Ilikuwaje katikati ya nchi za Kiarabu pawe nyumbani pa Wazungu?

Hao walichokwa na Wakristo wa Ulaya kwa chuki zao kwa Ukristo ndiyo wakatafutiwa eneo katika tawala ya Uingereza. Hitler aliwauwa wengi sana na nchi zingine za Ulaya na Marekani hawakauwa tayari kuwa eneno la kuwaweka kwa jili ya ubaguzi wao wa kidini.

Kumbuka Wapalestina ndiyo wenye funguo rasmi za sehemu zao za ibada za asili za Wakristo, Wayahudi na Waislam hapo Jesrusalem.

Kwanza ilipangwa waletwe Uganda kukawa na mvutano, ikaamuliwa wapelekwe hapo Palestina.
 
na vipi kuhusu ile stori ya bibilia kuwa walichukuliwa utumwa kwenda misri kupitia stori ya yusufu aliyeuzwa utumwani akaenda kuwa waziri mkuu sasa wakaanza kurudi kupitia akina musa katika kanaani?
 
Mbaya Sana kumezeshwa historia walizoandika watesi wenu.

Ukweli haujifichi na vyoote wanavyoviita Siri ni uongo ambao haukusemwa kwa ukubwa au kuenezwa.
Muda unawajmbua wengi.

Kanye West mbona walishindwa kumpinga alivyo-wananga.
Oromos Uru.
 
na vipi kuhusu ile stori ya bibilia kuwa walichukuliwa utumwa kwenda misri kupitia stori ya yusufu aliyeuzwa utumwani akaenda kuwa waziri mkuu sasa wakaanza kurudi kupitia akina musa katika kanaani?
Yusufu alikuwa Mwisraeli

Aliuzwa na ndugu zake kwa wafanyabiashara ambao nao walimuuza kwa Wamisri. Akiwa Misri Farao alimpenda sana akamweka kuwa waziri mkuu wa Misri

Kule ilipobaki familia yake kukawa na njaa Farao akamwambia Yusufu ailete familia yake Misri

Waisraeli wakaongezeka na kuwa wengi pale Misri waliishi kwa amani sana

Yusufu akafa na yule Farao naye akafa

Akaja Farao mpya wa Misri ambaye hakuwapenda Waisraeli, akawa mfalme wa Misri. Farao huyo mbaya akawafanya Waisraeli kuwa watumwa.

Miaka mingi baadaye Mungu anamtumia Musa ambaye ni kizazi cha Yusufu kuwakomboa Waisraeli kutoka utumwani Misri ili waende nchi ya ahadi
 
Naomba reference ya chuki za Wakristo
 
😶‍🌫️
 
Sasa kuwa Myahudi inakusaidia nini?

Wabantu sijui ni watoto wa Ibrahimu, ni ujinga mtupu. Kuna umaskini wa kutupa Africa
 
Issue ya Wayahudi kutafutiwa eneo Uganda ilikuwa 1903 hata Iddi Amin hajazaliwa. Ugomvi wa Iddi Amin na Wayahudi ni kuruhusu magaidi kuitumia nchi yake kama base.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…