Inayizodi nini Russia? Au nchi zingine kubwa?!Congo is very big Ili iwe stable ingebidi mataifa mapya yazaliwe ndani yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inayizodi nini Russia? Au nchi zingine kubwa?!Congo is very big Ili iwe stable ingebidi mataifa mapya yazaliwe ndani yake
kuskiza matakwa ya waasi DRC ni sawa na kuskiza maagizo ya Pres.Yoweri Kaguta Museven wa Uganda na Pres. Paulo Kagame wa Rwanda. Full stop 🐒 🐒Nachopendekeza katika migogoro inayo endelea Congo DR ni kuwa malalamiko yote ya makundi ya waasi yasikilizwe.
Yale malalamiko yanayoweza kutatuliwa yatatuliwe yale yenye ugumu yaingiwe makubaliano ya pande mbili kufikia upatikanaji wa amani.
Lazima malalamiko ya waasi wajulishwe Wacongo na waafrika wote na uonekane je, wanachopigania kina maana au upuuzi tu?
Tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuona hawana wancho lalamikia hapo tutakuwa hatutatuwi matatizo kabisa zaidi ya kujidanganya.
Nchi zetu zinazo tuma ndugu zetu( raia wenzetu) kwenda kupigana Congo lazima wananchi tujue majeshi yetu yanaenda kupigana na nani na hao wanaoenda kupigana nao wana malalamiko gani na majeshi yetu yapo sahihi kutumia mbinu za mapigano kutatua malalamiko ya hao wanao pigana nao (waasi) au laaah !
Narudia tena tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuwapa majina mabaya pasipo kujua nini wanacho dai na kupigania.
Lazima tujurishwe nini wanadai katika mapigano yao.
Shida ni wazungu kuwatumia Rwanda na Uganda kupora rasilimali za Congo na kuzipeleka kwa wazungu bila Congo kunufaika hata kwa maendeleo mdogo, ndio maana Tanzania hata wakati wa Kikwete ilionekana adui au mnoko kuzuia hiloKosa kubwa ni kuona muasi hana lalamiko lolote hapa matatizo ya Congo hayataisha katika mtindo huu tunaoutumia sasa
Hao waasi wanafadhiliwa na bwana Kagame na Museveni , ili wao waibe mali za Congo . Kutatua huo mgogoro ni ku deal na hao mabwana FULL STOP.Nachopendekeza katika migogoro inayo endelea Congo DR ni kuwa malalamiko yote ya makundi ya waasi yasikilizwe.
Yale malalamiko yanayoweza kutatuliwa yatatuliwe yale yenye ugumu yaingiwe makubaliano ya pande mbili kufikia upatikanaji wa amani.
Lazima malalamiko ya waasi wajulishwe Wacongo na waafrika wote na uonekane je, wanachopigania kina maana au upuuzi tu?
Tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuona hawana wancho lalamikia hapo tutakuwa hatutatuwi matatizo kabisa zaidi ya kujidanganya.
Nchi zetu zinazo tuma ndugu zetu( raia wenzetu) kwenda kupigana Congo lazima wananchi tujue majeshi yetu yanaenda kupigana na nani na hao wanaoenda kupigana nao wana malalamiko gani na majeshi yetu yapo sahihi kutumia mbinu za mapigano kutatua malalamiko ya hao wanao pigana nao (waasi) au laaah !
Narudia tena tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuwapa majina mabaya pasipo kujua nini wanacho dai na kupigania.
Lazima tujurishwe nini wanadai katika mapigano yao.
Hao watu wenye asili ya Rwanda Burundi, wahamishiwe magharibi ya Zaire na wawaandikishe na kuchukua alama zao muhimu. Wasikae au kuishi mpakani na nchi Yao ya asili . Ndio chanzo cha mgogoro, wizi na Nia ya kuchukua Ardhi ya BA CongoNachopendekeza katika migogoro inayo endelea Congo DR ni kuwa malalamiko yote ya makundi ya waasi yasikilizwe.
Yale malalamiko yanayoweza kutatuliwa yatatuliwe yale yenye ugumu yaingiwe makubaliano ya pande mbili kufikia upatikanaji wa amani.
