Ilikuwaje katikati ya nchi za Kiarabu pawe nyumbani pa Wazungu?

Ilikuwaje katikati ya nchi za Kiarabu pawe nyumbani pa Wazungu?

2 Samweli 14:25
Basi katika Israeli wote hapakuwa na mtu hata mmoja mwenye kusifiwa kwa uzuri wake kama huyo Absalomu; tangu nyayo za miguu yake hata utosi wa kichwa chake hapakuwa na ila kwake.

2 Samweli 14:26
Naye aliponyoa kichwa, (basi mwisho wa kila mwaka hunyoa; na kwa sababu nywele zilikuwa nzito kwake, kwa hiyo akanyoa😉 hupima nywele za kichwa chake shekeli mia mbili kwa uzani wa mfalme.

2 Samweli 18:9
Na kwa bahati Absalomu akakutana na watumishi wa Daudi. Naye Absalomu alikuwa amepanda nyumbu wake, na yule nyumbu akapita chini ya matawi manene ya mwaloni mkubwa, hata kichwa chake kikakwama katika mwaloni huo, akanyakuliwa juu kati ya mbingu na nchi; na yule nyumbu aliyekuwa chini yake akaenda mbele.
Sijaelewa....nieleze umelenga Nini kwenye hii habari ya Absalomu
 
Wimbo Ulio Bora 1:5
Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.

Wimbo Ulio Bora 1:6
Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi-mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.
Sasa hapa usichoelewa Nini bro?keshasema yeye ni mweusi mweusi Kwa vile kapigwa na jua.sasa wewe unadhani ni black Mandingo?
 
wenda mkaanza kupata nuru
Screenshot_20231007_085237_com.gspace.android.jpg
 
Biblia inasema Yesu alikuwa mweusi. Missing Kemet ilikuwa ya watu weusi ndio maana ilikuwa rahisi kwa Yesu kwenda kujificha Misri alipotaka kuuwawa na Herode. Huwezi kujificha kwenye jamii ambayo hamfani rangi
Hilo mbona lipo wazi. Hao wanaopigana pale sasa sio native wa pale. Waarabu qameenda maeneo yao miaka ya karibuni wakati wa expansion ya Ottoman Empire. Hao wazungu wamekuja majuzi to 1900's
 
Unachanganya yohana mbatizaji na yohana mwanafunzi

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Ufunuo wa Yohana ni kitabu kilichoandikwa na Yohana mwanafunzi wa Yesu, sio Yohana Mbatizaji.

Yohana Mbatizaji alikufa kwa kuchinjwa na Herode hata kabla Yesu hajafa
 
PART 2
Sasa wangeingiaje kuitwaa hiyo ardhi?

Kilichofanyika miaka ya 1930s Wayahudi walijiorganise wakawapa mitaji Wayahudi wenzao waende kwenye ardhi ya Palestina ambayo kihistoria wanadai yao

Wayahudi hao walienda kama wakulima wakubwa kuwekeza (settlers) wakanunua ardhi na walihodhi maeneo makubwa sana

Na mbinu hii Wapalestina hawakuigundua na kama wangeigundua wasingekubali si tu kuwapa ardhi ya kilimo bali hata wasingewakaribisha na kuwauzia

Basi settlers hao wa Wakiyahudi wakaanza kuchukua ardhi kubwa wakaanza na kuwaleta wenzao kutoka Ulaya, Marekani na pande zote za dunia

Mdogomdogo kizazi cha Wayahudi kikaanza kuongezeka

Kwa msaada wa Marekani, Ungereza na UN wakaanza kuipora ardhi ya Wapestina mpaka leo tunavyoona

NB: Kabla ya Zionism Movement hakukuwa na nchi ya Israel kwenye ramani ya dunia. Na ndio nchi pekee mipaka yake inaongezeka kwenye ramani ya dunia kadiri wanavyoipora ardhi ya Wapalestina
Usisau na kugusia jinsi mafalasha wa Ethiopia walivyohamishwa kwenye 1970-80s
 
Pale Mashariki ya Kati pamezungukwa na Waarabu, halafu katikati kuna wazungu wanasema ni nyumbani pao, wanajiita Israel.

Hawa wazungu wametokea wapi? Kama wao ni watoto wa Ibrahim, Ibrahim alikuwa mtu wa Uru ya Wakardayo, àlmbayo ni Iran ya leo. Iran sio wazungu.

