Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes mkuu country music Ina ujumbe Sana na inaongeza utulivu wa akili na hisia katika kuyaelekea mambo
Ustaarabu walichukua kwetu...Kemeti sema tu mambo yalikuwa hayaandikwi....wabishi watapinga
Kwenu wapi?Mkuu, kwanza tukubaliane kuwa hakuna mtu mweusi wala mweupe. Kwa minajili hiyo basi, tuna Wazungu na Waafrika.
Sasa tuingie kwenye hoja!
Unasema Ulaya na Marekani kumeendelea kwa migongo ya Waafrika? Kwa nini Waafrika na wenyewe hawajapaendeleza kwao?
Afrika Kusini imeendelea zaidi kuzidi nchi nyingi za Kiafrika. Unafikiri isingelikiwa Makaburu ingelikuwa na hayo maendeleo?
Hoja yako ni ipi hasa?Kwamba wewe ni HN? Umejua kusoma na kuwaiga na kwahiyo umeendelea?
Unajidanganya na unajivutia laana kwenu.
hizo ni hulka za mwanadamu. Sasa Ukizingatia kwamba vitabu unavyotaka tuige, na mambo mengine ya wazungu, basi usisahahu kwamba hata vitabu vikuu vingi vya dini duniani vimezungumzia roho mbaya, chuki, wivu, na ujuaji ushamba n.k sasa wao walijifunza wapi?
utaona kuwa umepiga kalas hapo.
Ni lazima unafadhaika kufikiria kuwa unajua. huh? maneno makubwa yanakufanya ufikiri unajua mambo?Find someone of your league to parallel your mediocrity.
Ww bado ni mupumbavu. Uncle tom Niga.Damn Fool.
Feelings zako pelekea mamako.
Bbako mmako bbako yote mtawakiwa na mzungu. Sas anatawala akilimuwako. ur hopless afrikanAisee! Bora tu Mzungu alizitawala kwa muda nchi za Kiafrika.
Kweli🙌Jamaa kila kukicha, 'amelaaniwa' wacha ajitapikie tu konyo kabisa laana laana tu zimemjaa. Mfyuuuuuuuu
Unadanganya sana ukiwa umepoteleya akili. ur a hopeless afrikan. umejaa ulozi ya laanaHakukua na Waarabu wakati huo, na hakukua na Racism wakati huo, Mafarao walichofanya ni kuunganisha Kingdom zote mbili ya Kaskazini ambayo ilikuwa na Washami na Wanubi na ya Kusini iliyokuwa na Nguvu za Kijeshi na iliyokuwa na Wanubi asilimia 97% na wote wakaunganishwa na Dini moja wakaanza kuoana na kuzaana.
Ilikuwa ni Idea nzuri na ndio chanzo cha wao kujenga Mapiramidi na Culture iliyomletea Mapinduzi makubwa Mwanadamu wa leo.
View attachment 2828615View attachment 2828616
Morden Nubians ambao bado wako Egypt na baada ya uvamizi wa Wayunani Wapersia na hatimae Waarabu ndio huu ubaguzi wa Rangi wa leo ulipoasisiwa.
Acha upuuzi Shaka zulu alisoma wapi? Mkwawa alisoma wapi?Tukubali tu wenzetu wazungu wamepiga hatua kubwa Sana na wako mbele yetu sana.
Tujifunze kupitia wao na sio kuwachukia maana kuwachukia haisadii chochote zaidi ya kuendelea kukaa pale pale.
Ukitaka kuijenga Akili yako ili iwe bora, soma vitabu vya wazungu huko ndo utapata maarifa sahihi na bora.
Sikiliza country music
Ukitaka kujua mambo ya uchumi soma vitabu vyao Kama The psychology of money
Ukitaka kuwa Kiongozi bora soma vitabu vya John Maxwell
Kiufupi tujifunze kwao ili na sisi tupige hatua tuwe na fikra huru ikiwezekana serikali iruhusu vitabu Kama Rich dad poor dady vifundishwe mashuleni.
RubbishNi lazima unafadhaika kufikiria kuwa unajua. huh? maneno makubwa yanakufanya ufikiri unajua mambo?
Ww bado ni mupumbavu. Uncle tom Niga.
mmako amekuzaa laana inakumeza na kukuunguza kwa roho. Unawaka laana.
LaananikaRubbish