Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Ww mtz πThibitisha kama kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww mtz πThibitisha kama kweli
Wizo umefunguliwa kutoka gerezani ππππππππππππIla wizo unazingua ujue ππππ
Na wewe ungemsonkola vidole vya macho aache ujinga.
Muulize udugu wako cocasticWw mtz π
ππUmenikumbusha mshikaji wangu Lumi. Tumevuka maji toka Kigamboni kumpokea demu katoka Bagamoyo hakuwani kumuona. Si akamkimbia baada ya kumuona kwa mbali. Eti sura haikuwa kama kwenye picha, kademu kembambaaa halafu kamepiga mkorogo hatari
πππππ Nimefunguliwa wizoWizo umefunguliwa kutoka gerezani ππππππππππππ
Mchezo mbaya ndio upi huo jirani, tafadhaaal, tafadhaaal (in mrisho mpoto voice)Usinambie mshafanya mchezo mbaya na coca ππππ
Wa kujificha πππMchezo mbaya ndio upi huo jirani, tafadhaaal, tafadhaaal (in mrisho mpoto voice)
Hapana siwezi fikia huko naiogopa dhambi sitaki kuzidi kumtesa Yesu msalabani kwa dhambi zangu.Wa kujificha πππ
Wee ngadu umeanza lini kuhubiri neno?? Mbona hatari hii jirani?!! Nimerudi na watu wameokoka?? Kwema?Hapana siwezi fikia huko naiogopa dhambi sitaki kuzidi kumtesa Yesu msalabani kwa dhambi zangu.
Nimefuatilia comments zenu hapa naona muda sio mrefu mtatekeleza ile amri ya kuijaza dunia kwa vitendo.Wa kujificha πππ
Back in 2009 huko, ni long story sana...
Tuonane mimi na weweMamaeehhh π€£π€£π€£π€£π€£π€£
SawaTuonane mimi na wewe
Pole sana kijana. Wewe ni mtu mwenye nyota ya punda. Nenda ukasafishe nyota. Ulikataliwa kikatili sana."Samahani sana ninavyokuona sio kama nilivyotegemea, HATUENDANI"... baada ya kusema hivyo jamaa aliyekuwa naye kwenye Toyota Hiace nyeupe akaniangalia na kutabasamu kisha akaondoa gari. Mimi nikaachwa nimesimama. Kibaya zaidi hata kwenye gari hakushuka. Sikuweza kujua yule kijana alikuwa nani yake hadi leo. Ilitokea Arusha maeneo ya Njiro nje tu ya Njiro Complex (Bugaluu).
Mwaka 2007 kupitia mtandao wa marafiki.com niliweza kupata mchuchu mwenye asili ya kiasia na kuanza kuchat naye. Chats zilikuwa nzuri sana za kuvutia utadhani tumejuana kitambo sana. Siku tunakutana kwa mara ya kwanza nje ya Njiro Complex ndo akakata tamaa na kunijibu kama nilivyoandika kwenye aya ya kwanza. Ilikuwa ni aibu kubwa sana kwenye haya maisha yangu. Bahati nzuri hakukuwa na mtu niliyeenda naye eneo la tukio kwahiyo aibu ilikuwa ni yangu binafsi.
Ila sikumchukia wala kumlaumu yule binti wa kishua kwa sababu kwa wakati ule kweli nilikuwa nimepigika haswa. Yaani nilikuwa mwembamba ila ule wembamba wa lishe duni. Kiufupi nilikuwa nimekonda. Kama unavyojua mtu mwenye njaa ndo mwenye sura mbaya kwahiyo hata mimi nilikuwa mtu mwenye sura mbaya sana kwa hisani ya NJAA. Zilikuwa nyakati ambazo kutembea kwa mguu kutoka Mianzini hadi Mbauda ni kitu cha kawaida sana. Au wakati mwingine Clock Tower - Njiro ilikuwa jambo dogo. Akitembea tajiri huwa ni matembezi ya hisani ila mimi sijui ilikuwa matembezi ya kuchochea umaskini?
Nakumbuka mwaka 2010 ndo nilipata matumaini makubwa sana baada ya manzi mmoja wa Chalinze kuniambia mimi ni handsome. Huyo manzi nilikutana naye nilipokuwa natoka Iringa kuchukua cheti cha form six.
Kimsingi baada ya tukio la 2007 nikaanza kuogopa sana kutongoza demu mtandaoni. Hadi leo nikiona manzi mtandaoni huwa hadi nifuatilie sana kumjua kiasi na sio kukurupuka.
Njoo pmSawa