Hawa Waisrael wazungu wametokea wapi?

jichetue lakini jibu unalijua??…
 
Inakuwaje bara ni la Africa ila waarab ndio wengi kuliko weusi?
Sababu kuu hao waarabu ni wavamizi ambao hawana miaka mingi hapa Africa tangu wavamie.

The same way kwa hao wajiitao wayahudi waliopachikwa hapo palestina na UN baada ya kukosa eneo la kimkakati la kuwapeleka ndugu zao wakawe chambo ya kuharibu historia ya dunia kuhusu ukweli wa Hadithi za wayahudi wa kweli.

Hawapo hapo bahati mbaya bali kwa mipango ya hao hao wazungu, kwanza kupotosha historia ya watu weusi, pili kisiasa na kiuchumi ndio sababu ya wao kupora hiyo ardhi ya wapalestina.

Huyo wanaemuita ibrahimu, kuwa ndie baba yao, huo ni uongo maana ibrahimu hakuwai kuishi Asia wala hakuitwa ibrahimu na hakuwa mtu weupe, pili hata huyo ishmael hana uhusika wowote na mataifa ya uarabuni kwakuwa alikuwa mweusi ambaye historia yake imepotoshwa na hao wazungu walioshirikiana na muhamad kuunda hiyo dini ya mchongo.

Watu weupe wameiharibu sana hii dunia kwa kila kitu.

Kwa bahati mbaya hawa jamaa wanacontroll kila kitu dunian hivyo haya mambo ni ngumu kuyajua maana wamekamata akili za watu kuanzia mashulen mpka ktk hizo dini.

Ni Bahati sana kufikia hatua mtu unakua neutral yaani hujashikwa kidini wala kielimu basi unakuwa na Free will ya kuamua na kujua kipi kweli na kipi si kweli maana unakuwa nje ya mahaba ya vifungo vya hao jamaa kidini, kisiasa, kiuchumi mpaka kiakili na kiroho.

Ngumu sana kwa kizazi chetu kuutambua ukweli, 90% ya kila jambo duniani ni Uongo.
 
Wayahudi sio wazungu. Asili yao Mashariki ya Kati (Middle East)

Waliishi hapo miaka mingi sana ya nyuma kilichofanya watawanyike na kupotea eneo hilo ni laana ya kuwakataa manabii wa Mungu na kumuua Yesu

Ona maneno ya Yesu aliwachana bila kuficha Wayahudi (Waisraeli)

MATHAYO 23:37, 38

37. Ee Yerusalemu, Yerusalemu! Unayewaua manabii. Unawapiga kwa mawe wale ambao Mungu amewatuma kwako. Mara nyingi nimetaka kuwasaidia watu wako. Nimetaka kuwakusanya watu wako kama kuku anavyowakusanya vifaranga wake chini ya mbawa zake. Lakini hukuniruhusu kufanya hivyo.

38. Sasa Hekalu lako litaachwa ukiwa kabisa.


Hii ilikuwa ni laana kwa taifa la Israeli la kale na kuanzia hapo wakawa watumwa kwa taifa la Roma (Roman Empire) na wakatawanyika kutoka pale Israeli kwenda maeneo ya Ulaya.

Eneo lao likawa ukiwa

Baadaye ardhi/eneo lao likachukuliwa na Wapalestina
baadaye kuanzia 1517 likawa chini ya Ottomon Empire baadaye Waingereza wakalipora mwaka 1917 lakini likiwa bado chini ya mamlaka ya Palestina

Baada ya miaka mingi ya kutangatanga, kubaguliwa na mateso huko Ulaya, Marekani na maeneo mengine duniani, Wayahudi wakarudi kinguvu mwaka 1949 wakipewa support ya UN, Marekani na Uingereza kuwaondoa Wapalestina wakidai ni nchi yao ya ahadi kwenye movement iliyoitwa ZIONISM MOVEMENT[/I]
Tumia historia kuonesha kuwa hao wayahudi fek walikuwepo hilo eneo kabla ya kupachikwa hapo na UN miaka ya 1947.

Pili tumia ushahidi wa kisayansi kwa kufananisha Vinasaba kati ya hao wayahudi fek na wakazi wa huo ukanda, maana kiuhalisia mtu yeyote wa ukanda wako ni lazma mtafanana vinasaba sababu ya kushare miunganiko ya kijamii , ama taratibu za kimila na tamaduni.

