The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Nauhakika kama wa kawaida una miaka chini ya 30,kama umezidi 30+ nakusikitikia umeshindwa kuwa mtu mzima.kaka hakuna mbadala wala kubembeleza juu ya kuwa muadilifu ,unachofanya ni kama kusema unaweza kusoma sekondary huku unakula pombe ,na shetan mwema huwa anaachia wachache walevi wafaulu ili mtolee mfano mfeli 10000,Nahakika unawatoto wakataze hayaEndelea kujidanganya eti ndoa ni muungano takatifu.
Daudi alikua anakula wake za watu hadi kuua waume zao na bado Mungu alisema ukimgusa Daudi ni sawa na kugusa mboni ya jicho lake.
Ibrahim alikua anakula house girl wake mchana kweupe na michepuko mingine bila shida yoyote na ndie mungu anaempenda.
Achana na kuhangaika na hadithi za kidini. Mke wa mtu akija kwako kutafta huduma ya kimwili mpe, wanawake wanapitia mengi inawezekana ndani mume hajampa mwezi ama hata miezi.
1.wasiibe cha mtu
2.wakaembali na wake za watu
3.wasinywe pombe
Tunajua hakuna ambae anaweza epuka yote ila jitahidi kadili allah atavyokujalia ,ila kamwe usivitetee,mm nalewa kila siku ila akiniuliza asiekunywa au wanangu nawambia pombe haifai .