Msela Baharia
JF-Expert Member
- Jun 12, 2016
- 766
- 1,104
Duuh, mungu kaamua kujificha kudadekBiblia inasema Yesu alikuwa mweusi. Missing Kemet ilikuwa ya watu weusi ndio maana ilikuwa rahisi kwa Yesu kwenda kujificha Misri alipotaka kuuwawa na Herode. Huwezi kujificha kwenye jamii ambayo hamfani rangi
Yesu sio Mungu, nipe mstari unaosema Yesu ni MunguDuuh, mungu kaamua kujificha kudadek
Waisraeli sio wazungu, ni vile tu wengi vizazi vyao viliishi Ulaya, hivyo wana uzungu mwingi,Pale Mashariki ya Kati pamezungukwa na Waarabu, halafu katikati kuna wazungu wanasema ni nyumbani pao, wanajiita Israel.
Hawa wazungu wametokea wapi? Kama wao ni watoto wa Ibrahim, Ibrahim alikuwa mtu wa Uru ya Wakardayo, àlmbayo ni Iran ya leo. Iran sio wazungu.
Hawa Waisrael wazungu wametokea wapi?
Hatungi, ndio ukweliMuda wa hadithi za kutunga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Historia ipo wazi sana....Misri ya farao illikuwa ni weusiInakuwaje bara ni la Africa ila waarab ndio wengi kuliko weusi?
Inasemekana watu weusi hivi sasa ni 15% ya world population, kwahiyo huenda weusi tunapunguzwa mdogomdogo, lakini pili culture ya waarabu inaruhusu polygamism hivyo kuzaliana kwao ni kukuba kuliko kwetu ambako majority tunaishia mke mmoja, nadhani ndiyo maana chama chetu kilikuja na sera ya kufyatua watoto lengo lilikuwa kupanua uzao wetu tusipoteeInakuwaje bara ni la Africa ila waarab ndio wengi kuliko weusi?
Kuna kila dalili na sisi Afrika kufanyiwa huu mchezo, huu ugumu wa maisha unaotufanya tubinafsishe kila kitu kwa mgongo wa uwekezaji na sasa kubadili sheria ya ardhi ili wageni wamiliki ardhi permanently haitofautiani na walichofanyiwa wapalestina, ipo siku akina Komba, Simba, Tembo, Nguruwe, Nyoka, Mbawala, and the like tutaambiwa turudi Afrika KusiniKilichofanyika miaka ya 1930s Wayahudi walijiorganise wakawapa mitaji Wayahudi wenzao waende kwenye ardhi ya Palestina ambayo kihistoria wanadai yao
Wayahudi hao walienda kama wakulima wakubwa kuwekeza (settlers) wakanunua ardhi na walihodhi maeneo makubwa sana
Na mbinu hii Wapalestina hawakuigundua na kama wangeigundua wasingekubali si tu kuwapa ardhi ya kilimo bali hata wasingewakaribisha na kuwauzia
Basi settlers hao wa Wakiyahudi wakaanza kuchukua ardhi kubwa wakaanza na kuwaleta wenzao kutoka Ulaya, Marekani na pande zote za dunia
Yesu aliongea na WayahudiWapi Yesu anaongea na wazungu?
Lakini kifo chake kiliandikwa in advance kwanini wayahudi wanalaaniwa kama mambo yalishaandaliwaWaliishi hapo miaka mingi sana ya nyuma kilichofanya watawanyike na kupotea eneo hilo ni laana ya kuwakataa manabii wa Mungu na kumuua Yesu
Ona maneno ya Yesu aliwachana bila kuficha Wayahudi (Waisraeli)
Sasa kama waliishi wote,ilikuwaje ten an afunuliwe huyo Yesu' au alifunuliwa Yesu mwingine!?pia kwa miaka mitatu walifanya huduma pamoja, Yohana alikuwa ni mwanafunzi wa Yesu na ndiye aliyekuwa mdogo kuliko wote
Wimbo Ulio Bora 1:5Israel ni watu weusi kivipi?
Walipewa na yesu na kuzungukwa na mwenye eneo ilikuwa inaonnyesha uwepo wa yesu mahala pale na wakaambiwa hatotokea hata mmoja mwenye eneo atakaye wasumbua namana ninyi ni taifa langu teuleee wale wa mchongo wakaita taifa teule ni malaika mtoa roho eti Israel utanielewa taratibuPale Mashariki ya Kati pamezungukwa na Waarabu, halafu katikati kuna wazungu wanasema ni nyumbani pao, wanajiita Israel.
Hawa wazungu wametokea wapi? Kama wao ni watoto wa Ibrahim, Ibrahim alikuwa mtu wa Uru ya Wakardayo, àlmbayo ni Iran ya leo. Iran sio wazungu.
Hawa Waisrael wazungu wametokea wapi?
2 Samweli 14:25Israel ni watu weusi kivipi?
Hakufunuliwa Yesu, alifunuliwa neno. NENO LILILOFUNULIWA. Hebu soma ili ueleweSasa kama waliishi wote,ilikuwaje ten an afunuliwe huyo Yesu' au alifunuliwa Yesu mwingine!?
Hawa Waisrael wa leo ni feki. Queen of Sheba alikuwa mu Ethiopia alizaa na SuleimanWaafrika tunapenda kulazimisha undugu sasa israel na weusi wapi na wapi
Weusiweusi wakuunguzwa n jua Si huuweusi wa Kiafrika mkuu,Lugha hujui wewe!Wimbo Ulio Bora 1:5
Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.
Wimbo Ulio Bora 1:6
Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi-mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.