Ili mtu mweusi aweze kuendelea anabidi kujifunza kutoka kwa mzungu na watu wa dunia ya kwanza

Ili mtu mweusi aweze kuendelea anabidi kujifunza kutoka kwa mzungu na watu wa dunia ya kwanza

Teknolojia
Wacha hizo. Hivi unajua maan ya Tekenolojia? au unaona Kuchezea tiktok ndio technology?

Kwa taarifa yako hakuna eneo lingine lelote lile duniani ambalo lilikutwa na tekenolojia ya hali ya juu zaidi ya Afrika ans in particular katika maeneo yetu ya Afrika mashariki.

Hiyo teknolojia tunayohitaji kuendelea ndio ipi na imekosekana vipi hapa kwetu?
 
Tukubali tu wenzetu wazungu wamepiga hatua kubwa Sana na wako mbele yetu sana.

Tujifunze kupitia wao na sio kuwachukia maana kuwachukia haisadii chochote zaidi ya kuendelea kukaa pale pale.

Ukitaka kuijenga Akili yako ili iwe bora, soma vitabu vya wazungu huko ndo utapata maarifa sahihi na bora.

Sikiliza country music

Ukitaka kujua mambo ya uchumi soma vitabu vyao Kama The psychology of money

Ukitaka kuwa Kiongozi bora soma vitabu vya John Maxwell

Kiufupi tujifunze kwao ili na sisi tupige hatua tuwe na fikra huru ikiwezekana serikali iruhusu vitabu Kama Rich dad poor dady vifundishwe mashuleni.
Hata wakivisoma na kuwaiga hawataweza kuwafikia kwasababu watu weusi wana roho mbaya, chuki, wivu, Ushamba, Ujuaji n.k

Ni kama wana laana hivi
 
Tukubali tu wenzetu wazungu wamepiga hatua kubwa Sana na wako mbele yetu sana.

Tujifunze kupitia wao na sio kuwachukia maana kuwachukia haisadii chochote zaidi ya kuendelea kukaa pale pale.

Ukitaka kuijenga Akili yako ili iwe bora, soma vitabu vya wazungu huko ndo utapata maarifa sahihi na bora.

Sikiliza country music

Ukitaka kujua mambo ya uchumi soma vitabu vyao Kama The psychology of money

Ukitaka kuwa Kiongozi bora soma vitabu vya John Maxwell

Kiufupi tujifunze kwao ili na sisi tupige hatua tuwe na fikra huru ikiwezekana serikali iruhusu vitabu Kama Rich dad poor dady vifundishwe mashuleni.
Kuna mpuuzi atakuja kupinga hoja yako na kusema soma vitabu ya Kiarab ili upate kumjuwa Mungu vizuri na kwenda peponi
 
Hata wakivisoma na kuwaiga hawataweza kuwafikia kwasababu watu weusi wana roho mbaya, chuki, wivu, Ushamba, Ujuaji n.k

Ni kama wana laana hivi
Kwamba wewe ni HN? Umejua kusoma na kuwaiga na kwahiyo umeendelea?

Unajidanganya na unajivutia laana kwenu.

hizo ni hulka za mwanadamu. Sasa Ukizingatia kwamba vitabu unavyotaka tuige, na mambo mengine ya wazungu, basi usisahahu kwamba hata vitabu vikuu vingi vya dini duniani vimezungumzia roho mbaya, chuki, wivu, na ujuaji ushamba n.k sasa wao walijifunza wapi?

utaona kuwa umepiga kalas hapo.
 
Wewe SYLLOGIST! Kwenye uzi wako ule wa "Stop Racism" nilikwambiaga ubaguzi ni hulka ya kibinadamu ukabisha bisha sana.

Leo tena umeambiwa hapa.
Kwahiyo ikiwa ni hulka ya Binadamu? Ndio ina maana DR haya land alete Rcist contents hapa?

Wewe na yeye na wengine nina wahifadhi ndio genge lenyewe hilo ninalo lizungumzia. Bigoted, Racist and mysoginistic twaats.

Jibu hoja. Uwache kurukia u boo.
 
Hao wazungu wenyewe walikuja kujifunza jinsi ya kupanga miji huku Afrika. Wamekuta miji iliyopangwa na miundombinu, Congo to Zimbabwe.
Imekuaje sisi tumeacha kupanga miji yetu huku mijo yao wakiijenga na kuipanga kwa ustadi na ustaarabu mkubwa sana??
 
