katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
Hapana mie shangazi yake ulikuwa unataka kumtolea mahari au ulikuwa unatakaje??Hivi wewe sio mdogo wake Unique Flower ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mie shangazi yake ulikuwa unataka kumtolea mahari au ulikuwa unatakaje??Hivi wewe sio mdogo wake Unique Flower ?
Duh aisee 😂Moja ya vitu sipendi basi ni kukonda aisee.
Ukikonda kwa njaa unaonekana tu.
Nimeishi Mbeya, Iringa, Shinyanga, Tanga na Dsm. Kati ya mikoa yote hiyo Dsm ndo inaongoza kwa vijana kukonda kwa lishe duni.
Unamkuta mwanachuo kapendeza ila sura haina nuru, mwili umekongoroka mno, tumbo limeingia ndani mpaka imekua kama ana kibiyongo.
Mavazi ni muhimu ila wanachuo mzingatie chakula sio kuwaza mavazi tu.
Yaani wadada wanene ndio unatusema sawaAlikua mfupi
Mnene uso kama nukta
Chukua huyu last boni msumbuane nae
Khaaa....Huyo wa 32 bado mdogo simtaki!
mnaviziana chochoroni kwenye mashamba ya miwaYaaah tulipendana.... 😁😁😁
Japo mda tunakutana ilikua ni full kuviziana aiseee daaah
ilikuwa mwaka 2016, Mtwara stendi ya basi pale,ulivyokutana na Babycare
cc Lamomymnaviziana chochoroni kwenye mashamba ya miwa
Nchi ina vijana wa hovyo sana hii 😂😂Nimeimba wee tukameet lodge kuchukua vipimo demu amewaka nilikimbia nikajikuta nipo gheto nimelal sijui hata nilifikaje
Kaka hayajakukutaNchi ina vijana wa hovyo sana hii 😂😂
Efubii bhana 😂😂Kaka hayajakukuta
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌 Acha basi..mnaviziana chochoroni kwenye mashamba ya miwa
We kiumbe upo? Mmeanza na shemeji yako bichwa 😂😂😂
Wewe ni Mnene mzuri myYaani wadada wanene ndio unatusema sawa
Ila wizo unazingua ujue 😂😂😂😂Alinambia "kumbe una komwe mchongoko kiasi hicho mahi wangu, mbona kwenye picha halionekani au ulilipeleka likizo".
Nikalia, nikabubujikwa machozii mimi. Chozi moja la jicho la kushoto likashuka likadondoka na kugonga mabuti yangu ya kimgambo. Akanisonkola na kidole kwenye kichwa huku akinifyonyaa....
Nililia, nilimwaga machozi pipa tatu, nikazimiaa nikajikuta nimelazwa wodi ya wagonjwa wenye upungufu wa maji mwilini chini ya usimamizi wa DR Mambo Jambo
Extrovert Poor Brain mshamba_hachekwi
Uongo wewe mweusi 😂😂😂Hata yangu ni ndefu sana ila kwa ufupi nakumbuka aliniambia nang'aa kama muarabu. Tulidumu 5 yrs together na tulipendana haswa.
Thibitisha kama kweliUongo wewe mweusi 😂😂😂