Ilikuwaje katikati ya nchi za Kiarabu pawe nyumbani pa Wazungu?

Ilikuwaje katikati ya nchi za Kiarabu pawe nyumbani pa Wazungu?

Asili ya Waisraeli, pia wanajulikana kama Waisraeli wa Kiyahudi, ni mada ngumu na ina historia ndefu. Hapa kuna muhtasari wa kihistoria wa asili yao:
  1. Mwanzo wa Taifa la Israeli: Katika Biblia, imeelezwa kwamba taifa la Israeli lilianza na Ibrahimu (Abraham), ambaye aliongozwa kutoka Uru wa Wakaldai kwenda Kanaani na ahadi ya Mungu ya kuwapa ardhi hiyo kwa urithi. Huyu alikuwa miongoni mwa watu wa kale wa Mashariki ya Kati.
  2. Kipindi cha Kutawala Misri: Baada ya muda, wazawa wa Ibrahimu walikwenda Misri kutokana na njaa. Walisalia huko kwa muda mrefu na hatimaye wakawa watumwa.
  3. Kutoka Misri: Kiongozi wa kidini na kisiasa, Musa, aliwaongoza Waisraeli kutoka utumwani Misri. Hii ndiyo inayojulikana kama Kutoka au Exodus.
  4. Kuingia Kanaani: Baada ya miaka mingi ya kutembea jangwani, Waisraeli walifika katika nchi ya Kanaani, ardhi ambayo Mungu aliwaahidi.
  5. Historia ya Mataifa ya Israeli: Baada ya kuingia Kanaani, Waisraeli walikabiliana na wakazi wengine wa eneo hilo, wakiwemo Wakanaani. Walijenga ufalme wao wa kwanza chini ya wafalme kama Daudi na Sulemani.
  6. Ugawanyiko na Uhamiaji: Baada ya muda, ufalme wa Israeli uligawanyika kuwa Ufalme wa Israeli (Kaskazini) na Ufalme wa Yuda (Kusini). Kwa sababu za kihistoria, Waisraeli wa Kaskazini walitawanyika na kuwa wakimbizi, ambao wengine walipoteza utambulisho wao wa kikabila.
  7. Ukupande wa Dini: Kwa miaka mingi, dini ya Kiyahudi ilicheza jukumu muhimu katika kuunganisha jamii ya Kiyahudi, hata kati ya wakimbizi na wageni. Dini hii ina msingi wake katika historia ya awali ya Waisraeli.
  8. Kurejea Kwa Wayahudi: Karne ya 19 na 20 ilishuhudia Waisraeli wengi kutoka ulimwengu mzima, pamoja na Ulaya, kuanza kurudi katika ardhi ya Kanaani na kujenga tena taifa la Israel. Hatimaye, taifa la Israel la kisasa lilipatikana mwaka 1948.
Hivyo, kihistoria, Waisraelil wamekuwa na uhusiano wa karibu na Mashariki ya Kati, ingawa asili yao inachanganya mambo ya kihistoria, dini, na uhamiaji. Kwa sasa, Israel ni nchi ya kisasa katika eneo hilo lenye utajiri wa historia na tamaduni.
Endelea babu au umemaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pale Mashariki ya Kati pamezungukwa na Waarabu, halafu katikati kuna wazungu wanasema ni nyumbani pao, wanajiita Israel.

Hawa wazungu wametokea wapi? Kama wao ni watoto wa Ibrahim, Ibrahim alikuwa mtu wa Uru ya Wakardayo, àlmbayo ni Iran ya leo. Iran sio wazungu.

Hawa Waisrael wazungu wametokea wapi?
Mbona umeona wazungu TU. Mbona huzungumzii Arab Jews au black Jews au Persian Jews we umewaona hao ashkenaz tu kwanini?
 
Pale Mashariki ya Kati pamezungukwa na Waarabu, halafu katikati kuna wazungu wanasema ni nyumbani pao, wanajiita Israel.

Hawa wazungu wametokea wapi? Kama wao ni watoto wa Ibrahim, Ibrahim alikuwa mtu wa Uru ya Wakardayo, àlmbayo ni Iran ya leo. Iran sio wazungu.

