Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama umeoa mke mmoja tu mchepuko nje nje, wenzetu waliooa wanne au zaidi si ni 'fumbo la imani' kabisa? Mafundi na bodaboda wanaweza kuwa wanaongoza kwa kuchukua wake za watu. Kuna mafundi wawili walishaniambia walishalamba wake za wale waliowafanyia kazi. Bodaboda ni mara nyingi sana. Fundi mmoja aliniambia alikula mke wa njemba mmoja, yaani hakuamini. Jamaa ana hela na pia anamiliki 'chuma'. Fundi baada ya kufanya kazi aliyokuwa akifanya kwa muda, mke wa mtu alianza kumshawishi ale goma. Jamaa akawa anaogopa kupigwa na 'chuma chenye ncha kali'. Siku moja huyo mke wakati fundi akijenga akamwita kwenye banda la kuku kwa kujifanya kama kuna kazi nyingine ya kufanya. Fundi alipokwenda bandani akamkuta ameshatoa nguo zote, hivyo jamaa akaona akubali tu. Baada ya kumaliza huyo mwanamke akamwambia anataka 'copyright' (yaani amtie mimba). Fundi akawa anaogopa, lakini ikatokea akafanya hivyo. Baada ya hapo, akamzalisha mtoto wa pili na alipomaliza kazi alilala mbele na hajui kilichoendekea huko nyumbani. Kwa upande wangu, usipokaa na mke wako kwa karibu sana (kumu'occupy' mara kwa mara) unatoa fursa ya ku'develop' uhusiano wa karibu na mtu mwingine. Na hata kwa mwanaume ni hivyo. Asipokuwa karibu na mkewe, atatafuta mwanamke mwingine wa kuwa karibu naye na ku'share' mambo more intimately. Hali ni mbaya zaidi kwa familia zenye ugomvi, kutoleana maneno makali na kipigo cha mara kwa mara. Wengine wanadhani mke usipompiga hakupendi, wakati mke anachopenda ni security na akihisi nyumbani hakuna security au future, ujue unatwanga maji kwenye kinu. Wanandoa tujifunze 'spouse psychology', itatusaidia. Otherwise, mchepuko nje nje. Jambo lingine la kujiuliza ni, kwa nini kuna dawa zaidi za ku'boost' nguvu za kiume kuliko za kike? Mtu mwingine anaweza kusema labda kwa sababu wanaume ni watafutaji na hivyo ni stress za maisha. Lakini pia wanawake ni watafutaji. Mfano, mama ntilie wakikusimlia wanaamka saa ngapi na wanafanya nini, utaona huruma. Kwa wanawake wa vijijini hali ni mbaya zaidi: kulima, kutafuta kuni na maji tena umbali mrefu (in terms of several kilometres), kupika, kufua nguo, kunyoosha nguo, nk. Hivyo, kama shida ni stress hata wao wana stress. Mimi nadhani wanaume tunaji'overstretch' - yaani tunataka tumridhishe mwnamke - ndiyo preoccupation yetu - na utajuaje umemridhisha na mara ngapi na lini? Tunachotakiwa kufanya ni to take it easy. Ni mke wako, na unaye kila siku, kila wakati. Kwa nini kila ukilala naye unataka mabao 3-5? Kwa nini bao moja lisitoshe na nguvu nyingine isubiri muda/siku nyingine? Mwendo wa haya mabao baada ya muda fulani tunakwisha kabisa na hata kuvaa suruari inakuwa shida maana unakuta makalio yameisha kabisa na bila mkanda inateremka yenyewe (mtepesho). Inabidi tubadilike. Tendo la ndoa lisiwe kumridhisha mke wako, bali sehemu ya kushirikishana upendo wako na mkeo/mumeo. Tukiishi kwa kutaka kumridhisha mtu hatuwezi kwa sababu hatujui anaridhikaje, muda gani, lini na mara ngapi na kwa sababu hatujui, tunadhani mabao mengi ndiyo yanayomridhisha na baadaye tunagundua hatujamridhisha, tunaanza kuhangaika kutafuta booster! Hopeless kabisa! Let's enjoy life (be happy) and not be stressful.Ila mimi naomba niwasisitize wale ndugu zangu wa kuoa wake wanne, hakikisheni mnawahudumia vizuri kwenye 6x6 maana nasisi ni binadamu jamani, viunzi vinakua vingi hadi mtu unashindwa. Asanteni.
