Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa....nieleze umelenga Nini kwenye hii habari ya Absalomu2 Samweli 14:25
Basi katika Israeli wote hapakuwa na mtu hata mmoja mwenye kusifiwa kwa uzuri wake kama huyo Absalomu; tangu nyayo za miguu yake hata utosi wa kichwa chake hapakuwa na ila kwake.
2 Samweli 14:26
Naye aliponyoa kichwa, (basi mwisho wa kila mwaka hunyoa; na kwa sababu nywele zilikuwa nzito kwake, kwa hiyo akanyoa😉 hupima nywele za kichwa chake shekeli mia mbili kwa uzani wa mfalme.
2 Samweli 18:9
Na kwa bahati Absalomu akakutana na watumishi wa Daudi. Naye Absalomu alikuwa amepanda nyumbu wake, na yule nyumbu akapita chini ya matawi manene ya mwaloni mkubwa, hata kichwa chake kikakwama katika mwaloni huo, akanyakuliwa juu kati ya mbingu na nchi; na yule nyumbu aliyekuwa chini yake akaenda mbele.
Sasa hapa usichoelewa Nini bro?keshasema yeye ni mweusi mweusi Kwa vile kapigwa na jua.sasa wewe unadhani ni black Mandingo?Wimbo Ulio Bora 1:5
Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.
Wimbo Ulio Bora 1:6
Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi-mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.
Unachanganya yohana mbatizaji na yohana mwanafunzipia kwa miaka mitatu walifanya huduma pamoja, Yohana alikuwa ni mwanafunzi wa Yesu na ndiye aliyekuwa mdogo kuliko wote
Hilo mbona lipo wazi. Hao wanaopigana pale sasa sio native wa pale. Waarabu qameenda maeneo yao miaka ya karibuni wakati wa expansion ya Ottoman Empire. Hao wazungu wamekuja majuzi to 1900'sBiblia inasema Yesu alikuwa mweusi. Missing Kemet ilikuwa ya watu weusi ndio maana ilikuwa rahisi kwa Yesu kwenda kujificha Misri alipotaka kuuwawa na Herode. Huwezi kujificha kwenye jamii ambayo hamfani rangi
Ufunuo wa Yohana ni kitabu kilichoandikwa na Yohana mwanafunzi wa Yesu, sio Yohana Mbatizaji.Unachanganya yohana mbatizaji na yohana mwanafunzi
Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Usisau na kugusia jinsi mafalasha wa Ethiopia walivyohamishwa kwenye 1970-80sPART 2
Sasa wangeingiaje kuitwaa hiyo ardhi?
Kilichofanyika miaka ya 1930s Wayahudi walijiorganise wakawapa mitaji Wayahudi wenzao waende kwenye ardhi ya Palestina ambayo kihistoria wanadai yao
Wayahudi hao walienda kama wakulima wakubwa kuwekeza (settlers) wakanunua ardhi na walihodhi maeneo makubwa sana
Na mbinu hii Wapalestina hawakuigundua na kama wangeigundua wasingekubali si tu kuwapa ardhi ya kilimo bali hata wasingewakaribisha na kuwauzia
Basi settlers hao wa Wakiyahudi wakaanza kuchukua ardhi kubwa wakaanza na kuwaleta wenzao kutoka Ulaya, Marekani na pande zote za dunia
Mdogomdogo kizazi cha Wayahudi kikaanza kuongezeka
Kwa msaada wa Marekani, Ungereza na UN wakaanza kuipora ardhi ya Wapestina mpaka leo tunavyoona
NB: Kabla ya Zionism Movement hakukuwa na nchi ya Israel kwenye ramani ya dunia. Na ndio nchi pekee mipaka yake inaongezeka kwenye ramani ya dunia kadiri wanavyoipora ardhi ya Wapalestina
Greece au Turkey 🇹🇷 mkuu wakati wa Expansion ya Ottoman Empire?Inakuwaje mtu anaamini wayahudi ni wazungu???
Inakuwaje mtu hajui hata hao waarabu Wengi wametoka Greece??
Greece ilikuwa chini ya ottoman empire piaGreece au Turkey 🇹🇷 mkuu wakati wa Expansion ya Ottoman Empire?
Nimekupata mkuu.Greece ilikuwa chini ya ottoman empire pia
Waarabu wametoka Macedonia hasa wale wa Misri...na makoloni yote ya Ottoman empire including SpainGreece au Turkey 🇹🇷 mkuu wakati wa Expansion ya Ottoman Empire?
Pale Mashariki ya Kati pamezungukwa na Waarabu, halafu katikati kuna wazungu wanasema ni nyumbani pao, wanajiita Israel.
Hawa wazungu wametokea wapi? Kama wao ni watoto wa Ibrahim, Ibrahim alikuwa mtu wa Uru ya Wakardayo, àlmbayo ni Iran ya leo. Iran sio wazungu.
Hawa Waisrael wazungu wametokea wapi?
Sababu kuu hao waarabu ni wavamizi ambao hawana miaka mingi hapa Africa tangu wavamie.Inakuwaje bara ni la Africa ila waarab ndio wengi kuliko weusi?