Lazima malalamiko ya waasi wajulishwe Wacongo na waafrika wote na uonekane je, wanachopigania kina maana au upuuzi tu?
Tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuona hawana wancho lalamikia hapo tutakuwa hatutatuwi matatizo kabisa zaidi ya kujidanganya.
Nchi zetu zinazo tuma ndugu zetu( raia wenzetu) kwenda kupigana Congo lazima wananchi tujue majeshi yetu yanaenda kupigana na nani na hao wanaoenda kupigana nao wana malalamiko gani na majeshi yetu yapo sahihi kutumia mbinu za mapigano kutatua malalamiko ya hao wanao pigana nao (waasi) au laaah !
Narudia tena tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuwapa majina mabaya pasipo kujua nini wanacho dai na kupigania.
Lazima tujurishwe nini wanadai katika mapigano yao.
Hawana wanachopigania zaidi ya fujo.Nachopendekeza katika migogoro inayo endelea Congo DR ni kuwa malalamiko yote ya makundi ya waasi yasikilizwe.
Yale malalamiko yanayoweza kutatuliwa yatatuliwe yale yenye ugumu yaingiwe makubaliano ya pande mbili kufikia upatikanaji wa amani.
Lazima malalamiko ya waasi wajulishwe Wacongo na waafrika wote na uonekane je, wanachopigania kina maana au upuuzi tu?
Tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuona hawana wancho lalamikia hapo tutakuwa hatutatuwi matatizo kabisa zaidi ya kujidanganya.
Nchi zetu zinazo tuma ndugu zetu( raia wenzetu) kwenda kupigana Congo lazima wananchi tujue majeshi yetu yanaenda kupigana na nani na hao wanaoenda kupigana nao wana malalamiko gani na majeshi yetu yapo sahihi kutumia mbinu za mapigano kutatua malalamiko ya hao wanao pigana nao (waasi) au laaah !
Narudia tena tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuwapa majina mabaya pasipo kujua nini wanacho dai na kupigania.
Lazima tujurishwe nini wanadai katika mapigano yao.
Upo sahihi kabisa, pampja na yote hawa jamaa hatakaa waache kuua raia ili kuleta hizi confusion nani alikuwa anajua kumbe vikosi vya kulinda amani ni kwa maslahi ya hawa waporaji,hapo jambo ni kuwapiga hawa waasi, that is the only solution, hamna kugawa nchiBut it's not that easy bro.
-Kama wenye pesa aanawatumia raia wa kawaida kufanikisha mambo yao,unategemea watakubali kumaliza biashara hivi hivi?
-Wazungu wangapi wanaomiliki makampuni ya kuchimba?! Unadhani wapo tayari kupoteza? Wanaiba! Wanashilikiana na viongozi,unategemea nani akibali biashara yake ilale?
UN,wanaojiita walinda amani,uliwahi sikia raia walivyowateka,vifaru vikapinduliwa,yakakutwa mawe kwenye mifuko?
Kwanza UN yenyewe ndo US. US hawatakii watu mafanikio,hasa pale anapopata chochote. Unategemea kitatokea nini!
Mnataka mazungumzo tena mkuu kwani mambo yashakuwa magumu sana,pambaneni tu mkizidiwa sio mbaya mnavuka border mnarudi kwenu kutulia sasa hv awamu ya mazungumzo ishapita sasa hv vinatembea vyuma tu.Nachopendekeza katika migogoro inayo endelea Congo DR ni kuwa malalamiko yote ya makundi ya waasi yasikilizwe.
Yale malalamiko yanayoweza kutatuliwa yatatuliwe yale yenye ugumu yaingiwe makubaliano ya pande mbili kufikia upatikanaji wa amani.
Lazima malalamiko ya waasi wajulishwe Wacongo na waafrika wote na uonekane je, wanachopigania kina maana au upuuzi tu?
Tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuona hawana wancho lalamikia hapo tutakuwa hatutatuwi matatizo kabisa zaidi ya kujidanganya.