Hawa Waisrael wazungu wametokea wapi?
Kwahiyo umehitimisha kwamba Waisraeli ni wazungu?[emoji23]
 
Wayahudi sio wazungu. Asili yao Mashariki ya Kati (Middle East)

Waliishi hapo miaka mingi sana ya nyuma kilichofanya watawanyike na kupotea eneo hilo ni laana ya kuwakataa manabii wa Mungu na kumuua Yesu

Ona maneno ya Yesu aliwachana bila kuficha Wayahudi (Waisraeli)

MATHAYO 23:37, 38

37. Ee Yerusalemu, Yerusalemu! Unayewaua manabii. Unawapiga kwa mawe wale ambao Mungu amewatuma kwako. Mara nyingi nimetaka kuwasaidia watu wako. Nimetaka kuwakusanya watu wako kama kuku anavyowakusanya vifaranga wake chini ya mbawa zake. Lakini hukuniruhusu kufanya hivyo.

38. Sasa Hekalu lako litaachwa ukiwa kabisa.


Hii ilikuwa ni laana kwa taifa la Israeli la kale na kuanzia hapo wakawa watumwa kwa taifa la Roma (Roman Empire) na wakatawanyika kutoka pale Israeli kwenda maeneo ya Ulaya.

Eneo lao likawa ukiwa

Baadaye ardhi/eneo lao likachukuliwa na Wapalestina
baadaye kuanzia 1517 likawa chini ya Ottomon Empire baadaye Waingereza wakalipora mwaka 1917 lakini likiwa bado chini ya mamlaka ya Palestina

Baada ya miaka mingi ya kutangatanga, kubaguliwa na mateso huko Ulaya, Marekani na maeneo mengine duniani, Wayahudi wakarudi kinguvu mwaka 1948 wakipewa support ya UN, Marekani na Uingereza kuwaondoa Wapalestina wakidai ni nchi yao ya ahadi kwenye movement iliyoitwa ZIONISM MOVEMENT

Tukio hili la kuanzishwa kwa taifa la Israel mwaka 1948 lilichukiwa na mataifa ya Kiarabu kuona Wapalestina ambao asili yao ni Waarabu wakinyang'anywa ardhi yao.

Hilo likapelekea kutokea kwa vita iliyoitwa Arab-Israel War (1948-1949) kati ya Israel na mataifa ya kiarabu yaliyokuwa yakiiunga mkono Palestina, Israel ilishinda vita hivyo.

Hii ndiyo sababu mpaka leo Israel inachukiwa na mataifa ya Kiarabu na kushambuliwa mara kwa mara na makundi ya Wapalestina
Ibrahim alipotoka kwao aliambiwa na Mungu aende kwenye nchi atakayoagizwa. Huko alikuta watu (natives).
Kwa hiyo hawa wenyeji ndio wenye eneo lao
 
Inasemekana watu weusi hivi sasa ni 15% ya world population, kwahiyo huenda weusi tunapunguzwa mdogomdogo, lakini pili culture ya waarabu inaruhusu polygamism hivyo kuzaliana kwao ni kukuba kuliko kwetu ambako majority tunaishia mke mmoja, nadhani ndiyo maana chama chetu kilikuja na sera ya kufyatua watoto lengo lilikuwa kupanua uzao wetu tusipotee
Ndio maana Uislam ni dini inayokuwa kwa kasi, Maandazi Road kuna binti wa kipemba ana watoto 17
 
Wayahudi sio wazungu. Asili yao Mashariki ya Kati (Middle East)

Waliishi hapo miaka mingi sana ya nyuma kilichofanya watawanyike na kupotea eneo hilo ni laana ya kuwakataa manabii wa Mungu na kumuua Yesu

Ona maneno ya Yesu aliwachana bila kuficha Wayahudi (Waisraeli)

MATHAYO 23:37, 38

37. Ee Yerusalemu, Yerusalemu! Unayewaua manabii. Unawapiga kwa mawe wale ambao Mungu amewatuma kwako. Mara nyingi nimetaka kuwasaidia watu wako. Nimetaka kuwakusanya watu wako kama kuku anavyowakusanya vifaranga wake chini ya mbawa zake. Lakini hukuniruhusu kufanya hivyo.

38. Sasa Hekalu lako litaachwa ukiwa kabisa.


Hii ilikuwa ni laana kwa taifa la Israeli la kale na kuanzia hapo wakawa watumwa kwa taifa la Roma (Roman Empire) na wakatawanyika kutoka pale Israeli kwenda maeneo ya Ulaya.

