mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
PumbasHuna Akili, yaani unafikiri kuishia hapo ndio maisha? Think outside the box....Dunia inataka watu wanaotumia akili na maarifa kwaajili ya maendeleo...sio kula kulala tu
Hasa nyie wavivu mnaoshinda vibarazani
Weka huo ushahidi wa mwaka 1982 tuuone.Kuna tofauti ya kusoma na kupasishwa
Waislamu wengi walinyimwa elimu wakapewa wakristo wachache hata kama walikuwa vilaza, na ushahidi ninao mtihani wa darasa la saba mwaka 1982
Weka huo ushahidi wa mwaka 1982 tuuone.Kuna tofauti ya kusoma na kupasishwa
Waislamu wengi walinyimwa elimu wakapewa wakristo wachache hata kama walikuwa vilaza, na ushahidi ninao mtihani wa darasa la saba mwaka 1982
Kuna mgalatia alimaliza la saba hajui kusoma wala kuandika na akapasi kwenda kidato cha kwanzaWeka huo ushahidi wa mwaka 1982 tuuone.
ShudusPumbas
Bota alimshinda huyo mtu wa South AfricaKulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.
Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.
Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Waislamu wazamani hawakua wadini walikua ni pan africanists waukweli tofaut na hawa pro gen z pro arabs sidhan kama wangeweza kufanya mapinduzi matukufu ya zanzibar wangekua na mentality ya waislamu wa kizaz hikiHapo ndipo nashangaa , kwamba Waislamu walimuona mwislamu mwenzako hafai wakamchagua Mkristo.
Makafiri ni vile mumeshika mpini tu, ila kiuhalisia hamna elimu yeyote zaidi ya kupasishana tu kwenye mitihani, mnapokuja field saaa kwenye uhalisia ndipi mbivu na mbichi huonekana,
Kama si juhudi za wasomi wa kiislamu na subra na juhudi za mashehe saa hii tungekuwa tunaftana
Anatetea eti wazee wake wa Kariakoo!! Wangekuwa na uwezo basi tungepata uhuru mwaka 1950
Mwaka 1954 CCM ilikuwepo?!Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.
Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.
Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.
Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.
Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Hapo ndipo nashangaa , kwamba Waislamu walimuona mwislamu mwenzako hafai wakamchagua Mkristo.
i dont think hio historia inakinzana na anachoongea ndugu Mohamed Said, kama umesoma kitabu chake before uhuru waisilamu walikua sambamba na Nyerere na hawakumbagua kwa dini yake, so hio hoja ina prove point yake kwamba waisilamu walimchagua Nyerere kama mwakilishi wao, ila alivyoingia madarakani baada ya uhuru akawapiga chini na kutaifisha mali zao wote na kutengeneza Bakwata.Na mimi nataka kujua , kwani huo uchaguzi ulikuwa na wa DSM tu? Au Tanganyika nzima?
Kama ni Dar pekee , basi ngoja wajuzi wa mambo waje,
Na kama ni Tanganyika yote , basi jibu ni kwamba , Nyerer alikuwa ni msomi na ana nguvu ya HOJA na USHAWISHI. Full stop
PumbasUjinga mwingine huu..eti tunapasishwa. Are you serious? Na elimu bora ni ipi? Kupata cheti na kuitwa Professor wakati hujaelimika au kusoma kawaida, kuwa na skills na maarifa ya kupata majawabu ya changamoto za mazingira na kazi unazofanya?
Unaelewa nini kuhusu elimu? Kusoma na nkuona wengine sio watu na hawastahili kuishi sababu hawafanyi unayofanya wewe?
Unless usome na kuelimika, utaendelea kuwa mbumbumbu. Cheti sio kigezo cha mtu aliyesoma. Kama huamini endelea hivyo hivyo.
Na haina maana hakuna waliosoma kwenye hizi dini zetu. Wapo wengi wamesoma na kuelimika. Na wakiielewa dini, huenda mbali zaidi na kuwa fair na kuheshimu watu wengine.
Kwa vigezo vyote, wewe bado una ujinga mwingi ndani yako. Hebu kasome tena uelewe mambo ya dunia yanavyokwenda na kwanini dini yako ni kitu binafsi kwako, hakituhusu wengine.
Hakika, na sio kuachia tu, ni kuweka wamtakaeuhuru haukupatikanwa kwa uwezo, bali kwa muda ambao wazungu walikuwa tayari kuuachia.
Hii story na mimi nimewahi kuisikia kwenye kijiwe cha kahawa na kashata hapa KurasiniBinafsi niligunduwa baadae kumbe aliyetuzidi wote ujanja alikuwa Muingereza, hata Ikulu Waingereza walimweka Nyerere kama kanyaboya tu.
. Mtawala wa Ikulu alikuwa mwanamke wa Kiingereza aitwae Joan Wicken.
Unalijuwa hilo?
Kwa hiyo mkutano wa viongozi huwa unafanywa wakiwa wamesimama hivyo. Kwanini tusiamini ni salamu? Bibi unatuonaje lakini?Huwa sikisii:
View attachment 3080206
Hapo nyerere kawachwa kwenye mataa, Malkia anaongea na mtawala wa kweli, Joan Wicken, alipokuja Dar.