Menopause bado muongo mmoja na ushee ijenge kambi kwangu. Sasa kabla sijaharibikiwa zaidi naanza kutongoza wanaume rasmi ili nipate mume

Wanaume na ninyi acheni kuniogopa hebu muwe mnajiamini basi. Mimi kwa sura nimeumbika na shepu imetulia Beyonce anasubiri. Pia rangi ya mtume imetamalaki kwangu. Lkn isiwe sababu ya ninyi kuniogopa.

Yeyote atakayesoma uzi huu amtaarifu na mwenzake.
[emoji23][emoji23] we kiboko umenichekesha sanaaaa [emoji1787], ila upande mwingine nimependa umkweli hutaki kuremba kabla jajajilengesha wewe umesha fyatua [emoji23][emoji23]
 
Hakika kilometa zimesonga, usoni make ups hazikai tena na komwe la uzee limeanza kuonekana. Mikunjo ya uzee napambana nayo kwa kuiziba na vipodozi lkn wapi.

Nyonga zimeanza kukakamaa lkn mpk leo sina mtu ninayemwita mume wangu. Menopause bado muongo mmoja na ushee ijenge kambi kwangu. Sasa kabla sijaharibikiwa zaidi naanza kutongoza wanaume rasmi ili nipate mume

Wanaume na ninyi acheni kuniogopa hebu muwe mnajiamini basi. Mimi kwa sura nimeumbika na shepu imetulia Beyonce anasubiri. Pia rangi ya mtume imetamalaki kwangu. Lkn isiwe sababu ya ninyi kuniogopa.

Yeyote atakayesoma uzi huu amtaarifu na mwenzake.
Nina mashaka wewe ni delicious...
 
Kuwa makini. Usije kukuta anazo mbili.... usiku unaamka unashangaa anakubashia. Si umeona anajiita sexless?
Babu
Huyo ana dalili zote za kuwa delicious sasa ameona anazeeka na mbungi zinapungua.

Muache atongoze bana
 
Hakika kilometa zimesonga, usoni make ups hazikai tena na komwe la uzee limeanza kuonekana. Mikunjo ya uzee napambana nayo kwa kuiziba na vipodozi lkn wapi.

Nyonga zimeanza kukakamaa lkn mpk leo sina mtu ninayemwita mume wangu. Menopause bado muongo mmoja na ushee ijenge kambi kwangu. Sasa kabla sijaharibikiwa zaidi naanza kutongoza wanaume rasmi ili nipate mume

Wanaume na ninyi acheni kuniogopa hebu muwe mnajiamini basi. Mimi kwa sura nimeumbika na shepu imetulia Beyonce anasubiri. Pia rangi ya mtume imetamalaki kwangu. Lkn isiwe sababu ya ninyi kuniogopa.

Yeyote atakayesoma uzi huu amtaarifu na mwenzake.
Kazi ipo. Ngoja basi walau tumalize haya ya Yukreini
 
Back
Top Bottom