Ilikuwa ni suala la muda tu, nilijua lazima Harmonize atusue kwenye hii game

gari linalopitwa speed huwa liko mbele siku zote.

kama kuna kosa watafanya tena wcb ni kudhania konde ni mchovu.

konde anafanya mambo yale yale yaliyomweka mond alipo.
 
Msanii ambaye mkali mitandaoni, ila bingwa wa kuhairisha show.
Tar 15 may-Burundi Kimya
6 may -Uganda Kimya
18 may-Rwanda Kimya
30 June-London Kimya.
Tarehe 2 July mpaka Majizo na EFM wakampa promo Kimya na alivyo kuwa mwepesi kusahau leo kawaomba msamaha mashabiki wa Germany Frankfurt kwa kuhairisha show yake ya tarehe 2 July,huku akisahau July 2 alitangaza atakuwa na show Uhuru Stadium.

Yote tisa kumi dogo Ibraah kaachia album promo hamna, kashindwa kumuandalia hata promo tu ya instalive na YouTube,album inaenda kinyonge.

Ukiifuatilia anatisha ila kiuhalisia wa kawaida.
 
Leo umerudi uzi wako umeutelekeza
Si ulisema huoni show ya afro canival ikifanyika?

Uchawa wako wa kipopoma upeleke huko hapa uzuri watu tunajua mbivu na mbichi..
 
Vip wadau.. hii ngoma Deka imekaa mhali pake au sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…