Tatu ukitumia biblia utaona kuwa inawakataa hao wayahudi feki maana biblia inasema wayahudi wa kweli walipelekwa utumwan kwa melikebu(mashua) kwa kufungwa minyororo shingoni na miguuni na kupelekwa dunia nzima mbali na ardhi yao, kihistoria hao wayahudi hawana ushahid wa kuwekwa utumwan(Soma historia), ni mtu mweusi tu ndiye aliyepelekwa utumwan kwa zaid ya miaka 400 mbali na afrika ni muafrika tu ambaye kaenea dunia nzima, pia kibiblia ardhi ya israel ya kweli ni kubwa yenye rasilimali nyingi za madini, ardhi yenye rutuba, maziwa, bahari na wanyama, je hilo jangwa lenu hapo middle east lina ukubwa gan? Lina hata ardhi yenye kustawisha mimea? Kuna wanyama huko?

Jaman msikubali kuwa wafuata upepo, tumezaliwa ktk dini ambazo wazazi wetu wameturithisha kwa ujinga wao na sisi tusikubali watoto zetu warithi upumbavu wa aina hii, utumwa wa kimwil uliisha umebaki huu utumwa wa akili ambao wazungu wanautumia kuwaaminisha mambo ya uongo huko makanisan na misikitini bila kusahau mashuleni.

Soma vzuri historia ya dunia ukishindwa rudi hapa nikupe ushahidi wa kupinga huo upumbavu mliolishwa makanisani na mashuleni
 
PART 2
Sasa wangeingiaje kuitwaa hiyo ardhi?

Kilichofanyika miaka ya 1930s Wayahudi walijiorganise wakawapa mitaji Wayahudi wenzao waende kwenye ardhi ya Palestina ambayo kihistoria wanadai yao

Wayahudi hao walienda kama wakulima wakubwa kuwekeza (settlers) wakanunua ardhi na walihodhi maeneo makubwa sana

Na mbinu hii Wapalestina hawakuigundua na kama wangeigundua wasingekubali si tu kuwapa ardhi ya kilimo bali hata wasingewakaribisha na kuwauzia

Basi settlers hao wa Wakiyahudi wakaanza kuchukua ardhi kubwa wakaanza na kuwaleta wenzao kutoka Ulaya, Marekani na pande zote za dunia

Mdogomdogo kizazi cha Wayahudi kikaanza kuongezeka

Kwa msaada wa Marekani, Ungereza na UN wakaanza kuipora ardhi ya Wapestina mpaka leo tunavyoona

NB: Kabla ya Zionism Movement hakukuwa na nchi ya Israel kwenye ramani ya dunia. Na ndio nchi pekee mipaka yake inaongezeka kwenye ramani ya dunia kadiri wanavyoipora ardhi ya Wapalestina
Yaan hujui kitu kuhusu historia ya hawa watu, nikikwambia urudi miaka 2000 iliyopita unioneshe ktk ardhi hiyo ni nan alikuwa mkazi(kihistoria) wa hiyo ardhi utaweza?

Maana kibiblia mmeaminishwa miaka hiyo ktk hiyo ardhu alikuwepo Yesu na mitume kadhaa, lkn kihistoria miaka hiyo ardhi hiyo palikaliwa na waarabu ambao ndio hao wapalestina nao hiyo ardhi sio mali yao halali maana ukanda huo ulikuwa mali ya mtu mweusi.

Unatakiwa ujuwe kuwa baada ya vita vya dunia vya pili hao jamaa walitafutiwa eneo la kuwekwa East afrika ikashindikana na ndio muendelezo wa wayahudi kuchukiana na idd amini, baada ya wazungu kukosa eneo la kuwapeleka hao wakimbizi ambao kimsingi ni raia wa ulaya haswa uturuki basi wakaingia kibabe hapo palestina ambako tayari ilikuwa nchi ya waarabu pia kulikuwako na wazungu ambao walikuwa na viwanja huko na ndio sababu ya hawa watangulizi wa kizungu kuwagawia ndugu zao maeneo huko, maeneo mengine wakajenga mahekalu na mengine kujenga hiyo Yerusalemu feki na makaburi feki ikiwa kama Historical sites ya kuwadanganya watu kuwa eneo hilo walishakuwepo.

Kigezo kikuu walichotumia kurudi hapo ni biblia ambayo ilishaharibiwa na wao wenyewe kupitia mroma kwa kuEdit na kuondoa vitabu vya muhimu na uku wakipachika story za uongo ambazo ukitumia akili kusoma unagundua huo uongo.
 