Eneo lao likawa ukiwa

Baadaye ardhi/eneo lao likachukuliwa na Wapalestina
baadaye kuanzia 1517 likawa chini ya Ottomon Empire baadaye Waingereza wakalipora mwaka 1917 lakini likiwa bado chini ya mamlaka ya Palestina

Baada ya miaka mingi ya kutangatanga, kubaguliwa na mateso huko Ulaya, Marekani na maeneo mengine duniani, Wayahudi wakarudi kinguvu mwaka 1948 wakipewa support ya UN, Marekani na Uingereza kuwaondoa Wapalestina wakidai ni nchi yao ya ahadi kwenye movement iliyoitwa ZIONISM MOVEMENT

Tukio hili la kuanzishwa kwa taifa la Israel mwaka 1948 lilichukiwa na mataifa ya Kiarabu kuona Wapalestina ambao asili yao ni Waarabu wakinyang'anywa ardhi yao.

Hilo likapelekea kutokea kwa vita iliyoitwa Arab-Israel War (1948-1949) kati ya Israel na mataifa ya kiarabu yaliyokuwa yakiiunga mkono Palestina, Israel ilishinda vita hivyo.

Hii ndiyo sababu mpaka leo Israel inachukiwa na mataifa ya Kiarabu na kushambuliwa mara kwa mara na makundi ya Wapalestina
Safi sana mwalimu wa historia
 
Ibrahim alipotoka kwao aliambiwa na Mungu aende kwenye nchi atakayoagizwa. Huko alikuta watu (natives).
Kwa hiyo hawa wenyeji ndio wenye eneo lao
Mungu alimuahidi Ibrahim miaka mingi sana kuwa wazao wake au kizazi chake kingerithi nchi hiyo. Mpaka anakufa akuona ahadi hiyo ikitimia.

Baadaye WAKANAANI wakaenda kuishi hapo kabla ya ahadi ya Mungu kutimia.

Inaweza kusemwa kwamba Wakanaani walikuwa wakaaji wa nchi ambayo haikuwa yao, tayari Mungu alipanga Waisraeli waishi hapo

Kizazi cha kipindi cha YOSHUA ndicho ambacho kiliona utimizo wa maneno ya ahadi hiyo aliyopewa babu yao Ibrahim miaka mingi iliyopita

Mungu aliruhusu Wasraeli wakiongozwa na jemedari Yoshua kuwaangamiza WAKANAANI na kutwaa eneo hilo.

Moja ya WAKANAANI waliopona kwenye shambulizi hilo ni yule kahaba RAHABU na familia yake

NB: WAKANAANI walikuwa wavamizi kwenye eneo ambalo tayari Mungu alipanga kimbele Waisraeli waende kuishi. Kwa hiyo natives ni watu wa kizazi cha Ibrahim (Waisrael)
 
Tumia historia kuonesha kuwa hao wayahudi fek walikuwepo hilo eneo kabla ya kupachikwa hapo na UN miaka ya 1947.

Pili tumia ushahidi wa kisayansi kwa kufananisha Vinasaba kati ya hao wayahudi fek na wakazi wa huo ukanda, maana kiuhalisia mtu yeyote wa ukanda wako ni lazma mtafanana vinasaba sababu ya kushare miunganiko ya kijamii , ama taratibu za kimila na tamaduni.

Tatu ukitumia biblia utaona kuwa inawakataa hao wayahudi feki maana biblia inasema wayahudi wa kweli walipelekwa utumwan kwa melikebu(mashua) kwa kufungwa minyororo shingoni na miguuni na kupelekwa dunia nzima mbali na ardhi yao, kihistoria hao wayahudi hawana ushahid wa kuwekwa utumwan(Soma historia), ni mtu mweusi tu ndiye aliyepelekwa utumwan kwa zaid ya miaka 400 mbali na afrika ni muafrika tu ambaye kaenea dunia nzima, pia kibiblia ardhi ya israel ya kweli ni kubwa yenye rasilimali nyingi za madini, ardhi yenye rutuba, maziwa, bahari na wanyama, je hilo jangwa lenu hapo middle east lina ukubwa gan? Lina hata ardhi yenye kustawisha mimea? Kuna wanyama huko?

