Ilikuwaje katikati ya nchi za Kiarabu pawe nyumbani pa Wazungu?

Ilikuwaje katikati ya nchi za Kiarabu pawe nyumbani pa Wazungu?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Pale Mashariki ya Kati pamezungukwa na Waarabu, halafu katikati kuna wazungu wanasema ni nyumbani pao, wanajiita Israel.

Hawa wazungu wametokea wapi? Kama wao ni watoto wa Ibrahim, Ibrahim alikuwa mtu wa Uru ya Wakardayo, àlmbayo ni Iran ya leo. Iran sio wazungu.

Hawa Waisrael wazungu wametokea wapi?
 
Pale Mashariki ya Kati pamezungukwa na Waarabu, halafu katikati kuna wazungu wanasema ni nyumbani pao, wanajiita Israel.

Hawa wazungu wametokea wapi? Kama wao ni watoto wa Ibrahim, Ibrahim alikuwa mtu wa Uru ya Wakardayo, àlmbayo ni Iran ya leo. Iran sio wazungu.

Hawa Waisrael wazungu wametokea wapi?
Israel ni watu weusi.

Wazungu wanahijack historia....
 
Wayahudi sio wazungu. Asili yao Mashariki ya Kati (Middle East)

Waliishi hapo miaka mingi sana ya nyuma kilichofanya watawanyike na kupotea eneo hilo ni laana ya kuwakataa manabii wa Mungu na kumuua Yesu

Ona maneno ya Yesu aliwachana bila kuficha Wayahudi (Waisraeli)

MATHAYO 23:37, 38

37. Ee Yerusalemu, Yerusalemu! Unayewaua manabii. Unawapiga kwa mawe wale ambao Mungu amewatuma kwako. Mara nyingi nimetaka kuwasaidia watu wako. Nimetaka kuwakusanya watu wako kama kuku anavyowakusanya vifaranga wake chini ya mbawa zake. Lakini hukuniruhusu kufanya hivyo.

38. Sasa Hekalu lako litaachwa ukiwa kabisa.


Hii ilikuwa ni laana kwa taifa la Israeli la kale na kuanzia hapo wakawa watumwa kwa taifa la Roma (Roman Empire) na wakatawanyika kutoka pale Israeli kwenda maeneo ya Ulaya.

Eneo lao likawa ukiwa

Baadaye ardhi/eneo lao likachukuliwa na Wapalestina
baadaye kuanzia 1517 likawa chini ya Ottomon Empire baadaye Waingereza wakalipora mwaka 1917 lakini likiwa bado chini ya mamlaka ya Palestina

Baada ya miaka mingi ya kutangatanga, kubaguliwa na mateso huko Ulaya, Marekani na maeneo mengine duniani, Wayahudi wakarudi kinguvu mwaka 1948 wakipewa support ya UN, Marekani na Uingereza kuwaondoa Wapalestina wakidai ni nchi yao ya ahadi kwenye movement iliyoitwa ZIONISM MOVEMENT

Tukio hili la kuanzishwa kwa taifa la Israel mwaka 1948 lilichukiwa na mataifa ya Kiarabu kuona Wapalestina ambao asili yao ni Waarabu wakinyang'anywa ardhi yao.

Hilo likapelekea kutokea kwa vita iliyoitwa Arab-Israel War (1948-1949) kati ya Israel na mataifa ya kiarabu yaliyokuwa yakiiunga mkono Palestina, Israel ilishinda vita hivyo.

Hii ndiyo sababu mpaka leo Israel inachukiwa na mataifa ya Kiarabu na kushambuliwa mara kwa mara na makundi ya Wapalestina
 
PART 2
Sasa wangeingiaje kuitwaa hiyo ardhi?

