Ilikuwaje mara ya kwanza ulipokutana na mtu mliyechati mtandaoni kwa nia ya kuwa wapenzi?

Asante mkuu tumejifunza kupitia wewe
 
Ilikuwaje?? Au ndio ulikutana na pisi ya haja ukaingia upepo
Sijawahi kukutana na pisi mbovu, kila niliyewahi kukutana nae kupitia hizi networks ana upekee. Japo mwaka fulani..dah, nilikutana na pisi moja hivi!! Kuna wanawake wazuri mkuu, nilijiona kabisa sipo ligi yake🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…