- Thread starter
- #21
IfundaUlisoma shule gani iringa mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IfundaUlisoma shule gani iringa mkuu?
Mkuu unafurahisha sanaJf ni nzuri. Nashangaa watu wanaosema wamemiss ile ya zamani, wakati hii mpya unasoma mistory ya majinga, unacheka then unalala. U great thinker wa nyokooo
Bongo hakuna great thinker wote ni wanywa kahawa tuMkuu unafurahisha sana
Kuna jombi anaitwa Kigwangala huwa ana-think nje ya box na kupost mashudu matupu. 😁Bongo hakuna great thinker wote ni wanywa kahawa tu
😂😂😂😂😂😂😂 Ety chini ya usimamizi wa dr mambo jambo..Alinambia "kumbe una komwe mchongoko kiasi hicho mahi wangu, mbona kwenye picha halionekani au ulilipeleka likizo".
Nikalia, nikabubujikwa machozii mimi. Chozi moja la jicho la kushoto likashuka likadodoka na kugonga mabuti yangu ya kimgambo. Akanisonkola na kidole kwenye kichwa huku akinifyonyaa....
Nililia, nilimwaga machozi pipa tatu, nikazimiaa nikajikuta nimelazwa wodi ya wagonjwa wenye upungufu wa maji mwilini chini ya usimamizi wa DR Mambo Jambo
Extrovert Poor Brain mshamba_hachekwi
😂 ikawajeMtoto mmoja hivi wa mipango...
😂😂😂😂😂😂😂
Alikua too short aiseeeee.
filter ni utapeli kama utapeli mwingine.Bwana bwana , huyu alieleta mambo ya kuedit mapicha na mafilter kwa ujumla hakuwa na nia njema kabisa.
Hizi tamaa acha tu, nishawai ingia dating site moja huko nikaiimbisha Manzi ikaja Wasap Inbox huko ikatuma mapicha weee, bwana wee nikajisemea mtoto si ndiyo huyuu sasa na kwa jinsi alivyo basi nitamtuliza na kumfanya bibie wangu permanent na nitaacha kupapalika na mamanzi wengine[emoji3].
Toto toto kweli, jiuso zurii, ilo lirangi sasa[emoji3], shape fulani hivi isiyoumiza macho wala kukera watizamaji, kiufupi Toto HD Utra.
Basi bwana, nikaliimbisha toto tukakubaliana kutoka date, siku ilipofika muhuni niliipania siku nzima maandalizi ya kutosha sana nikijua nakwenda kumpokea mwali wangu ambaye kila mwanaume fisi hiyo ni ndoto kuwa na mpenzi wa sifa hizo.
Niishie kwa kusikitika tu, niliyoyakuta si yale niliyoyatarajia wala niliyoyaona katika picha na video zake.
Kiufupi walikuwa watu wawili tofauti kabisa isingelikuwa ile tabia ya kuongea nae kwa Voice call basi ningehitimisha kuwa yule mrembo wangu si huyo kigagura niliyeonana nae[emoji3][emoji3].
Serikali ingilieni kati haya mambo wanaume tunadanganywa sana.
Ni kero sanafilter ni utapeli kama utapeli mwingine.
ulikula au ulishindwa 😂Ni kero sana
Sasa unashangaa nini wakati ushasema ndo haohaowanawake unaokutana nao mtandaoni ndo hawa hawa tunaoishi nao uku mtaani.
nashangaa sana watu wakitafuta wapenzi mtandaoni!
😂😂😂😂😂ah weeEhehehehe..heb weka dokezo bas
🙌🤣🤣🤣Nimeimba wee tukameet lodge kuchukua vipimo demu amewaka nilikimbia nikajikuta nipo gheto nimelal sijui hata nilifikaje
Hata haikua na maajabu bnTutalalaje asubuhi yote hii? We lete stori watu tucheke 😅
Kwnn mliachana?Hata yangu ni ndefu sana ila kwa ufupi nakumbuka aliniambia nang'aa kama muarabu. Tulidumu 5 yrs together na tulipendana haswa.