Upo sahihi mkuu, hali ni mbaya kiukweli ila huyo fundi nahisi alitumika kwenye kulipa kisasi nahisi huyo mwanamke alikua analipa kisasi kwa mumewe ila hakuwa amepata mtu wakumtumia so alivyomuona fundi akatumia fulsa.Kama umeoa mke mmoja tu mchepuko nje nje, wenzetu waliooa wanna si ni 'fumbo la imani' kabisa? Mafundi na bodaboda wanaweza kuwa wanaongoza kwa kuchukua wake za watu. Kuna mafundi wawili walishaniambia walishalamba wake za wale waliowafanyia kazi. Bodaboda ni mara nyingi sana. Fundi mmoja alibiambia alikuwa mke wa njemba mmoja, yaani hakuamini. Jamaa ana hela na pia anamiliki chuma. Fundi baada ya kufanya kazi aliyokuwa akifanya kwa muda, mke wa mtu alianza kumshawishi ale goma. Jamaa akawa anaogopa kupogwa chuma. Siku moja huyo mke wakati fundi akijenga akamwita kwenye banda la kuku kwa kujifanya kama kuna kazi nyingine ya kufanya. Fundi alipokwenda bandani akamkuta ameshatoa nguo zote, hivyo jamaa akaona akubali tu. Baada ya kumaliza huyo mwanamke akamwambia anataka 'copyright' (yaani amtie mimba). Fundi akawa anaogopa, lakini ikatokea akafanya hivyo. Baada ya hapo, fundi akaniambia alilala mbele na hajui kilichoendekea huko nyumbani. Kwa upande wangu, isipokuwa na mke wako kwa karibu sana (kumu'occupy' mara kwa mara) unatoa fursa ya ku'develop' uhusiano wa karibu na mtu mwingine. Na hata kwa mwaume ni hivyo. Asipokuwa karibu na mkewe, atatafuta mwanamke mwingine wa kuwa karibu naye na ku'share' mambo more intimately. Hali ni mbaya zaidi kwa familia zenye ugomvi, kutolea a maneno makali na kipigo cha mara kwa mara. Wengine wanadhani mke usipompiga hakupendi, wakati mke anachopenda ni security na akihisi nyumbani hakuna security au future, ujue unatwanga maji kwenye kinu. Wanandoa tujifunze 'spouse psychology's, itatusaidia. Otherwise, mchepuko nje nje.
Yaani fursa ilipatikana maana 'fimbo ya mbali haiui nyoka'.Upo sahihi mkuu, hali ni mbaya kiukweli ila huyo fundi nahisi alitumika kwenye kulipa kisasi nahisi huyo mwanamke alikua analipa kisasi kwa mumewe ila hakuwa amepata mtu wakumtumia so alivyomuona fundi akatumia fulsa.
Hizo huwa n sababu tuu sema wengi wao n Malaya tuu,ilo la ndoa kutokuwa na amani n sababu ya kuhalalisha uhuni wao Ili uwaaamini.Alikua manzi wangu wa utotoni..baada ya miaka mingi kupita tukiwa tumepotezana,tukaja kukutana huku ukubwani yeye akiwa tayari kaolewa,basi nimeanza kumla kimya kimya toka last year,hata leo nina ahadi nae ya kukutana nae somewhere kwa ajili ya kumtafuna.
Wanawake wengi wanaliwa nje coz ndoa zao hazina amani.