Nchi zetu zinazo tuma ndugu zetu( raia wenzetu) kwenda kupigana Congo lazima wananchi tujue majeshi yetu yanaenda kupigana na nani na hao wanaoenda kupigana nao wana malalamiko gani na majeshi yetu yapo sahihi kutumia mbinu za mapigano kutatua malalamiko ya hao wanao pigana nao (waasi) au laaah !
Narudia tena tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuwapa majina mabaya pasipo kujua nini wanacho dai na kupigania.
Lazima tujurishwe nini wanadai katika mapigano yao.
Hata hiyo UN, ni wale wale tu. Kama wameingia wazi vitani,maana yake nini sasa!Upo sahihi kabisa, pampja na yote hawa jamaa hatakaa waache kuua raia ili kuleta hizi confusion nani alikuwa anajua kumbe vikosi vya kulinda amani ni kwa maslahi ya hawa waporaji,hapo jambo ni kuwapiga hawa waasi, that is the only solution, hamna kugawa nchi
Tangu vita ianze kongo imeonesha silaha hazita wamaliza waasiMalalamiko ya waasi ni yepi hayo,
Sometimes hawa kenge wafyekwe tu waishe, hakuna justification ya kuua raia vile, wapelekewe moto
Kuliko Americant?Congo is very big Ili iwe stable ingebidi mataifa mapya yazaliwe ndani yake
Hayo majadiliano yamefanywa sanaa,Tangu vita ianze kongo imeonesha silaha hazita wamaliza waasi
Nisuala la kukaa chini na kuyamaliza tu haya majambo
Hata hayo mapigano yashapiganwa sana na bado vita zinapiganwaHayo majadiliano yamefanywa sanaa,
Waasi wapo wengi, huwez wamaliza wote, na kila mmoja ana malengo yake, pale ni kuweka nguvu kubwa, finya ua wote kama kuku
Never negotiate with a betrayer or a terrorist take it or leave it..Nachopendekeza katika migogoro inayo endelea Congo DR ni kuwa malalamiko yote ya makundi ya waasi yasikilizwe.
Yale malalamiko yanayoweza kutatuliwa yatatuliwe yale yenye ugumu yaingiwe makubaliano ya pande mbili kufikia upatikanaji wa amani.
Lazima malalamiko ya waasi wajulishwe Wacongo na waafrika wote na uonekane je, wanachopigania kina maana au upuuzi tu?
Tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuona hawana wancho lalamikia hapo tutakuwa hatutatuwi matatizo kabisa zaidi ya kujidanganya.
Nchi zetu zinazo tuma ndugu zetu( raia wenzetu) kwenda kupigana Congo lazima wananchi tujue majeshi yetu yanaenda kupigana na nani na hao wanaoenda kupigana nao wana malalamiko gani na majeshi yetu yapo sahihi kutumia mbinu za mapigano kutatua malalamiko ya hao wanao pigana nao (waasi) au laaah !
Narudia tena tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuwapa majina mabaya pasipo kujua nini wanacho dai na kupigania.
Lazima tujurishwe nini wanadai katika mapigano yao.
Congo bishops warn against ‘balkanization’ of central African nationNachopendekeza katika migogoro inayo endelea Congo DR ni kuwa malalamiko yote ya makundi ya waasi yasikilizwe.
Yale malalamiko yanayoweza kutatuliwa yatatuliwe yale yenye ugumu yaingiwe makubaliano ya pande mbili kufikia upatikanaji wa amani.
Lazima malalamiko ya waasi wajulishwe Wacongo na waafrika wote na uonekane je, wanachopigania kina maana au upuuzi tu?
Tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuona hawana wancho lalamikia hapo tutakuwa hatutatuwi matatizo kabisa zaidi ya kujidanganya.
Nchi zetu zinazo tuma ndugu zetu( raia wenzetu) kwenda kupigana Congo lazima wananchi tujue majeshi yetu yanaenda kupigana na nani na hao wanaoenda kupigana nao wana malalamiko gani na majeshi yetu yapo sahihi kutumia mbinu za mapigano kutatua malalamiko ya hao wanao pigana nao (waasi) au laaah !
Narudia tena tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuwapa majina mabaya pasipo kujua nini wanacho dai na kupigania.
Lazima tujurishwe nini wanadai katika mapigano yao.