GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Aisee! Bora tu Mzungu alizitawala kwa muda nchi za Kiafrika.Tumetoka mbali lakini bado tuna kazi nzito mbele yetu.
View attachment 2828506View attachment 2828505View attachment 2828507
Kuna wengine wanasema baadhi ya tabia hizi zilikuwa na lengo la kizuia Waarabu wafanyabiashara ya Utumwa wasiwachukie Mabibi na Mababu zetu na kuwapeleka sokoni Zanzibar.
Na kuna wengine wanasema Plate ya puani ilikuwa ni ya kuwekea Ugoro na ya mdomoni ni ya Ugali who knows?!