Hivi kwa nn jamaa anakohoa sana kabla hajaanza kuimbavizur kwa kuliona hilo
Analainisha koo....Hivi kwa nn jamaa anakohoa sana kabla hajaanza kuimba
Khooo khooo khooo khooo khooo
Mliosema hata zaa nendeni (mgumba) mkasalimie mfyeleJeshiiii.
Hahaha au sioππMliosema hata zaa nendeni (mgumba) mkasalimie mfyele
Kwamba mkuu kinondoni ...pengine hapo mitaa ya M.K coz ndo katikati ya meridian na uhuru peakMuda huu naisikiliza ngoma yake inapigwa sijui ni meridian au uhuru peak!
koh koh! jeshiii...!
MK choka mbaya siku hizi wanakarabati. Mitaa ile kiwanja ni Meridian na MK, kidogo na Ras Kalinyo anakuja juu yupo Mwanamboka.Kwamba mkuu kinondoni ...pengine hapo mitaa ya M.K coz ndo katikati ya meridian na uhuru peak
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jeshiiiii ticha konde noma usafini wameufyata kimyaaa
Hahahaha huyo jeshi?