Hakunaga justification yoyote ya kuhalalisha uzinzi/ umalaya. Nyinyi wote mmekutana ni malaya.Alikua manzi wangu wa utotoni..baada ya miaka mingi kupita tukiwa tumepotezana,tukaja kukutana huku ukubwani yeye akiwa tayari kaolewa,basi nimeanza kumla kimya kimya toka last year,hata leo nina ahadi nae ya kukutana nae somewhere kwa ajili ya kumtafuna.
Wanawake wengi wanaliwa nje coz ndoa zao hazina amani.
Umesema yote wala sitii neno humuKama umeoa mke mmoja tu mchepuko nje nje, wenzetu waliooa wanne au zaidi si ni 'fumbo la imani' kabisa? Mafundi na bodaboda wanaweza kuwa wanaongoza kwa kuchukua wake za watu. Kuna mafundi wawili walishaniambia walishalamba wake za wale waliowafanyia kazi. Bodaboda ni mara nyingi sana. Fundi mmoja alibiambia alikuwa mke wa njemba mmoja, yaani hakuamini. Jamaa ana hela na pia anamiliki chuma. Fundi baada ya kufanya kazi aliyokuwa akifanya kwa muda, mke wa mtu alianza kumshawishi ale goma. Jamaa akawa anaogopa kupogwa chuma. Siku moja huyo mke wakati fundi akijenga akamwita kwenye banda la kuku kwa kujifanya kama kuna kazi nyingine ya kufanya. Fundi alipokwenda bandani akamkuta ameshatoa nguo zote, hivyo jamaa akaona akubali tu. Baada ya kumaliza huyo mwanamke akamwambia anataka 'copyright' (yaani amtie mimba). Fundi akawa anaogopa, lakini ikatokea akafanya hivyo. Baada ya hapo, fundi akaniambia alilala mbele na hajui kilichoendekea huko nyumbani. Kwa upande wangu, isipokuwa na mke wako kwa karibu sana (kumu'occupy' mara kwa mara) unatoa fursa ya ku'develop' uhusiano wa karibu na mtu mwingine. Na hata kwa mwaume ni hivyo. Asipokuwa karibu na mkewe, atatafuta mwanamke mwingine wa kuwa karibu naye na ku'share' mambo more intimately. Hali ni mbaya zaidi kwa familia zenye ugomvi, kutolea a maneno makali na kipigo cha mara kwa mara. Wengine wanadhani mke usipompiga hakupendi, wakati mke anachopenda ni security na akihisi nyumbani hakuna security au future, ujue unatwanga maji kwenye kinu. Wanandoa tujifunze 'spouse psychology's, itatusaidia. Otherwise, mchepuko nje nje.
Chukua soda nakuja kulipaNina moyo wa kukinai hata nikijua tu demu flani anamahusiano na flani huwa hisia juu yake zinakua hazipo tena, hata nikiwa na mahusiano na mwanamke yeyote nikiona kuna dalili ya mtu mwingine kuwepo huwa nakaa pembeni mwenyewe nasubiri tu kupata uhakika ili ni sign-out mazima mi ni mzee wa kutoa ushindi kwa watu wengine kwenye mambo ya mahusiano sitaki kuvuruga mahusiano ya watu na yangu yakivurugwa huwa natoka wa kwanza.
