Ilikuwaje mara ya kwanza ulipokutana na mtu mliyechati mtandaoni kwa nia ya kuwa wapenzi?

Ilikuwaje mara ya kwanza ulipokutana na mtu mliyechati mtandaoni kwa nia ya kuwa wapenzi?

Unachat na mtu hujui hata muonekano wake ili mje kuwa wapenzi...eboh!!!

Otherwise, kukutana na mtu mliyechat mtandaoni kwa nia nyingine haina shida yeyote sababu watu wa mtandaoni ndio watu wa kitaa...

Ingawa sio kwa nia ya kuwa wapenzi, binafsi nishakutana na raia wengi tu especially wa hapa JF na experience ilikuwa poa tu...
 
Niweke moja

Niweke moja ya Visa vyangu.
Ilikuwa mwaka 2019 kuna mdada alikuwa analike sana picha zangu Facebook enzi hizo najipost sana,
Sasa siku sio nyingi nikaona mdada kama ananielewa hivi ikabidi niseme inbox kuomba namba mtoto akatoa zikaanza chart za kila dakika baada ya siku kadhaa mipango ya kuonana ikaanza!
(Hapo alikuwa ashanitumia vipicha vyake kadhaa anaonekana mtoto mzuri ana kasura kazuri sana)
Siku ya kuonana live ikafika ambapo yeye ndiye alisafiri kutoka mkoani alipo kuja huku nilipo mimi tukawa tunawasiliana kila muda kujua kafika wapi...ukweli nilikuwa nimempania sana kumtafuna kiroho mbaya ila nilipofika stand kumpokea nilichoka kabisa baada ya kukuta ni kadada kafupi sana halafu kimenenepea kwa juu ila chini ni flat screen!
Yaani alichobarikiwa ni sura tu ila umbo lake baya sana yaani kafupi kanene kwa juu halafu kana kitambi niliona hata aibu kutembea naye mtaani watu wangenishangaa na nilimuonea huruma kumkimbia ikabidi nilipie lodge mitaa ya hapo stand nikahifadhi humo nikaagiza mhudumu atuletee msosi.
Tulilala humo ikabidi nilewe kwanza ndo nipate mzuka wa kukala maana vile kalivyo nilikafananisha na vitu vya ajabu.
Uzuri kalikuwa na mbususu safi na tamu halafu kitandani kanajiweza ndo kalichobarikiwa.
Kesho yake nilimpandisha basi arudi kwao baadae nikaanza kumkwepa taratibu mpaka akazoea.
🤣🤣🤣🤣Ila we jamaa
 
Umenikumbusha nyimbo ya Rupert Holmes inaitwa Escape,(Pina Colada)

Rupert alikua kachoshwa na mke wake,akaamua atafute mwanamke MWINGINE amuoe,time hiyo hakukua na Simu Wala fb,so akanunua Gazeti kaficha utambulisho wake,akaweka tangazo kua anatafuta mwanamke,sifa asiwe smart sana awe na half brain,asiwe mlevi,hata kama anapenda yoga sio mbaya,Cha mwisho awe anapenda Pina colada (aina ya chakula)..

Akatokea mwanamke ambae ana sifa kama zile,nae kachoshwa na gume gume lake,wakapanga date kukutana,siku ya kukutana kaenda kukutana na mke wake.. wakachukuana wakarudi home..
Na ndoa ikaendelea vizuri?
 
Dah 2009 kwenye gazeti la mwananchi kulikuwa na site ya hivyo nitatuma maombi Bana,basi nikapata wengi Tu Ila kuna mmoja inabidi niweke kisa chake kidogo sababu sijalisahau hili tukio mpk Leo.Kuna demu mmoja akatokea kunielewa Kwa jinsi tulivyokuwa tunawasiliana na kuchati mpk usiku wa manane kumbe usilolijua ni usiku WA kiza tukawa tumewasiliana kama Miezi 6 hivi siku ya siku akasema nakuja dar Kwa Baba yangu nitakwambia uje home mi Mzee mzima nikaiongoja Kwa hamu hiyo,siku ya siku imefika nikashtuliwa Bana niende maeneo ya makonde Kule chini nikachukua basi mpk Ubungo then nikaunga pale nikashuka makonde nitaanza mdogo mdogo mpka eneo nililoelekezwa,basi kufika namshitua ananiambia niangalie mbele kuna ghorofa Nyeupe ndio hapo,nikajua nimepata binge la demu kumbe naenda kuvaba Bana basi Mzee nimefika pale nikagonga kengele kumbe ndani alibaki mwenyewe peke yake Naona nimefunguliwa geti na demu mnene halafu haeleweki nikauliza Fulani nimmkuta akasema ndio yeye dah nilichoka mana alivyo ni kama yalr matoto ya matajili ambayo yanakuwa kama na mtindio wa ubongo nikajipa moyo nikasema sawa akanikalibisha mpk ndani nimekaa Sebuleni nikaletewa chai mixa yai nk yani ile kishua zaidi na hivi mimi nilizoea kuuza nyanya gengeni sikuwahi kupata mulo wa hivyo.Tukawa tunapiga story mbili tatu huku najiuliza hivi NI huyu au vipi mwisho nimemaliza akaniambia twende chumbani dah nimepanda kwenye gholofa hadi chumba chake yani chumba kinanuka mikojo yani yataka moyo nikawa napiga hesabu yani nimetoka kipunguni B mpka hapa kisa hili demu nikaona siwezi ondoka na nyege zangu ikabidi nilizagamue huku nimeziba pua baada ya hapo likawa linanitafuta mimi nikalikaushia kumbe yule demu wana maduka kaliakoo kama kumi hivi nilikuja kukutana nalo likanikumbuka ila sikuwa na mda nalo tena,yani kwenye kile kipindi nilikuja kukutana na bibi lina hostel pale kigamboni dah ila kuchati na mtu usiyemjua ni shida sana
 
Dah! Ni zaidi ya miaka 10 kule mjini FB enzi hizo bado kwa moto moto. Nikiwa bado kijana nikawa na utamaduni wa kupost picha zangu mara kwa mara. Basi kuna siku kipindi nikaanza notice mtu analike sana picha zangu, bila hiyana nikamfuata boksini. Baada ya mawasiliano ya hapa na pale tukabadilishana namba na hatimaye kuamia whatsapp. Ndani ya kipindi kifupi chats zikawa kama wapenzi. Kipindi hicho alikuwa pale Muhimbili nami nikiwa moja ya chuo hapo mjini. Kwa aina ya mazungumzo yetu niliona ni binti ambaye alikuwa kasi sana kuliko mimi nilivyokuwa hivyo nilikuwa natafuta tu fursa nipige maisha mengine yaendelee.

Baada ya kupanga mara kadhaa kukuonana na kushindikana ndipo siku moja akajichanga tukaonana. Ile kuonana aisee niliishiwa nguvu kwani hakuwa kama vile nilivyotarajia na kumuona kwenye picha. Nikapiga moyo konde na kusema liwalo na liwe. Nikaipeleka ile mama Lodge piga mpaka asubuhi. Ile kuachana asubuhi ndipo ukawa mwisho wa mawasiliano.
 
Back
Top Bottom