Uchaguzi 2020 Ilikuwaje Deo Mwanyika wa ACACIA aliyehukumiwa kwa Uhujumu Uchumi achaguliwe na CCM kugombea Ubunge Njombe Mjini?

Uchaguzi 2020 Ilikuwaje Deo Mwanyika wa ACACIA aliyehukumiwa kwa Uhujumu Uchumi achaguliwe na CCM kugombea Ubunge Njombe Mjini?

Deo Mwanyika hakuhukumiwa na mahakama acheni Uzushi .Alikuwa akidaiwa Deni na TRA akalipa tatizo like wapi?

Wewe ukidaiwa Deni ukalipa Ni mhalifu?

Mbona watu kibao hudaiwa na TRA na hulipa madeni kwa kuwa dawa ya Deni kulipa

Kalipa Yuko huru kugombea mbona wengine Ni wagombea CCM na Upinzani na wanadaiwa madeni kibao kwenye mabenki,Saccos na TRA mbona mleta Maada huwaoni kuwa wahalifu? Mbona wanechukua fomu na kushinda chaguzi za vyama vyao?

Deo Mwanyika Yuko huru kugombea Deni so sababu ya kunyimwa na kalilipa
Mkuu jamaa alikuwa na mashtaka ya kukwepa kodi sio TRA walikuwa wanamdai iweje deni liwe kosa la uhujumu uchumi.?
Kisheria anagombea ila mtu alokwepa kodi akakiri kulipa ..MAGUFULI anavyowachukia hao wahujumu uchumi asingefaa kupeperusha Bendera ya chama
 
Ilikuwa maigizo ili wapinzani wakose hoja, hakukaa gerezani, siku ya mahakama ndio alikuwa analetwa geresha, mambo mengi muda mchache.
Umesahau TAKUKURU imesema rushwa ndani ya CCM washughulikie wenyewe, as if CCM ni taasisi iliyoundwa na mamlaka kushughulikia rushwa,
Kwahiyo vita dhidi ya ufisadi ni watu ambao hawana connection na system?
Nakumbuka yale ya RPC wa Arusha aliposema A=B and B=C therefore A=C akimaanisha A ni CCM, B ni serikali na C ni vyombo vya dola
 
..kuna mbunge mwingine ambaye jamaa zake walisema alikuwa anawasiliana na Deo Mwanyika. sitaki kumtaja mbunge huyo.

..Mwanyika na wenzake walikamatwa ili kuwashinikiza acacia wafute kesi waliyokuwa wameifungua dhidi ya serikali ktk mahakama ya kimataifa.
Mwanyika mashitak yake yalikuwa kukwepa kulipa kodi hayakuhusiana na ACACIA kaka.
 
Kama ambavyo Rais Magufuli amekuwa akijigamba kuwa anapambana na mafisadi wakwepa kodi na wahujumu uchumi pamoja na mabeberu kwa kupitia kauli yake ya vita ya kiuchumi.

Huyu Mwanyika ndo Rais aliyetutangazia kuwa amawasiliano na wanasiasa wa upinzani ili wamuhujumu hadi kutoa ile kauli yake ambayo ilikuja kufanya kazi Sept 2017 kuwa kuna wasaliti katika vita na wanajeshi wanajua msaliti wanamfanyaje?.

Ikiwa mtu alihukumiwa palipo shaka kuwa alikwepa kulipa kodi na kupigwa ya bilioni 2 je kwa hayo makando ya uhujumu uchumi na kukwepa kulipa kodi na kuhukumiwa bado anafaa.

Au huyu mwanyika pale Mgodini alikuwa ni Afisa Kificho(undercover) au alikuwa Afisa Kipenyo (penetration officer) au ndo kama yule DSO wa Ngorongoro alokamatwa na kwa kuhongwa magari na Mwarabu na hatujasikia tena kesi yake.