Tumia historia kuonesha kuwa hao wayahudi fek walikuwepo hilo eneo kabla ya kupachikwa hapo na UN miaka ya 1947.Wayahudi sio wazungu. Asili yao Mashariki ya Kati (Middle East)
Waliishi hapo miaka mingi sana ya nyuma kilichofanya watawanyike na kupotea eneo hilo ni laana ya kuwakataa manabii wa Mungu na kumuua Yesu
Ona maneno ya Yesu aliwachana bila kuficha Wayahudi (Waisraeli)
MATHAYO 23:37, 38
37. Ee Yerusalemu, Yerusalemu! Unayewaua manabii. Unawapiga kwa mawe wale ambao Mungu amewatuma kwako. Mara nyingi nimetaka kuwasaidia watu wako. Nimetaka kuwakusanya watu wako kama kuku anavyowakusanya vifaranga wake chini ya mbawa zake. Lakini hukuniruhusu kufanya hivyo.
38. Sasa Hekalu lako litaachwa ukiwa kabisa.
Hii ilikuwa ni laana kwa taifa la Israeli la kale na kuanzia hapo wakawa watumwa kwa taifa la Roma (Roman Empire) na wakatawanyika kutoka pale Israeli kwenda maeneo ya Ulaya.
Eneo lao likawa ukiwa
Baadaye ardhi/eneo lao likachukuliwa na Wapalestina baadaye kuanzia 1517 likawa chini ya Ottomon Empire baadaye Waingereza wakalipora mwaka 1917 lakini likiwa bado chini ya mamlaka ya Palestina
Baada ya miaka mingi ya kutangatanga, kubaguliwa na mateso huko Ulaya, Marekani na maeneo mengine duniani, Wayahudi wakarudi kinguvu mwaka 1949 wakipewa support ya UN, Marekani na Uingereza kuwaondoa Wapalestina wakidai ni nchi yao ya ahadi kwenye movement iliyoitwa ZIONISM MOVEMENT[/I]
Yaan hujui kitu kuhusu historia ya hawa watu, nikikwambia urudi miaka 2000 iliyopita unioneshe ktk ardhi hiyo ni nan alikuwa mkazi(kihistoria) wa hiyo ardhi utaweza?PART 2
Sasa wangeingiaje kuitwaa hiyo ardhi?
Kilichofanyika miaka ya 1930s Wayahudi walijiorganise wakawapa mitaji Wayahudi wenzao waende kwenye ardhi ya Palestina ambayo kihistoria wanadai yao
Wayahudi hao walienda kama wakulima wakubwa kuwekeza (settlers) wakanunua ardhi na walihodhi maeneo makubwa sana
Na mbinu hii Wapalestina hawakuigundua na kama wangeigundua wasingekubali si tu kuwapa ardhi ya kilimo bali hata wasingewakaribisha na kuwauzia
Basi settlers hao wa Wakiyahudi wakaanza kuchukua ardhi kubwa wakaanza na kuwaleta wenzao kutoka Ulaya, Marekani na pande zote za dunia
Mdogomdogo kizazi cha Wayahudi kikaanza kuongezeka
Kwa msaada wa Marekani, Ungereza na UN wakaanza kuipora ardhi ya Wapestina mpaka leo tunavyoona
NB: Kabla ya Zionism Movement hakukuwa na nchi ya Israel kwenye ramani ya dunia. Na ndio nchi pekee mipaka yake inaongezeka kwenye ramani ya dunia kadiri wanavyoipora ardhi ya Wapalestina
Alikuwa kijana mzuri wa sura lakini mwenye HILA NA FTINA NA TAMAA SANA2 Samweli 14:25
Basi katika Israeli wote hapakuwa na mtu hata mmoja mwenye kusifiwa kwa uzuri wake kama huyo Absalomu; tangu nyayo za miguu yake hata utosi wa kichwa chake hapakuwa na ila kwake.
2 Samweli 14:26
Naye aliponyoa kichwa, (basi mwisho wa kila mwaka hunyoa; na kwa sababu nywele zilikuwa nzito kwake, kwa hiyo akanyoa😉 hupima nywele za kichwa chake shekeli mia mbili kwa uzani wa mfalme.
2 Samweli 18:9
Na kwa bahati Absalomu akakutana na watumishi wa Daudi. Naye Absalomu alikuwa amepanda nyumbu wake, na yule nyumbu akapita chini ya matawi manene ya mwaloni mkubwa, hata kichwa chake kikakwama katika mwaloni huo, akanyakuliwa juu kati ya mbingu na nchi; na yule nyumbu aliyekuwa chini yake akaenda mbele.
Wimbo ulio bora hutumika kutongozeabinti za kilokoleWimbo Ulio Bora 1:5
Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.
Wimbo Ulio Bora 1:6
Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi-mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.
Kiarabu, kiyaudi ,kiharmaric, tigray ni lugha zenye asili Moja.Inakuwaje mtu anaamini wayahudi ni wazungu???
Inakuwaje mtu hajui hata hao waarabu Wengi wametoka Greece??