Ilikuwaje Nyerere akamshinda Sykes?

Ilikuwaje Nyerere akamshinda Sykes?

Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.

Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.

Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Bota alimshinda huyo mtu wa South Africa
 
Hapo ndipo nashangaa , kwamba Waislamu walimuona mwislamu mwenzako hafai wakamchagua Mkristo.
Waislamu wazamani hawakua wadini walikua ni pan africanists waukweli tofaut na hawa pro gen z pro arabs sidhan kama wangeweza kufanya mapinduzi matukufu ya zanzibar wangekua na mentality ya waislamu wa kizaz hiki
 
Makafiri ni vile mumeshika mpini tu, ila kiuhalisia hamna elimu yeyote zaidi ya kupasishana tu kwenye mitihani, mnapokuja field saaa kwenye uhalisia ndipi mbivu na mbichi huonekana,

Kama si juhudi za wasomi wa kiislamu na subra na juhudi za mashehe saa hii tungekuwa tunaftana

Ujinga mwingine huu..eti tunapasishwa. Are you serious? Na elimu bora ni ipi? Kupata cheti na kuitwa Professor wakati hujaelimika au kusoma kawaida, kuwa na skills na maarifa ya kupata majawabu ya changamoto za mazingira na kazi unazofanya?
Unaelewa nini kuhusu elimu? Kusoma na nkuona wengine sio watu na hawastahili kuishi sababu hawafanyi unayofanya wewe?

Unless usome na kuelimika, utaendelea kuwa mbumbumbu. Cheti sio kigezo cha mtu aliyesoma. Kama huamini endelea hivyo hivyo.

Na haina maana hakuna waliosoma kwenye hizi dini zetu. Wapo wengi wamesoma na kuelimika. Na wakiielewa dini, huenda mbali zaidi na kuwa fair na kuheshimu watu wengine.

Kwa vigezo vyote, wewe bado una ujinga mwingi ndani yako. Hebu kasome tena uelewe mambo ya dunia yanavyokwenda na kwanini dini yako ni kitu binafsi kwako, hakituhusu wengine.
 
Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.

Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.

Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Mwaka 1954 CCM ilikuwepo?!
 
Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.

Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.

Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Hapo ndipo nashangaa , kwamba Waislamu walimuona mwislamu mwenzako hafai wakamchagua Mkristo.
Na mimi nataka kujua , kwani huo uchaguzi ulikuwa na wa DSM tu? Au Tanganyika nzima?

Kama ni Dar pekee , basi ngoja wajuzi wa mambo waje,

Na kama ni Tanganyika yote , basi jibu ni kwamba , Nyerer alikuwa ni msomi na ana nguvu ya HOJA na USHAWISHI. Full stop
i dont think hio historia inakinzana na anachoongea ndugu Mohamed Said, kama umesoma kitabu chake before uhuru waisilamu walikua sambamba na Nyerere na hawakumbagua kwa dini yake, so hio hoja ina prove point yake kwamba waisilamu walimchagua Nyerere kama mwakilishi wao, ila alivyoingia madarakani baada ya uhuru akawapiga chini na kutaifisha mali zao wote na kutengeneza Bakwata.
 
Ujinga mwingine huu..eti tunapasishwa. Are you serious? Na elimu bora ni ipi? Kupata cheti na kuitwa Professor wakati hujaelimika au kusoma kawaida, kuwa na skills na maarifa ya kupata majawabu ya changamoto za mazingira na kazi unazofanya?
Unaelewa nini kuhusu elimu? Kusoma na nkuona wengine sio watu na hawastahili kuishi sababu hawafanyi unayofanya wewe?

Unless usome na kuelimika, utaendelea kuwa mbumbumbu. Cheti sio kigezo cha mtu aliyesoma. Kama huamini endelea hivyo hivyo.

Na haina maana hakuna waliosoma kwenye hizi dini zetu. Wapo wengi wamesoma na kuelimika. Na wakiielewa dini, huenda mbali zaidi na kuwa fair na kuheshimu watu wengine.

Kwa vigezo vyote, wewe bado una ujinga mwingi ndani yako. Hebu kasome tena uelewe mambo ya dunia yanavyokwenda na kwanini dini yako ni kitu binafsi kwako, hakituhusu wengine.
Pumbas
 
Iko wazi, baada ya wazungu kuona harakati za waislam na vugu vugu la harakati za uhuru kupitia waislam ndipo wakapandikiza mtu wao, wazungu ni wajinga sana ingawa wanapita njia za welevu
 
Kuna bwege moja humu linadhani kuelimika ni kujua sana kiingereza, yaani limekazana kuwasema waislam kisa hawajui kiingereza, pumbav kabisa
 
Binafsi niligunduwa baadae kumbe aliyetuzidi wote ujanja alikuwa Muingereza, hata Ikulu Waingereza walimweka Nyerere kama kanyaboya tu.
. Mtawala wa Ikulu alikuwa mwanamke wa Kiingereza aitwae Joan Wicken.

Unalijuwa hilo?
Hii story na mimi nimewahi kuisikia kwenye kijiwe cha kahawa na kashata hapa Kurasini

 
Back
Top Bottom