Jaman msikubali kuwa wafuata upepo, tumezaliwa ktk dini ambazo wazazi wetu wameturithisha kwa ujinga wao na sisi tusikubali watoto zetu warithi upumbavu wa aina hii, utumwa wa kimwil uliisha umebaki huu utumwa wa akili ambao wazungu wanautumia kuwaaminisha mambo ya uongo huko makanisan na misikitini bila kusahau mashuleni.

Soma vzuri historia ya dunia ukishindwa rudi hapa nikupe ushahidi wa kupinga huo upumbavu mliolishwa makanisani na mashuleni
Aisee! Kuna watu mko deep kasoro hamna mamlaka tu
 
Sababu kuu hao waarabu ni wavamizi ambao hawana miaka mingi hapa Africa tangu wavamie.

The same way kwa hao wajiitao wayahudi waliopachikwa hapo palestina na UN baada ya kukosa eneo la kimkakati la kuwapeleka ndugu zao wakawe chambo ya kuharibu historia ya dunia kuhusu ukweli wa Hadithi za wayahudi wa kweli.

Hawapo hapo bahati mbaya bali kwa mipango ya hao hao wazungu, kwanza kupotosha historia ya watu weusi, pili kisiasa na kiuchumi ndio sababu ya wao kupora hiyo ardhi ya wapalestina.

Huyo wanaemuita ibrahimu, kuwa ndie baba yao, huo ni uongo maana ibrahimu hakuwai kuishi Asia wala hakuitwa ibrahimu na hakuwa mtu weupe, pili hata huyo ishmael hana uhusika wowote na mataifa ya uarabuni kwakuwa alikuwa mweusi ambaye historia yake imepotoshwa na hao wazungu walioshirikiana na muhamad kuunda hiyo dini ya mchongo.

Watu weupe wameiharibu sana hii dunia kwa kila kitu.

Kwa bahati mbaya hawa jamaa wanacontroll kila kitu dunian hivyo haya mambo ni ngumu kuyajua maana wamekamata akili za watu kuanzia mashulen mpka ktk hizo dini.

Ni Bahati sana kufikia hatua mtu unakua neutral yaani hujashikwa kidini wala kielimu basi unakuwa na Free will ya kuamua na kujua kipi kweli na kipi si kweli maana unakuwa nje ya mahaba ya vifungo vya hao jamaa kidini, kisiasa, kiuchumi mpaka kiakili na kiroho.

Ngumu sana kwa kizazi chetu kuutambua ukweli, 90% ya kila jambo duniani ni Uongo.

Unaweza kuyasapoti maneno yako na viambatanishi vya ushaidi ! maana la sivyo zinakua n hisia mihemuko tu
 
Yaan hujui kitu kuhusu historia ya hawa watu, nikikwambia urudi miaka 2000 iliyopita unioneshe ktk ardhi hiyo ni nan alikuwa mkazi(kihistoria) wa hiyo ardhi utaweza?

Maana kibiblia mmeaminishwa miaka hiyo ktk hiyo ardhu alikuwepo Yesu na mitume kadhaa, lkn kihistoria miaka hiyo ardhi hiyo palikaliwa na waarabu ambao ndio hao wapalestina nao hiyo ardhi sio mali yao halali maana ukanda huo ulikuwa mali ya mtu mweusi.

Unatakiwa ujuwe kuwa baada ya vita vya dunia vya pili hao jamaa walitafutiwa eneo la kuwekwa East afrika ikashindikana na ndio muendelezo wa wayahudi kuchukiana na idd amini, baada ya wazungu kukosa eneo la kuwapeleka hao wakimbizi ambao kimsingi ni raia wa ulaya haswa uturuki basi wakaingia kibabe hapo palestina ambako tayari ilikuwa nchi ya waarabu pia kulikuwako na wazungu ambao walikuwa na viwanja huko na ndio sababu ya hawa watangulizi wa kizungu kuwagawia ndugu zao maeneo huko, maeneo mengine wakajenga mahekalu na mengine kujenga hiyo Yerusalemu feki na makaburi feki ikiwa kama Historical sites ya kuwadanganya watu kuwa eneo hilo walishakuwepo.

