Ilikuwaje katikati ya nchi za Kiarabu pawe nyumbani pa Wazungu?

Ilikuwaje katikati ya nchi za Kiarabu pawe nyumbani pa Wazungu?

Pale Mashariki ya Kati pamezungukwa na Waarabu, halafu katikati kuna wazungu wanasema ni nyumbani pao, wanajiita Israel.

Hawa wazungu wametokea wapi? Kama wao ni watoto wa Ibrahim, Ibrahim alikuwa mtu wa Uru ya Wakardayo, àlmbayo ni Iran ya leo. Iran sio wazungu.

Hawa Waisrael wazungu wametokea wapi?
Hao walichokwa na Wakristo wa Ulaya kwa chuki zao kwa Ukristo ndiyo wakatafutiwa eneo katika tawala ya Uingereza. Hitler aliwauwa wengi sana na nchi zingine za Ulaya na Marekani hawakauwa tayari kuwa eneno la kuwaweka kwa jili ya ubaguzi wao wa kidini.

Kumbuka Wapalestina ndiyo wenye funguo rasmi za sehemu zao za ibada za asili za Wakristo, Wayahudi na Waislam hapo Jesrusalem.

Kwanza ilipangwa waletwe Uganda kukawa na mvutano, ikaamuliwa wapelekwe hapo Palestina.
 
PART 2
Sasa wangeingiaje kuitwaa hiyo ardhi?

Kilichofanyika miaka ya 1910s hadi 1930s Wayahudi walijiorganise wakawapa mitaji Wayahudi wenzao waende kwenye ardhi ya Palestina ambayo kihistoria wanadai yao

Wayahudi hao walienda kama wakulima wakubwa kuwekeza (settlers) wakanunua ardhi na walihodhi maeneo makubwa sana

Na mbinu hii Wapalestina hawakuigundua na kama wangeigundua wasingekubali si tu kuwapa ardhi ya kilimo bali hata wasingewakaribisha na kuwauzia

Basi settlers hao wa Wakiyahudi wakaanza kuchukua ardhi kubwa wakaanza na kuwaleta wenzao kutoka Ulaya, Marekani na pande zote za dunia

Mdogomdogo kizazi cha Wayahudi kikaanza kuongezeka

Kwa msaada wa Marekani, Ungereza na UN wakaanza kuipora ardhi ya Wapestina mpaka leo tunavyoona

NB: Kabla ya Zionism Movement hakukuwa na nchi ya Israel kwenye ramani ya dunia. Na ndio nchi pekee mipaka yake inaongezeka kwenye ramani ya dunia kadiri wanavyoipora ardhi ya Wapalestina
na vipi kuhusu ile stori ya bibilia kuwa walichukuliwa utumwa kwenda misri kupitia stori ya yusufu aliyeuzwa utumwani akaenda kuwa waziri mkuu sasa wakaanza kurudi kupitia akina musa katika kanaani?
 
Mbaya Sana kumezeshwa historia walizoandika watesi wenu.

Ukweli haujifichi na vyoote wanavyoviita Siri ni uongo ambao haukusemwa kwa ukubwa au kuenezwa.
Muda unawajmbua wengi.

Kanye West mbona walishindwa kumpinga alivyo-wananga.
Oromos Uru.
 
na vipi kuhusu ile stori ya bibilia kuwa walichukuliwa utumwa kwenda misri kupitia stori ya yusufu aliyeuzwa utumwani akaenda kuwa waziri mkuu sasa wakaanza kurudi kupitia akina musa katika kanaani?
Yusufu alikuwa Mwisraeli

Aliuzwa na ndugu zake kwa wafanyabiashara ambao nao walimuuza kwa Wamisri. Akiwa Misri Farao alimpenda sana akamweka kuwa waziri mkuu wa Misri

Kule ilipobaki familia yake kukawa na njaa Farao akamwambia Yusufu ailete familia yake Misri

Waisraeli wakaongezeka na kuwa wengi pale Misri waliishi kwa amani sana

Yusufu akafa na yule Farao naye akafa

Akaja Farao mpya wa Misri ambaye hakuwapenda Waisraeli, akawa mfalme wa Misri. Farao huyo mbaya akawafanya Waisraeli kuwa watumwa.

Miaka mingi baadaye Mungu anamtumia Musa ambaye ni kizazi cha Yusufu kuwakomboa Waisraeli kutoka utumwani Misri ili waende nchi ya ahadi
 
Hao walichokwa na Wakristo wa Ulaya kwa chuki zao kwa Ukristo ndiyo wakatafutiwa eneo katika tawala ya Uingereza. Hitler aliwauwa wengi sana na nchi zingine za Ulaya na Marekani hawakauwa tayari kuwa eneno la kuwaweka kwa jili ya ubaguzi wao wa kidini.

Kumbuka Wapalestina ndiyo wenye funguo rasmi za sehemu zao za ibada za asili za Wakristo, Wayahudi na Waislam hapo Jesrusalem.