Kilichofanyika miaka ya 1910s hadi 1930s Wayahudi walijiorganise wakawapa mitaji Wayahudi wenzao waende kwenye ardhi ya Palestina ambayo kihistoria wanadai yao

Wayahudi hao walienda kama wakulima wakubwa kuwekeza (settlers) wakanunua ardhi na walihodhi maeneo makubwa sana

Na mbinu hii Wapalestina hawakuigundua na kama wangeigundua wasingekubali si tu kuwapa ardhi ya kilimo bali hata wasingewakaribisha na kuwauzia

Basi settlers hao wa Wakiyahudi wakaanza kuchukua ardhi kubwa wakaanza na kuwaleta wenzao kutoka Ulaya, Marekani na pande zote za dunia

Mdogomdogo kizazi cha Wayahudi kikaanza kuongezeka

Kwa msaada wa Marekani, Ungereza na UN wakaanza kuipora ardhi ya Wapestina mpaka leo tunavyoona

NB: Kabla ya Zionism Movement hakukuwa na nchi ya Israel kwenye ramani ya dunia. Na ndio nchi pekee mipaka yake inaongezeka kwenye ramani ya dunia kadiri wanavyoipora ardhi ya Wapalestina

20231008_155117.jpg
 
Wayahudi sio wazungu

Waliishi hapo miaka mingi sana ya nyuma kilichofanya watawanyike na kupotea eneo hilo ni laana ya kuwakataa manabii wa Mungu na kumuua Yesu

Ona maneno ya Yesu aliwachana bila kuficha Wayahudi (Waisraeli)

MATHAYO 23:37, 38

37. Ee Yerusalemu, Yerusalemu! Unayewaua manabii. Unawapiga kwa mawe wale ambao Mungu amewatuma kwako. Mara nyingi nimetaka kuwasaidia watu wako. Nimetaka kuwakusanya watu wako kama kuku anavyowakusanya vifaranga wake chini ya mbawa zake. Lakini hukuniruhusu kufanya hivyo.

38. Sasa Hekalu lako litaachwa ukiwa kabisa.


Hii ilikuwa ni laana kwa taifa la Israeli la kale na kuanzia hapo wakawa watumwa kwa taifa la Roma (Roman Empire) na wakatawanyika kutoka pale Israeli kwenda maeneo ya Ulaya.

Eneo lao likawa ukiwa

Baadaye ardhi/eneo lao likachukuliwa na Wapalestina
chini ya Ottomon Empire kuanzia 1517 baadaye Waingereza wakalipora mwaka 1917 lakini likiwa bado chini ya mamlaka ya Palestina

Baada ya miaka mingi ya kutangatanga, kubaguliwa na mateso huko Ulaya, Marekani na maeneo mengine duniani, Wayahudi wakarudi kinguvu mwaka 1949 wakipewa support ya UN, Marekani na Uingereza kuwaondoa Wapalestina wakidai ni nchi yao ya ahadi kwenye movement iliyoitwa ZIONISM MOVEMENT[/I]
Wapi Yesu anaongea na wazungu?
 
Wamisri ni weusi?! Wapi Biblia imesema Yesu alikuwa mweusi mkuu!
Ufunuo 1 verse 14 Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu, nyeupe kama theluji, nayo macho yake yalikuwa kama mwali wa moto. 15 Nyayo zake zilikuwa kama shaba inayongʼaa, katika tanuru ya moto, nayo sauti yake ilikuwa kama mugurumo ya maji mengi.
 
Ufunuo 1 verse 14 Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu, nyeupe kama theluji, nayo macho yake yalikuwa kama mwali wa moto. 15 Nyayo zake zilikuwa kama shaba inayongʼaa, katika tanuru ya moto, nayo sauti yake ilikuwa kama mugurumo ya maji mengi.
Kwa hiyo huyu ni Yesu alionwa na Yohana kwenye ufunuo🤔 tuelimishe polepole mkuu
 
Kwa hiyo huyu ni Yesu alionwa na Yohana kwenye ufunuo🤔 tuelimishe polepole mkuu
pia kwa miaka mitatu walifanya huduma pamoja, Yohana alikuwa ni mwanafunzi wa Yesu na ndiye aliyekuwa mdogo kuliko wote
 
Back
Top Bottom