Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Unachat na mtu hujui hata muonekano wake ili mje kuwa wapenzi...eboh!!!
Otherwise, kukutana na mtu mliyechat mtandaoni kwa nia nyingine haina shida yeyote sababu watu wa mtandaoni ndio watu wa kitaa...
Ingawa sio kwa nia ya kuwa wapenzi, binafsi nishakutana na raia wengi tu especially wa hapa JF na experience ilikuwa poa tu...
Otherwise, kukutana na mtu mliyechat mtandaoni kwa nia nyingine haina shida yeyote sababu watu wa mtandaoni ndio watu wa kitaa...
Ingawa sio kwa nia ya kuwa wapenzi, binafsi nishakutana na raia wengi tu especially wa hapa JF na experience ilikuwa poa tu...