Kwanza ilipangwa waletwe Uganda kukawa na mvutano, ikaamuliwa wapelekwe hapo Palestina.
Naomba reference ya chuki za Wakristo
 
Yusufu alikuwa Mwisraeli

Aliuzwa na ndugu zake kwa wafanyabiashara ambao nao walimuuza kwa Wamisri. Akiwa Misri Farao alimpenda sana akamweka kuwa waziri mkuu wa Misri

Kule ilipobaki familia yake kukawa na njaa Farao akamwambia Yusufu ailete familia yake Misri

Waisraeli wakaongezeka na kuwa wengi pale Misri waliishi kwa amani sana

Yusufu akafa na yule Farao naye akafa

Akaja Farao mpya wa Misri ambaye hakuwapenda Waisraeli, akawa mfalme wa Misri. Farao huyo mbaya akawafanya Waisraeli kuwa watumwa.

Miaka mingi baadaye Mungu anamtumia Musa ambaye ni kizazi cha Yusufu kuwakomboa Waisraeli kutoka utumwani Misri ili waende nchi ya ahadi
😶‍🌫️
 
Tumia historia kuonesha kuwa hao wayahudi fek walikuwepo hilo eneo kabla ya kupachikwa hapo na UN miaka ya 1947.

Pili tumia ushahidi wa kisayansi kwa kufananisha Vinasaba kati ya hao wayahudi fek na wakazi wa huo ukanda, maana kiuhalisia mtu yeyote wa ukanda wako ni lazma mtafanana vinasaba sababu ya kushare miunganiko ya kijamii , ama taratibu za kimila na tamaduni.

Tatu ukitumia biblia utaona kuwa inawakataa hao wayahudi feki maana biblia inasema wayahudi wa kweli walipelekwa utumwan kwa melikebu(mashua) kwa kufungwa minyororo shingoni na miguuni na kupelekwa dunia nzima mbali na ardhi yao, kihistoria hao wayahudi hawana ushahid wa kuwekwa utumwan(Soma historia), ni mtu mweusi tu ndiye aliyepelekwa utumwan kwa zaid ya miaka 400 mbali na afrika ni muafrika tu ambaye kaenea dunia nzima, pia kibiblia ardhi ya israel ya kweli ni kubwa yenye rasilimali nyingi za madini, ardhi yenye rutuba, maziwa, bahari na wanyama, je hilo jangwa lenu hapo middle east lina ukubwa gan? Lina hata ardhi yenye kustawisha mimea? Kuna wanyama huko?

Jaman msikubali kuwa wafuata upepo, tumezaliwa ktk dini ambazo wazazi wetu wameturithisha kwa ujinga wao na sisi tusikubali watoto zetu warithi upumbavu wa aina hii, utumwa wa kimwil uliisha umebaki huu utumwa wa akili ambao wazungu wanautumia kuwaaminisha mambo ya uongo huko makanisan na misikitini bila kusahau mashuleni.

Soma vzuri historia ya dunia ukishindwa rudi hapa nikupe ushahidi wa kupinga huo upumbavu mliolishwa makanisani na mashuleni
Sasa kuwa Myahudi inakusaidia nini?

Wabantu sijui ni watoto wa Ibrahimu, ni ujinga mtupu. Kuna umaskini wa kutupa Africa
 
Yaan hujui kitu kuhusu historia ya hawa watu, nikikwambia urudi miaka 2000 iliyopita unioneshe ktk ardhi hiyo ni nan alikuwa mkazi(kihistoria) wa hiyo ardhi utaweza?

Maana kibiblia mmeaminishwa miaka hiyo ktk hiyo ardhu alikuwepo Yesu na mitume kadhaa, lkn kihistoria miaka hiyo ardhi hiyo palikaliwa na waarabu ambao ndio hao wapalestina nao hiyo ardhi sio mali yao halali maana ukanda huo ulikuwa mali ya mtu mweusi.

Unatakiwa ujuwe kuwa baada ya vita vya dunia vya pili hao jamaa walitafutiwa eneo la kuwekwa East afrika ikashindikana na ndio muendelezo wa wayahudi kuchukiana na idd amini, baada ya wazungu kukosa eneo la kuwapeleka hao wakimbizi ambao kimsingi ni raia wa ulaya haswa uturuki basi wakaingia kibabe hapo palestina ambako tayari ilikuwa nchi ya waarabu pia kulikuwako na wazungu ambao walikuwa na viwanja huko na ndio sababu ya hawa watangulizi wa kizungu kuwagawia ndugu zao maeneo huko, maeneo mengine wakajenga mahekalu na mengine kujenga hiyo Yerusalemu feki na makaburi feki ikiwa kama Historical sites ya kuwadanganya watu kuwa eneo hilo walishakuwepo.

Kigezo kikuu walichotumia kurudi hapo ni biblia ambayo ilishaharibiwa na wao wenyewe kupitia mroma kwa kuEdit na kuondoa vitabu vya muhimu na uku wakipachika story za uongo ambazo ukitumia akili kusoma unagundua huo uongo.
Issue ya Wayahudi kutafutiwa eneo Uganda ilikuwa 1903 hata Iddi Amin hajazaliwa. Ugomvi wa Iddi Amin na Wayahudi ni kuruhusu magaidi kuitumia nchi yake kama base.
 
Back
Top Bottom