Kupanga miji,
Kudhibiti rushwa,
Hata weupe ni vinara wa Rushwa na kila siku wanakamatana na rushwa.


Mazingira bora na rafiki ya biashara,
Mazingira gani hayo miaka 500 bado watu weusi hawana hayo mazingira bora huko ulaya na marekani. Ati mazingira?
Kuwajibika katika kutoa huduma kwa wateja kwa ubora na wakati.

Nina ndugu na marafiki huko ulaya na marekani. Wananiambia huduma za wateja ni hovyo kabisa, sasa mpaka uunganishwe India au Pakistani upate hudumu na wastani wa kusubiri na kupata huduma ni li saa limoja!
 
Imekuaje sisi tumeacha kupanga miji yetu huku mijo yao wakiijenga na kuipanga kwa ustadi na ustaarabu mkubwa sana??
Nje ya Hoja.

Mleta mada anadai watu weusi hawajaendelea.

Nijibu, Maendeleo ni nini? Ni maendeleo gani ya mtu mweupe aliyekuwa nayo ambayo mtu mweusi hana.

Sasa usinieleze sijui mambo ya huduma za wateja.
 
Nje ya Hoja.

Mleta mada anadai watu weusi hawajaendelea.

Nijibu, Maendeleo ni nini? Ni maendeleo gani ya mtu mweupe aliyekuwa nayo ambayo mtu mweusi hana.

Sasa usinieleze sijui mambo ya huduma za wateja.
Kupanga miji kwa ustadi na ubora ni sehemu ya maendeleo.

Huduma nzuri na bora kwa wateja hospitalini, shuleni, Airports, Hotelini, ofisi za serikali n.k ni sehemu ya maendeleo.
 
Hata weupe ni vinara wa Rushwa na kila siku wanakamatana na rushwa.



Mazingira gani hayo miaka 500 baeo watu weusi hawana hayo mazingira bora huko ulaya na marekani. Ati mazingira?


Nanndugu na marafiki huko ulaya na marekani. Wananiambia huduma za wateja ni hovyo kabisa, sasa mpaka uunganishwe India au Pakistani upate hudumu na wastani wa kusubiri na kupata huduma ni saa limoja!
Waulize ndugu zako wa huko Ulaya na Marekani kwa nini walienda huko na kwa nini kuna maelfu ya Waafrika wanafia bahari ya Mediterranean kila mwaka kufika ulaya.
 
Kwahiyo ikiwa ni hulka ya Binadamu? Ndio ina maana DR haya land alete Rcist contents hapa?

Wewe na yeye na wengine nina wahifadhi ndio genge lenyewe hilo ninalo lizungumzia. Bigoted, Racist and mysoginistic twaats.

Jibu hoja. Uwache kurukia u boo.
Wewe hunaga hoja zaidi ya mihemko na hasira za kijinga jinga.

Racism ipo dunia nzima whether you like it or not.

Emotions na feelings zako pelekea mamako
 
Kupanga miji kwa ustadi na ubora ni sehemu ya maendeleo.

Huduma nzuri na bora kwa wateja hospitalini, shuleni, Airports, Hotelini, ofisi za serikali n.k ni sehemu ya maendeleo.
Bado unarukaruka tu....Nijibu, Maendeleo ni nini? Ni maendeleo gani ya mtu mweupe aliyekuwa nayo ambayo mtu mweusi hana?
 
Wewe hunaga hoja zaidi ya mihemko na hasira za kijinga jinga.

Racism ipo dunia nzima whether you like it or not.
So what? Racism ipo dunia nzima? Bora ungeniambia kitu sijui hatahivyo hiyo siyo hoja yangu
Emotions na feelings zako pelekea mamako
Ngoja sindano ikuingie. HN oops, Uncle Tom! Nani ameweka emotions hapo?
Wewe ni gaidi tu, you're a racist bigoted mysoginistic twaat.
 
Waulize ndugu zako wa huko Ulaya na Marekani kwa nini walienda huko na kwa nini kuna maelfu ya Waafrika wanafia bahari ya Mediterranean kila mwaka kufika ulaya.
Nimeshawauliza , na hakuna hata mmoja aliyetoa sababu za kwenda huko kwasababu ya Wazungu wameendelea au mtu mweusi anahitaji kuwaiga ili aendlee!


Kwani hakuna wazungu wanaofia barani Afrika kila mwaka?

Kwanini wazungu wanakuja Afrika?
 
Back
Top Bottom