Kigezo kikuu walichotumia kurudi hapo ni biblia ambayo ilishaharibiwa na wao wenyewe kupitia mroma kwa kuEdit na kuondoa vitabu vya muhimu na uku wakipachika story za uongo ambazo ukitumia akili kusoma unagundua huo uongo.
Hapa umeandika uongo. Eti walikuwepo waarabu. Waarabu si wameenda miaka 1500's wakati wa expansion ya Ottoman Empire. Pamoja na kuandika kote umeshindwa kujua hilo au umejichetua?
 
[emoji848]View attachment 2775193
1696065435292.jpg
View attachment 2775194
 
Pale Mashariki ya Kati pamezungukwa na Waarabu, halafu katikati kuna wazungu wanasema ni nyumbani pao, wanajiita Israel.

Hawa wazungu wametokea wapi? Kama wao ni watoto wa Ibrahim, Ibrahim alikuwa mtu wa Uru ya Wakardayo, àlmbayo ni Iran ya leo. Iran sio wazungu.

Hawa Waisrael wazungu wametokea wapi?

Una uhakika waisrael ni wazungu mkuu…
IMG_9808.jpg

Tazama hapa ili uanze kutoa hiyo idea yako ya kua ni wazungu!! mathalan hao waisrael wenye asili ya ethiopia wanafanana na wazungu??
 
Wayahudi sio wazungu. Asili yao Mashariki ya Kati (Middle East)

Waliishi hapo miaka mingi sana ya nyuma kilichofanya watawanyike na kupotea eneo hilo ni laana ya kuwakataa manabii wa Mungu na kumuua Yesu

Ona maneno ya Yesu aliwachana bila kuficha Wayahudi (Waisraeli)

MATHAYO 23:37, 38

37. Ee Yerusalemu, Yerusalemu! Unayewaua manabii. Unawapiga kwa mawe wale ambao Mungu amewatuma kwako. Mara nyingi nimetaka kuwasaidia watu wako. Nimetaka kuwakusanya watu wako kama kuku anavyowakusanya vifaranga wake chini ya mbawa zake. Lakini hukuniruhusu kufanya hivyo.

38. Sasa Hekalu lako litaachwa ukiwa kabisa.


Hii ilikuwa ni laana kwa taifa la Israeli la kale na kuanzia hapo wakawa watumwa kwa taifa la Roma (Roman Empire) na wakatawanyika kutoka pale Israeli kwenda maeneo ya Ulaya.

Eneo lao likawa ukiwa

Baadaye ardhi/eneo lao likachukuliwa na Wapalestina
baadaye kuanzia 1517 likawa chini ya Ottomon Empire baadaye Waingereza wakalipora mwaka 1917 lakini likiwa bado chini ya mamlaka ya Palestina

Baada ya miaka mingi ya kutangatanga, kubaguliwa na mateso huko Ulaya, Marekani na maeneo mengine duniani, Wayahudi wakarudi kinguvu mwaka 1948 wakipewa support ya UN, Marekani na Uingereza kuwaondoa Wapalestina wakidai ni nchi yao ya ahadi kwenye movement iliyoitwa ZIONISM MOVEMENT

Tukio hili la kuanzishwa kwa taifa la Israel mwaka 1948 lilichukiwa na mataifa ya Kiarabu kuona Wapalestina ambao asili yao ni Waarabu wakinyang'anywa ardhi yao.

Hilo likapelekea kutokea kwa vita iliyoitwa Arab-Israel War (1948-1949) kati ya Israel na mataifa ya kiarabu yaliyokuwa yakiiunga mkono Palestina, Israel ilishinda vita hivyo.

Hii ndiyo sababu mpaka leo Israel inachukiwa na mataifa ya Kiarabu na kushambuliwa mara kwa mara na makundi ya Wapalestina
Sawa mwanahistoria, umesema wayahudi waliondoka na baadaye ndio wakaja waarabu wa palestina, kumbe ardhi ni ya wayahudi sio waarabu
 
Pale Mashariki ya Kati pamezungukwa na Waarabu, halafu katikati kuna wazungu wanasema ni nyumbani pao, wanajiita Israel.

Hawa wazungu wametokea wapi? Kama wao ni watoto wa Ibrahim, Ibrahim alikuwa mtu wa Uru ya Wakardayo, àlmbayo ni Iran ya leo. Iran sio wazungu.

Hawa Waisrael wazungu wametokea wapi?
Wazungu bandia
 
Back
Top Bottom