Ni mwanamke tunayefahamiana toka utotoni na nilikuwa nampenda Iła nilishindwa kumtongoza kwani bado nilikuwa sijabalee na nilikuwa sijuwi tu nitaanzaje kumtongoza, tukapoteana wazazi walipoamishiwa mkoani kikazi, Baada miaka kama 20 hivi kupita tukaja kuonana tena in our 30s, yeye akiwa very hot mpaka nilitetemeka kuonana naye kwani sikuamini kama ni yeye. Nilishikwa na nyege na kupata ujasiri wa hajabu, nikamwambia ukweli kuwa nilimpenda toka zamani which was true na kumpa yangu ya moyoni. Cha kushangaza kumbe naye alikuwa ananipenda na alidai alikuwa ananitafuta kweli mpaka akawa ananiulizia kwa marafiki zetu wengine tuliokuwa tunacheza nao enzi za utotoni. Basi tukapeana namba zetu za simu na kuwasiliana hapa na pale, siku tukapanga tuonane sehemu, ikawa sasa kila tukionana tunaongea na kujisahau mpaka tunapigiwa simu na wapenzi wetu kuulizwa tuko wapi huku kila mmoja akimdanganya mpenzi wake, hii hali ya kukutana iliendelea mpaka yule demu mwenyewe aliniuliza tunafanya nini, kwanini tusifurahishane tu? Kwa kweli nilizimika naye na wala sikusita hata kidogo. Toka siku ile tukawa tunachapana kinoma na kupata raha zaidi kuliko nikiwa na demu wangu. Yule dada ana watoto watatu Iła nahisi mmoja ni wangu kwani tunafanana kidogo na dogo ananipenda mimi mjomba wake shinda wale wengine. Huyu dada bado ni mke wa mtu ila bado ni demu wangu pia, samahani kwa aliyekwazika na ushuhuda huu wa penzi la ukweli toka utotoni. Wengi tunaoana tu kwa interests zetu na asilimia kubwa ya wenye ndoa iko hivi, chunguzeni tu.Kwenye zama hizi za uzinzi,na jf iliyosaidia kuondoa stress,kuna mengi. Najua wanawake ni wasiri sana,japo na wao wameangusha train nyingi sana.
Kuna wakati unajikuta umefanya jambo la aibu,kwa tamaa ya muda mfupi. Wapo waliokula kimasihara hata kwa wadada wadogo au single. Je, kwa mke wa mtu,ilikuwaje?!
Naomba unionyeshe demu wako wa sasa, nataka niingilie kati ili unisusie.Nina moyo wa kukinai hata nikijua tu demu flani anamahusiano na flani huwa hisia juu yake zinakua hazipo tena, hata nikiwa na mahusiano na mwanamke yeyote nikiona kuna dalili ya mtu mwingine kuwepo huwa nakaa pembeni mwenyewe nasubiri tu kupata uhakika ili ni sign-out mazima mi ni mzee wa kutoa ushindi kwa watu wengine kwenye mambo ya mahusiano sitaki kuvuruga mahusiano ya watu na yangu yakivurugwa huwa natoka wa kwanza.
Hapa umekosea kidogo,labda nikurejeshe. Kwenye kumridisha mwanamke.Kama umeoa mke mmoja tu mchepuko nje nje, wenzetu waliooa wanne au zaidi si ni 'fumbo la imani' kabisa? Mafundi na bodaboda wanaweza kuwa wanaongoza kwa kuchukua wake za watu. Kuna mafundi wawili walishaniambia walishalamba wake za wale waliowafanyia kazi. Bodaboda ni mara nyingi sana. Fundi mmoja aliniambia alikula mke wa njemba mmoja, yaani hakuamini. Jamaa ana hela na pia anamiliki 'chuma'. Fundi baada ya kufanya kazi aliyokuwa akifanya kwa muda, mke wa mtu alianza kumshawishi ale goma. Jamaa akawa anaogopa kupigwa na 'chuma chenye ncha kali'. Siku moja huyo mke wakati fundi akijenga akamwita kwenye banda la kuku kwa kujifanya kama kuna kazi nyingine ya kufanya. Fundi alipokwenda bandani akamkuta ameshatoa nguo zote, hivyo jamaa akaona akubali tu. Baada ya kumaliza huyo mwanamke akamwambia anataka 'copyright' (yaani amtie mimba). Fundi akawa anaogopa, lakini ikatokea akafanya hivyo. Baada ya hapo, fundi akaniambia alilala mbele na hajui kilichoendekea huko nyumbani. Kwa upande wangu, usipokaa na mke wako kwa karibu sana (kumu'occupy' mara kwa mara) unatoa fursa ya ku'develop' uhusiano wa karibu na mtu