Sitaki kusemea sheria na katiba ila naomba tusemee utamaduni wetu na Rais wetu anaepambana na mafisadi ni kweli Mkuu anapambana na mafisadi majizi na wala rushwa au ni selective nani aachwe nani afungwe.


Kama niliyemsema siye na majina yamefanana nitangulize msamaha.

Ama kweli, CCM ni mbwa kichaa.
 
Mkuu sijasema hakubaliki...binafs sina chuki nae hata kidgo.
Isipokuwa makandokando yake ya uhujumu Uchumi kwa mjibu wa Mwenyekiti anaepambana na mafisadi huyo Bwana hakufaa kupewa kijiti..sheria inamruhusu kugombea koz hukumu yake haikutoka isipokuwa alilipa faini ya bilioni 1.5 means alikubali kosa
Sio mambo yote huwa kama ambavyo watu wengine tunayaona, tukumbuke hawa ni wanasi-hasa.
 
Ilikuwa maigizo ili wapinzani wakose hoja, hakukaa gerezani, siku ya mahakama ndio alikuwa analetwa geresha, mambo mengi muda mchache.
Umesahau TAKUKURU imesema rushwa ndani ya CCM washughulikie wenyewe, as if CCM ni taasisi iliyoundwa na mamlaka kushughulikia rushwa,
Kinachoumiza jamaa alikuja na mkwara mafisadi mafisad mahakama mahakama ..mafisad yamenikimbia yameenda CHADEMA yakarudi ...wana CCM kimya.
Mara amesamehe mafisadi ccm kimya .
Mafisadi amewapa nafasi huko kugombea tena CCM kimya .
 
Kinachoumiza jamaa alikuja na mkwara mafisadi mafisad mahakama mahakama ..mafisad yamenikimbia yameenda CHADEMA yakarudi ...wana CCM kimya.
Mara amesamehe mafisadi ccm kimya .
Mafisadi amewapa nafasi huko kugombea tena CCM kimya .
Hii siasa ni mara ya kwanza Tanzania, wanaodanganywa ni huko vijijini , na wamenyima watu elimu.
Hakuna chombo cha habari kinadhubutu kuhoji hilo.
 
..hayo makosa aliyafanya akiwa afisa wa acacia.

..hata mshitakiwa mwenzake pia alikuwa afisa wa acacia.

..ukipatikana na hatia ya kukwepa kodi naamini unakosa sifa za kugombea uongozi.
Hukumuilitka mahakamani? kesi imeisha? usiongee usilojua, PCCB washasema rushwa ndani ya CCM itashughulikiwa na CCM wenyewe, hukuelewsa ile kauli ilitolewa kwa sababu gani?
 
Hukumuilitka mahakamani? kesi imeisha? usiongee usilojua, PCCB washasema rushwa ndani ya CCM itashughulikiwa na CCM wenyewe, hukuelewsa ile kauli ilitolewa kwa sababu gani?

..huyu jamaa nia yake siyo ubunge.

..yeye anataka asisumbuliwe tena na serikali ya ccm.

..anataka kutuma ujumbe kwa watawala kwamba yeye ni mwenzao na amesamehe walichomtendea.

..plea deal / kukiri makosa yake kunamuondolea sifa za kuwa mgombea.

..yeye ni mwanasheria na anaelewa hilo.
 
Kama ndo hivyo mbona jamaa analo pingamizi la kutiwa hatiani kwa kukwepa kodi?
 
..huyu jamaa nia yake siyo ubunge.

..yeye anataka asisumbuliwe tena na serikali ya ccm.

..anataka kutuma ujumbe kwa watawala kwamba yeye ni mwenzao na amesamehe walichomtendea.

..plea deal / kukiri makosa yake kunamuondolea sifa za kuwa mgombea.

..yeye ni mwanasheria na anaelewa hilo.
true, plea of gulty and being pardoned doesnt exenorate from liability,
 
Uliyemsema ndiye.

Lakini nataka nikuambie kwa ukweli wa 100%, kama unataka kuujua ukweli.

