Ilikuwaje katikati ya nchi za Kiarabu pawe nyumbani pa Wazungu?

Ilikuwaje katikati ya nchi za Kiarabu pawe nyumbani pa Wazungu?

Pale Mashariki ya Kati pamezungukwa na Waarabu, halafu katikati kuna wazungu wanasema ni nyumbani pao, wanajiita Israel.

Hawa wazungu wametokea wapi? Kama wao ni watoto wa Ibrahim, Ibrahim alikuwa mtu wa Uru ya Wakardayo, àlmbayo ni Iran ya leo. Iran sio wazungu.

Hawa Waisrael wazungu wametokea wapi?
Waisraeli sio wazungu, ni vile tu wengi vizazi vyao viliishi Ulaya, hivyo wana uzungu mwingi,
 
Inakuwaje bara ni la Africa ila waarab ndio wengi kuliko weusi?
Inasemekana watu weusi hivi sasa ni 15% ya world population, kwahiyo huenda weusi tunapunguzwa mdogomdogo, lakini pili culture ya waarabu inaruhusu polygamism hivyo kuzaliana kwao ni kukuba kuliko kwetu ambako majority tunaishia mke mmoja, nadhani ndiyo maana chama chetu kilikuja na sera ya kufyatua watoto lengo lilikuwa kupanua uzao wetu tusipotee
 
Kilichofanyika miaka ya 1930s Wayahudi walijiorganise wakawapa mitaji Wayahudi wenzao waende kwenye ardhi ya Palestina ambayo kihistoria wanadai yao

Wayahudi hao walienda kama wakulima wakubwa kuwekeza (settlers) wakanunua ardhi na walihodhi maeneo makubwa sana

Na mbinu hii Wapalestina hawakuigundua na kama wangeigundua wasingekubali si tu kuwapa ardhi ya kilimo bali hata wasingewakaribisha na kuwauzia

Basi settlers hao wa Wakiyahudi wakaanza kuchukua ardhi kubwa wakaanza na kuwaleta wenzao kutoka Ulaya, Marekani na pande zote za dunia
Kuna kila dalili na sisi Afrika kufanyiwa huu mchezo, huu ugumu wa maisha unaotufanya tubinafsishe kila kitu kwa mgongo wa uwekezaji na sasa kubadili sheria ya ardhi ili wageni wamiliki ardhi permanently haitofautiani na walichofanyiwa wapalestina, ipo siku akina Komba, Simba, Tembo, Nguruwe, Nyoka, Mbawala, and the like tutaambiwa turudi Afrika Kusini
 
Waliishi hapo miaka mingi sana ya nyuma kilichofanya watawanyike na kupotea eneo hilo ni laana ya kuwakataa manabii wa Mungu na kumuua Yesu

Ona maneno ya Yesu aliwachana bila kuficha Wayahudi (Waisraeli)
Lakini kifo chake kiliandikwa in advance kwanini wayahudi wanalaaniwa kama mambo yalishaandaliwa
 
Biblia inasema Yesu alikuwa mweusi. Missing Kemet ilikuwa ya watu weusi ndio maana ilikuwa rahisi kwa Yesu kwenda kujificha Misri alipotaka kuuwawa na Herode. Huwezi kujificha kwenye jamii ambayo hamfani rangi
@kemet Kemetic
 
pia kwa miaka mitatu walifanya huduma pamoja, Yohana alikuwa ni mwanafunzi wa Yesu na ndiye aliyekuwa mdogo kuliko wote
Sasa kama waliishi wote,ilikuwaje ten an afunuliwe huyo Yesu' au alifunuliwa Yesu mwingine!?
 
Israel ni watu weusi kivipi?
Wimbo Ulio Bora 1:5
Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.

Wimbo Ulio Bora 1:6
Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi-mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.
 
Pale Mashariki ya Kati pamezungukwa na Waarabu, halafu katikati kuna wazungu wanasema ni nyumbani pao, wanajiita Israel.

Hawa wazungu wametokea wapi? Kama wao ni watoto wa Ibrahim, Ibrahim alikuwa mtu wa Uru ya Wakardayo, àlmbayo ni Iran ya leo. Iran sio wazungu.

Hawa Waisrael wazungu wametokea wapi?
Walipewa na yesu na kuzungukwa na mwenye eneo ilikuwa inaonnyesha uwepo wa yesu mahala pale na wakaambiwa hatotokea hata mmoja mwenye eneo atakaye wasumbua namana ninyi ni taifa langu teuleee wale wa mchongo wakaita taifa teule ni malaika mtoa roho eti Israel utanielewa taratibu
 
Israel ni watu weusi kivipi?
2 Samweli 14:25
Basi katika Israeli wote hapakuwa na mtu hata mmoja mwenye kusifiwa kwa uzuri wake kama huyo Absalomu; tangu nyayo za miguu yake hata utosi wa kichwa chake hapakuwa na ila kwake.

2 Samweli 14:26
Naye aliponyoa kichwa, (basi mwisho wa kila mwaka hunyoa; na kwa sababu nywele zilikuwa nzito kwake, kwa hiyo akanyoa😉 hupima nywele za kichwa chake shekeli mia mbili kwa uzani wa mfalme.

2 Samweli 18:9
Na kwa bahati Absalomu akakutana na watumishi wa Daudi. Naye Absalomu alikuwa amepanda nyumbu wake, na yule nyumbu akapita chini ya matawi manene ya mwaloni mkubwa, hata kichwa chake kikakwama katika mwaloni huo, akanyakuliwa juu kati ya mbingu na nchi; na yule nyumbu aliyekuwa chini yake akaenda mbele.
 
Sasa kama waliishi wote,ilikuwaje ten an afunuliwe huyo Yesu' au alifunuliwa Yesu mwingine!?
Hakufunuliwa Yesu, alifunuliwa neno. NENO LILILOFUNULIWA. Hebu soma ili uelewe
 
Wimbo Ulio Bora 1:5
Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.

Wimbo Ulio Bora 1:6
Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi-mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.
Weusiweusi wakuunguzwa n jua Si huuweusi wa Kiafrika mkuu,Lugha hujui wewe!
 
Back
Top Bottom