mwingine. Na hata kwa mwanaume ni hivyo. Asipokuwa karibu na mkewe, atatafuta mwanamke mwingine wa kuwa karibu naye na ku'share' mambo more intimately. Hali ni mbaya zaidi kwa familia zenye ugomvi, kutoleana maneno makali na kipigo cha mara kwa mara. Wengine wanadhani mke usipompiga hakupendi, wakati mke anachopenda ni security na akihisi nyumbani hakuna security au future, ujue unatwanga maji kwenye kinu. Wanandoa tujifunze 'spouse psychology', itatusaidia. Otherwise, mchepuko nje nje. Jambo lingine la kujiuliza ni, kwa nini kuna dawa zaidi za ku'boost' nguvu za kiume kuliko za kike? Mtu mwingine anaweza kusema labda kwa sababu wanaume ni watafutaji na hivyo ni stress za maisha. Lakini pia wanawake ni watafutaji. Mfano, mama ntilie wakikusimlia wanaamka saa ngapi na wanafanya nini, utaona huruma. Kwa wanawake wa vijijini hali ni mbaya zaidi: kulima, kutafuta kuni na maji tena umbali mrefu (in terms of several kilometres), kupika, kufua nguo, kunyoosha nguo, nk. Hivyo, kama shida ni stress hata wao wana stress. Mimi nadhani wanaume tunaji'overstretch' - yaani tunataka tumridhishe mwnamke - ndiyo preoccupation yetu - na utajuaje umemridhisha na mara ngapi na lini? Tunachotakiwa kufanya ni to take it easy. Ni mke wako, na unaye kila siku, kila wakati. Kwa nini kila ukilala naye unataka mabao 3-5? Kwa nini bao moja lisitoshe na nguvu nyingine isubiri muda/siku nyingine? Mwendo wa haya mabao baada ya muda fulani tunakwisha kabisa na hata kuvaa suruari inakuwa shida maana unakuta makalio yameisha kabisa na bila mkanda inateremka yenyewe (mtepesho). Inabidi tubadilike. Tendo la ndoa lisiwe kumridhisha mke wako, bali sehemu ya kushirikishana upendo wako na mkeo/mumeo. Tukiishi kwa kutaka kumridhisha mtu hatuwezi kwa sababu hatujui anaridhikaje, muda gani, lini na mara ngapi na kwa sababu hatujui, tunadhani mabao mengi ndiyo yanayomridhisha na baadaye tunagundua hatujamridhisha, tunaanza kuhangaika kutafuta booster! Hopeless kabisa! Let's enjoy life (be happy) and not be stressful.
I can relate to thisNina moyo wa kukinai hata nikijua tu demu flani anamahusiano na flani huwa hisia juu yake zinakua hazipo tena, hata nikiwa na mahusiano na mwanamke yeyote nikiona kuna dalili ya mtu mwingine kuwepo huwa nakaa pembeni mwenyewe nasubiri tu kupata uhakika ili ni sign-out mazima mi ni mzee wa kutoa ushindi kwa watu wengine kwenye mambo ya mahusiano sitaki kuvuruga mahusiano ya watu na yangu yakivurugwa huwa natoka wa kwanza.
Kumbe unaongelea tabia (mazoea) ya uasherati. Baadhi ya wanaume nilioongea nao wakienda kwa mwanamke mwingine wanatumia 'booster'. Kuna mmoja aliniambia alitumia 'booster' kwa mke wake, lakini aligundua, akamuuliza "mbona leo uko tofauti na siku zingine?" Na yeye akajibu "imetokea tu." Kama wanaochepuka wanatumia booster, Ina maana hata hao wanaolala nao wameshaji'condition' hivyo - kwenda mara nyingi iwezekanavyo. Na ukizoea hivyo, si unajidhoofisha na baada ya muda unakwisha kabisa? Ndiyo maana mimi nashauri heri kila mmoja wetu atulie kwa mke/mume wake. Hakuna haja au sababu muhimu ya kumfanya mtu achepuke. Angalau mimi sioni sababu. Naweza nikawa na issue na wife na nikakasirika hata kwa wiki au mwezi, lakini siyo sababu ya kunfanya nichepuke. Nafanya hivi pia ili hata wife akiwa na issue na mimi kwa wiki au mwezi asiwazie kuchepuka pia. Lakini akijua mkiwa na mgogoro tu unachepuka, na yeye atafanya vivyo vivyo. Therefore, tusi'create' nafasi za kutenda dhambi/kuchepuka/kuwa waasherati.Hapa umekosea kidogo,labda nikurejeshe. Kwenye kumridisha mwanamke.