The whole issue of Acacia was fabricated. Hakuna ukweli wowote katika madai aliyoyatamka Rais wala zile Tume zake mbili.

Katika ile fabrication kulikuwa na malengo mawili tu:
1) kupata political popularity
2) kujenga mazingira yatakayolazimisha mikataba iandaliwe upya

Kesi ya Deo Mwanyika na mwenzake Mwaipopo haikuwa halisia. Makosa yote 39 waliyoshtakiwa yalikuwa ya kutengenezwa, na hakukuwa na kosa lolote waliloshtakiwa wao kama watu binafsi. Yote yalikuwa yanahusiana na kampuni. Deo alikuwa amekwishaacha kazi mwaka mmoja uliokuwa umetangulia. Uliona wapi aliyekuwa mfanyakazi na sasa siyo mfanyakazi, akashtakiwa kwa makosa ya kampuni?

Mwisho wa yote waliyafuti makosa yote 38, na kubakiza moja eti la kuisaidia kampuni kukwepa kodi. Yaani makosa ya uhujumu uchumi na utakatidlshaji fedha yaliyowafanya wakae mahabusu zaidi ya mwaka, mwishoni ikaonekana hayapo!

Ndiyo maana tunasema, utawala wa awamu hii umejaa hadaa nyingi na uonevu kwa watu wasio na kosa. Is suitable regime for the fools.

Hata ile faini ya sh 1.5 bilioni Deo hajalipa hata shilingi 1. Aliyelipa ni Barrick.

Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa hata akina Lugola na Andengenye ile ishu yao ilikuwa ni ya kupika tu. Tuna Rais wa ajabu haijawahi kutokea.
 
Kama ambavyo Rais Magufuli amekuwa akijigamba kuwa anapambana na mafisadi wakwepa kodi na wahujumu uchumi pamoja na mabeberu kwa kupitia kauli yake ya vita ya kiuchumi.

Huyu Mwanyika ndo Rais aliyetutangazia kuwa amawasiliano na wanasiasa wa upinzani ili wamuhujumu hadi kutoa ile kauli yake ambayo ilikuja kufanya kazi Sept 2017 kuwa kuna wasaliti katika vita na wanajeshi wanajua msaliti wanamfanyaje?.

Ikiwa mtu alihukumiwa palipo shaka kuwa alikwepa kulipa kodi na kupigwa ya bilioni 2 je kwa hayo makando ya uhujumu uchumi na kukwepa kulipa kodi na kuhukumiwa bado anafaa.

Au huyu mwanyika pale Mgodini alikuwa ni Afisa Kificho(undercover) au alikuwa Afisa Kipenyo (penetration officer) au ndo kama yule DSO wa Ngorongoro alokamatwa na kwa kuhongwa magari na Mwarabu na hatujasikia tena kesi yake.

Sitaki kusemea sheria na katiba ila naomba tusemee utamaduni wetu na Rais wetu anaepambana na mafisadi ni kweli Mkuu anapambana na mafisadi majizi na wala rushwa au ni selective nani aachwe nani afungwe.


Kama niliyemsema siye na majina yamefanana nitangulize msamaha.
Tuliandika humu kitaaaambo huyu bwana anatafutiwa ubunge
Mwanzo tulidhani yupo upinzani kumbe tulijidanganya
Ufupi haijalishi Njombe wagumu wana misimamo
Labda pesa yake itawafanya wanyalu waamini atawagawia akiwa mbunge wao
Let's wait n see
 
Yule wa Njombe mjini nadhani ni DEO SANGA na sio huyo Mwanyika
Deo Sanga ni Makambako na ni mbunge ameshatumikia vipindi viwili au vitatu hapo Makambako. Huyu Deo Mwanyika ni ingizo jipya katika siasa na anagombea Njombe mjini. Sasa unaweza kutoa mchango wako kwa hoja za mleta mada.
 
Back
Top Bottom