Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Na bado mkapeendana?Mtoto mmoja hivi wa mipango...
πππππππ
Alikua too short aiseeeee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado mkapeendana?Mtoto mmoja hivi wa mipango...
πππππππ
Alikua too short aiseeeee.
Bora ulipima ungepata gonjwa kizembe sana,,uliacha au bado unaendelea kukutana nao?Nimeimba wee tukameet lodge kuchukua vipimo demu amewaka nilikimbia nikajikuta nipo gheto nimelal sijui hata nilifikaje
Asante kijana wangu πMTV boss,
Kwa kweliKati ya vitu ninavyoviogopa ni date za mtandaoni bora live mmesaminishana kuliko mambo ya imagination.
Asante kijana wangu π
Kaka acha badae akanitumia meseji akasema una bahat nikasem ulizani mimi fara nikuamini kizembeBora ulipima ungepata gonjwa kizembe sana,,uliacha au bado unaendelea kukutana nao?
Kaka πSafi sana kwa hiyo alidhamiria kukuua..huyo ni muuajiKaka acha badae akanitumia meseji akasema una bahat nikasem ulizani mimi fara nikuamini kizembe
Utaifurahia.Hiyo Circle Hadi Mwezi wa kumi nitakua nishaiona...
Asante mkuu tumejifunza kupitia weweKuna aliyeniambia hatuendani kutokana na kazi yangu wakati huo, nikaona isiwe tabu nikapiga kimya. Baadaye ananitafuta baada ya kugundua nimepiga hatua. Nikaweka big no!
Kuna mwingine kwa style hiyo hiyo, hadi kuniambia ana mimba yangu, ila katika kuchanganua nikandua ni uongo. Nikamwambia aendelee na maisha yake. Alikuja kuniomba msamaha ila ikawa tabu kurudi reverse.
Mambo yalikuwa mengi sana mtandaoni.
Kuachana na mapenzi, mali zangu zote nilizonazo ikiwemo kazi yangu nimezipatia mtandaoni.
Hata utafiti huwa ninafanyia mtandaoni.
Usinipe moto nikachange gear,Nika cancel ninazo fatiliaUtaifurahia.
Back in 2009 huko, ni long story sana...
Yaaah tulipendana.... πππNa bado mkapeendana?
Usithubutu, nilishakucheka mimi inatosha, usitake kuchekwa na JF nzima. π
Unless sio "hio" maana heka heka zako ni nyingi kupitiliza.
Itakuwa wote walibubujikwa na machozi mpaka Mama Samia - Jemedari wa vita, Simba wa Nyika, Mwanasiasa bora wa karne zote, jabari la Tanzania; na tunu ya Afrika alipokuja kuwafuta machozi πππEphen atupe story jinsi alivokutana na Lucas mwashambwa, ilikuaje
Sawa lakini namzidi gedePicha ulizotuma ni tofauti na uhalisia
Thubutuu..!Sawa lakini namzidi gede
Sijawahi kukutana na pisi mbovu, kila niliyewahi kukutana nae kupitia hizi networks ana upekee. Japo mwaka fulani..dah, nilikutana na pisi moja hivi!! Kuna wanawake wazuri mkuu, nilijiona kabisa sipo ligi yakeπ€£π€£π€£Ilikuwaje?? Au ndio ulikutana na pisi ya haja ukaingia upepo