1. Unadhani mwanaume kuchepuka,hadi unamlala mke wa mwenzio,ni kwamba huna mke/demu/kipoozeo(hapa naongelea wale wasimbe wasio na address)kila anaetaka anachapa.
Sijui ndo wanaume walivyoumbwa,hata hawa wanaojiita walokole na kuanza kuhubili humu,ndo hawaendi lodge,ila vyoo vya makanisa na vichaka vinawajua sana.
2. Mwanamke ameanza uzinzi kabla hujamfaham,wewe unakuja kama wa 50. Kipi unacho wengine hawajajaribu? Anakuuliza kwa hiyo,kimoja kinatosha?
Usipojishughulisha anavyotaka,na hata ujishughulishe,ataona bado. Hivyo kujipeleka kuliwa lazima.
3. Unatongoza mwanamke,wa kuoa,si wa kugegeda. Siku mbili tu,keshaanza mambo ya bia na chipsi. Sawa. Si ana hamu navyo? Ila kiuhalisia muolewaji mzuri hata kukaa karibu na wewe utamsotea sana. Haya,mara mmezama mchezoni. Hivi, akianza staili zote na za mdogo wake shetani,mara aimbe(ashike mike),unadhani hapo una mke? Na wengine wanachukua hivo hivo.
4. Lijitu limekaa guetto maisha yake yote,limefanya kila aina ya uhuni,eti utamtunza,umjali umlinde. Sahau. Ikiwa mwanamke uliwahi kuishi guetto,mi hapana hunipati. Never
NAKAZIA HAPA.Hizi mambo za kulana bna..
Hivi ni mafanikio makubwa sana kwa Me kumla Ke??
Mke wa mtu si ana mbunye kama Ke wengine tu??
Nae ni mwanamke, tena aliegegedwa mara nyingi (kwa uhakika zaidi)..
Unagegeda mbunye ambayo jana yake au asubuhi ni hakika imechapwa.
Kula mke wa mtu sio ufahari, ni ufala wakuu.
Balaa Kweli Kweli 😂Usiku ule tulitoka watatu tukaenda kupata bia mbili tatu.Tulikuwa mimi,yeye(shemeji) na rafiki yake.Tukiwa tunapiga vitu(pombe)shemeji kila saa akawa ananichokoza anamuulizia ulizia wifii yake nikajua hapa kuja jambo,tukiwa tunakunywa nikaanza kupitisha mikono kwenye mapaja manene meupe laini ya shemeji huku nikimsifia alivyonona,wala hakuwa mkali
Tuliendelea kupiga tungi mwishowe yule rafiki yake na shemeji pombe zilipomkolea akatukimbia(Ni kawaida yake).Tuliendelea kunywa na shemeji mpaka mida ikasogea tukaazimia tuondoke.Shemeji akataka nimsindikize nikasema sawa nikamsindikiza mpaka karibu na kwake lakini akaniambia karibu nyumbani na zile pombe nikakaribia kweli,nikakaribishwa mpaka ndani.Mmewe alikuwa anafanyia kazi mkoa wa mbali hivyo hakuwepo na watoto walikuwa boarding,basi nilikaribishwa mpaka chumba cha watoto tukalala huko,tukafanya ya kwetu.Nilidamka saa 11 niwahi kwangu wakuda wasije kuniona nikitoka mle asubuhisubuhi na kuconnect dots.Toka siku hiyo nikawa najipigia kika nitakapo.