Ili vita ya Hamas -Israel iwe ya kiutu inatakiwa iweje??

Ili vita ya Hamas -Israel iwe ya kiutu inatakiwa iweje??

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kuna watu wanataka/wanatamani vita kati ya Hamas/Hezbollah na Israel ipiganwe kiutu.

Sasa najiuliza vita gani ndani yake ina utu? Vita ni vita na bahati mbaya vita nyingi waathirika wakubwa huwa ni wananchi wa kawaida na siyo wanajeshi ambao hufundishwa kupigana vita.

Vita ni mbaya na kwa kawaida huwezi kuwa na utu wakati wa vita.
 
Kuna watu wanataka/wanatamani vita kati ya Hamas/Hezbollah na Israel ipiganwe kiutu.

Sasa najiuliza vita Gani ndani yake ina utu? Vita ni vita na bahati mbaya vita nyingi waathirika wakubwa huwa ni wananchi wa kawaida na siyo wanajeshi ambao hufundishwa kupigana vita.

Vita ni mbaya na kwa kawaida huwezi kuwa na utu wakati wa vita.
Mbona UKRAIN wanapiga kelele wakiuliwa watoto? au kwa sababu 99% ni wakirsto?
 
Mbona UKRAIN wanapiga kelele wakiuliwa watoto? au kwa sababu 99% ni wakirsto?
Ukristo umeingiaje hapa. Hata Ukraine ni vita ile. Vita haina utu.

Kwenye vita kuna kitu kinaitwa "collateral damage" yaani hasara ya kiutu isiyokusudiwa.

Unapigana vita adui yako anatumia raia (human shield) kujificha. Wewe ukiwa ndiyo kamanda wa kikosi chako utafanyaje?

Maana hapo raia wanakuwa ni mateka tu wa wapiganaji na hawana cha kufanya kujitoa kwenye mtanziko huo.
 
Ukristo umeingiaje hapa. Hata Ukraine ni vita ile. Vita haina utu.

Kwenye vita kuna kitu kinaitwa "collateral damage" yaani hasara ya kiutu isiyokusudiwa.

Unapigana vita adui yako anatumia raia (human shield) kujificha. Wewe ukiwa ndiyo kamanda wa kikosi chako utafanyaje?

Maana hapo raia wanakuwa ni mateka tu wa wapiganaji na hawana cha kufanya kujitoa kwenye mtanziko huo.
hujui ukirsto umeiangiaje? kaa hapa JF KAMA massa 3 halafu uone comments za wakiristo wenzio halafu utauliza hilo swala
 
hujui ukirsto umeiangiaje? kaa hapa JF KAMA massa 3 halafu uone comments za wakiristo wenzio halafu utauliza hilo swala
Komenti za wengine zinanihusu nini Mimi!?

Hivi haiwezekani kujadili jambo bila ya kujumuisha mawazo ya wengine!?

Bandiko hili nimeandika kwa kutumia mtizamo wangu na siyo kutokana na mawazo ya "wakristo wenzangu".

Mwalimu Nyerere alikuwa mkristo lakini aliwaunga mkono Palestina na kuwatimua nchini Israel.

Tundu Lissu ni mkristo lakini anawaunga mkono Palestina. Na naamini wapo pia waislam wanaowaunga mkono Israel.
 
Komenti za wengine zinanihusu nini Mimi!?

Hivi haiwezekani kujadili jambo bila ya kujumuisha mawazo ya wengine!?

Bandiko hili nimeandika kwa kutumia mtizamo wangu na siyo kutokana mawazo ya "wakristo wenzangu".

Mwalimu Nyerere alikuwa mkristo lakini aliwaunga mkono Palestina na kuwatimua nchini Israel.

Tundu Lissu ni mkristo lakini anawaunga mkono Palestina. Na naamini wapo pia waislam wanaowaunga mkono Israel.

Kwa maana kwangu mimi kuishi ni Kristo, kufa ni Faida. Wafilipi 1.21
Hapa umeonyesha unaandika hili makala huku umevaa mslaba mkubwa tu
 
Kwa maana kwangu mimi kuishi ni Kristo, kufa ni Faida. Wafilipi 1.21
Hapa umeonyesha unaandika hili makala huku umevaa mslaba mkubwa tu
Hizo ni hisia zako.

Hiyo ni nukuu ya Paulo kama mtu Mwingine anavyoweza kuwa na nukuu yake.

Hao wayahudi hawaamini kwenye ukristo kama waarabu wengi walivyo. Kimantiki hao wanaopigana wote wengi wao ni wapiga Kristo.
 
Kuna watu wanataka/wanatamani vita kati ya Hamas/Hezbollah na Israel ipiganwe kiutu.

Sasa najiuliza vita gani ndani yake ina utu? Vita ni vita na bahati mbaya vita nyingi waathirika wakubwa huwa ni wananchi wa kawaida na siyo wanajeshi ambao hufundishwa kupigana vita.

Vita ni mbaya na kwa kawaida huwezi kuwa na utu wakati wa vita.
Tunataka vita iishe kabisa na sio kubadilisha aina ya vita
 
Ukristo umeingiaje hapa. Hata Ukraine ni vita ile. Vita haina utu.

Kwenye vita kuna kitu kinaitwa "collateral damage" yaani hasara ya kiutu isiyokusudiwa.

Unapigana vita adui yako anatumia raia (human shield) kujificha. Wewe ukiwa ndiyo kamanda wa kikosi chako utafanyaje?