2 Samweli 14:25
Basi katika Israeli wote hapakuwa na mtu hata mmoja mwenye kusifiwa kwa uzuri wake kama huyo Absalomu; tangu nyayo za miguu yake hata utosi wa kichwa chake hapakuwa na ila kwake.

2 Samweli 14:26
Naye aliponyoa kichwa, (basi mwisho wa kila mwaka hunyoa; na kwa sababu nywele zilikuwa nzito kwake, kwa hiyo akanyoa😉 hupima nywele za kichwa chake shekeli mia mbili kwa uzani wa mfalme.

2 Samweli 18:9
Na kwa bahati Absalomu akakutana na watumishi wa Daudi. Naye Absalomu alikuwa amepanda nyumbu wake, na yule nyumbu akapita chini ya matawi manene ya mwaloni mkubwa, hata kichwa chake kikakwama katika mwaloni huo, akanyakuliwa juu kati ya mbingu na nchi; na yule nyumbu aliyekuwa chini yake akaenda mbele.
Alikuwa kijana mzuri wa sura lakini mwenye HILA NA FTINA NA TAMAA SANA
 
Wimbo Ulio Bora 1:5
Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.

Wimbo Ulio Bora 1:6
Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi-mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.
Wimbo ulio bora hutumika kutongozeabinti za kilokole
 
Inakuwaje mtu anaamini wayahudi ni wazungu???

Inakuwaje mtu hajui hata hao waarabu Wengi wametoka Greece??
Kiarabu, kiyaudi ,kiharmaric, tigray ni lugha zenye asili Moja.

Zote ni Semitic language, Sasa inakuwaje watoke Uyunani?
 
Asili ya Waisraeli, pia wanajulikana kama Waisraeli wa Kiyahudi, ni mada ngumu na ina historia ndefu. Hapa kuna muhtasari wa kihistoria wa asili yao:
  1. Mwanzo wa Taifa la Israeli: Katika Biblia, imeelezwa kwamba taifa la Israeli lilianza na Ibrahimu (Abraham), ambaye aliongozwa kutoka Uru wa Wakaldai kwenda Kanaani na ahadi ya Mungu ya kuwapa ardhi hiyo kwa urithi. Huyu alikuwa miongoni mwa watu wa kale wa Mashariki ya Kati.
  2. Kipindi cha Kutawala Misri: Baada ya muda, wazawa wa Ibrahimu walikwenda Misri kutokana na njaa. Walisalia huko kwa muda mrefu na hatimaye wakawa watumwa.
  3. Kutoka Misri: Kiongozi wa kidini na kisiasa, Musa, aliwaongoza Waisraeli kutoka utumwani Misri. Hii ndiyo inayojulikana kama Kutoka au Exodus.
  4. Kuingia Kanaani: Baada ya miaka mingi ya kutembea jangwani, Waisraeli walifika katika nchi ya Kanaani, ardhi ambayo Mungu aliwaahidi.
  5. Historia ya Mataifa ya Israeli: Baada ya kuingia Kanaani, Waisraeli walikabiliana na wakazi wengine wa eneo hilo, wakiwemo Wakanaani. Walijenga ufalme wao wa kwanza chini ya wafalme kama Daudi na Sulemani.
  6. Ugawanyiko na Uhamiaji: Baada ya muda, ufalme wa Israeli uligawanyika kuwa Ufalme wa Israeli (Kaskazini) na Ufalme wa Yuda (Kusini). Kwa sababu za kihistoria, Waisraeli wa Kaskazini walitawanyika na kuwa wakimbizi, ambao wengine walipoteza utambulisho wao wa kikabila.
  7. Ukupande wa Dini: Kwa miaka mingi, dini ya Kiyahudi ilicheza jukumu muhimu katika kuunganisha jamii ya Kiyahudi, hata kati ya wakimbizi na wageni. Dini hii ina msingi wake katika historia ya awali ya Waisraeli.
  8. Kurejea Kwa Wayahudi: Karne ya 19 na 20 ilishuhudia Waisraeli wengi kutoka ulimwengu mzima, pamoja na Ulaya, kuanza kurudi katika ardhi ya Kanaani na kujenga tena taifa la Israel. Hatimaye, taifa la Israel la kisasa lilipatikana mwaka 1948.
Hivyo, kihistoria, Waisraelil wamekuwa na uhusiano wa karibu na Mashariki ya Kati, ingawa asili yao inachanganya mambo ya kihistoria, dini, na uhamiaji. Kwa sasa, Israel ni nchi ya kisasa katika eneo hilo lenye utajiri wa historia na tamaduni.
 
Back
Top Bottom