Ilikuwaje mara ya kwanza ulipokutana na mtu mliyechati mtandaoni kwa nia ya kuwa wapenzi?

Kuna aliyeniambia hatuendani kutokana na kazi yangu wakati huo, nikaona isiwe tabu nikapiga kimya. Baadaye ananitafuta baada ya kugundua nimepiga hatua. Nikaweka big no!

Kuna mwingine kwa style hiyo hiyo, hadi kuniambia ana mimba yangu, ila katika kuchanganua nikandua ni uongo. Nikamwambia aendelee na maisha yake. Alikuja kuniomba msamaha ila ikawa tabu kurudi reverse.

Mambo yalikuwa mengi sana mtandaoni.

Kuachana na mapenzi, mali zangu zote nilizonazo ikiwemo kazi yangu nimezipatia mtandaoni.

Hata utafiti huwa ninafanyia mtandaoni.
 
Daaah,

Kila nikikumbuka nacheka sana
 
Mtandao ndo mpango mzima ukijua kucheza nao.
 
Yeah sure hapo nimekuelewa mkuu
 
Mkuu unataka kuniambia demu anayekaa masaki ndio huyohuyo unayekaa naye hapo chalinze ndanindani? Unatania aisee!
demu anayekaa Masaki ni mrembo kulingana na nguo na vipodozi anavyotumia.

demu anayekaa Chalinze ndani ndani ni Mzuri wa asili.

kwani huyo demu anayekaa Masaki anazaliwa na Malaika au Eliens?
 
Mbona unakuta mtu ana acha mademu wa mtaan kwake kisha anaenda tongoza mademu wa mitàa mingine
uko napo ni mtaani pia.

nilimaanisha kuwa ili kuepukana na hiyo changamoto aliyokutana nao ni bora akafuata wanawake anaokutana nao kwenye mazingira anamoishi. eg. kazini, shuleni, nyumba za ibada, sehemu za starehe, gym etc..

uko atakutana na wanawake ambao hawajiedit kwa kupitia picha za camera.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…