Maana hapo raia wanakuwa ni mateka tu wa wapiganaji na hawana cha kufanya kujitoa kwenye mtanziko huo.
UN walikaa chini na kuja na kanuni ya proportionality wakati wa Vita!

The principle of proportionality prohibits attacks against military objectives which are “expected to cause incidental loss of civilian life, injury to civilians, damage to civilian objects, or a combination thereof, which would be excessive in relation to the concrete and direct military advantage anticipated”. In other words, the principle of proportionality seeks to limit damage caused by military operations by requiring that the effects of the means and methods of warfare used must not be disproportionate to the military advantage sought.

Kwa mantiki hiyo,unashangaa Israel anapiga bomu anaua raia 100+ kisa alimlenga kamanda mmoja au wawili wa Hamas!
Israel anafanya rescue operation,anaokoa raia 4 huku akiua raia wengine 270+!
Hapo unaona kabisa Israel anachofanya ni collective punishment!
Ndio maana mahakama ya kimataifa imeona kuna viashiria vya Genocide huko Gaza!
 
Wanajeshi wa ukraine hawajifichi kwenye maeneo ya wanawake na watoto kama shuleni na hospitalini na kwenye nyumba za raia
Two weeks after Russia launched its invasion of Ukraine, Kremlin-backed rebels assaulted a nursing home in the eastern region of Luhansk. Dozens of elderly and disabled patients, many of them bedridden, were trapped inside without water or electricity.

The March 11 assault sparked a fire that spread throughout the facility, suffocating people who couldn’t move. A small number of patients and staff escaped and fled into a nearby forest, finally getting assistance after walking several miles.

In a war awash in atrocities, the attack on the nursing home near the village of Stara Krasnyanka stood out for its cruelty. And Ukrainian authorities placed the fault squarely on Moscow, accusing Russia of killing more than 50 vulnerable civilians in a brutal and unprovoked attack.

But a new United Nations report has found that Ukraine’s armed forces bear a large, and perhaps equal, share of the blame for what happened at the care home in Stara Krasnyanka, which is about 360 miles southeast of Kyiv. A few days before the March 11 attack, Ukrainian soldiers took up positions inside the nursing home, effectively making the building a target.

At least 22 of the nursing home’s 71 patients survived the assault, according to the U.N., “but the exact number of persons killed remains unknown
 
Nadhani utu unaozungumziwa ni wanajeshi kwa wanajeshi kupigana na sio kujumuisha raia katika mauaji.
Sasa kama Hamas kambi zao na mitandao yao yote ipo kwenye makazi ya watu inakuaje hapo?

Hamas sio wajinga ati, kama Hamas wangekua na kambi za jeshi maeneo nje ya raia au wanakwenda kwenye open space kupambana na IDF vita ingekwisha ndani ya wiki tu
Ndege zingemwaga mabomu kama mvua

Hamas wana bunduki na maroketi tu wakati IDF wana uwezo wa kupata silaha zote unazozijua duniani
 
Sasa kama Hamas kambi zao na mitandao yao yote ipo kwenye makazi ya watu inakuaje hapo?

Hamas sio wajinga ati, kama Hamas wangekua na kambi za jeshi maeneo nje ya raia au wanakwenda kwenye open space kupambana na IDF vita ingekwisha ndani ya wiki tu
Ndege zingemwaga mabomu kama mvua

Hamas wana bunduki na maroketi tu wakati IDF wana uwezo wa kupata silaha zote unazozijua duniani
wakiristo mumesoma lakni akili mnazifisha miguuni mnapoona mambo ya waislam. Unaona miaka 20 sasa Hamas wamenyimwa misaada lakni wanapigana na Isreal hadi leo Marekani anawaangukia Hamas wakubali suluhu. sasa kama Hamas maiti mbona kunatumika mbinu Kubwa kutaka wafanye suluhu? Huoni chadema walivyodharauliwa na CCM hata hawashirikishwi? kwa sababu hawana chochote. wakitaka wataingia katika uchaguzi au hawataki basi. Lkn Hamas wanaombwa wasitishe vita. Ireal alichofanikiwa kuuwa watoto na wanwake
 
wakiristo mumesoma lakni akili mnazifisha miguuni mnapoona mambo ya waislam. Unaona miaka 20 sasa Hamas wamenyimwa misaada lakni wanapigana na Isreal hadi leo Marekani anawaangukia Hamas wakubali suluhu. sasa kama Hamas maiti mbona kunatumika mbinu Kubwa kutaka wafanye suluhu? Huoni chadema walivyodharauliwa na CCM hata hawashirikishwi? kwa sababu hawana chochote. wakitaka wataingia katika uchaguzi au hawataki basi. Lkn Hamas wanaombwa wasitishe vita. Ireal alichofanikiwa kuuwa watoto na wanwake
Mkuu mimi siamini kati Mungu yeyote yule, hizo ni Hadithi tu

Ili kuwamaliza Hamas wote itabidi uwauwe karibu wapalestina wote kwasababu ya trick wanayoitumia Hamas kama cover yao

Hamas sio kama wako sehemu ambayo IDF haiwezi kuwafikia na kuapambana nao ana kwa ana

Issue kubwa ni kwamba inabidi uwaue raia ili kuwapata Hamas..... hii ndio sababu dunia inataka vita isimame kwasababu hadi sasa watu zaidi ya 50,000 wamekufa au hawajulikani walipo. Dunia haiwezi kukaa kimya

Usijidanganye eti ni kwasababu Hamas wanajua kupigana na wamewazidi nguvu IDF
 
Back
Top Bottom