Ilikuwaje watu wakaamini kwamba Tanzania inaweza kuendelea bila kushirikiana na dunia?

Ilikuwaje watu wakaamini kwamba Tanzania inaweza kuendelea bila kushirikiana na dunia?

1637173910871.png


Body language, anayeonekana kituko ni yupi?
 
Mmmmmh! Tulijitenga na dunia lini? Mbona tuliongea na Rwanda na Uganda kuhusu kuonganisha nchi zetu na (SGR). Mbona mkutano wa sadac ulifanyika Tanzania. Mbona balozi zetu hazikufungwa nchi jirani na duniani.Mbona wageni/watalii walifika nchini.Mbona viwanda vya wageni hususani ni waChina vimeongezeka.

Au kuwa karibu na dunia nikujenga bandari ya bagamoyo kwa masharti ya kipumbavu na kubinafsisha Tanesco. Au kusaini bogus treaty

Je umesema kuhusu leagal of nation je kwanini ujerumani aliona ni uboya akawageuka. Nakusuhu UN kwanini Patrice lumumba aliomba jeshi kutoka UN ili kuwaondoa wabelgiji wezi wa shaba congo baadala yake wanajeshi wa UN wakaanza kuwasupport wabelgiji. Huuu ndio uhusiano na dunia? jihusishe na dunia lakini chunga chako kwasababu hakuna wakutupa zaidi ya mungu lazima tuheshimu zawadi hii.

Nasikitika Sana mtoa maada umekuja na kapoint uchwara sijui ka diplomasia sijui naahisi ndo hicho ukijuacho kwenye maendeleo foreign policy hayo ni mambo ya mwisho maendeleo yanaanza ndani tengeneza mazingira ya ndani kwanza. Hizo nchi China na wenzake zimewin sio kwasababu ya blabla unazosema wewe ni kwa kufanya kazi kwa bidii na kutengeneza mazingira ya uwekazaji.
 
View attachment 2014440

Body language, anayeonekana kituko ni yupi?
Diplomacy is a multifaceted phenomenon, it is more than attending international conferences...
Diplomacy is a a tool to project A foreign Policy of a country when she relates with others......

Leo hii hatumuongelei huyu mama, tunamuongelea Raisi wetu mpendwa na jinsi gani sera zake za mambo ya nje zimeathiri usalama, siasa na uchumi wa nchi. Kama alifanikiwa basi naomba nikosolewe kwa kuoneshwa maana niko tayari kujifunza. Lakini kunitukana mimi au kumtukana huyu mama hakusaidii nchi hii,.....
 
Yaani huu unyonyaji dhidi ya Tanzania uanze tu awamu ya tano ???
Mjamaa Nyerere mbona alishirikiana sana na dunia ???
Alikuwa haogopi kunyonywa ???
Labda kichwa changu bado cha moto sana...na labda maelezo ya mleta mada sijakamata sawa sawa. Ngoja kichwa kipoe kwanza naweza kuona tofauti na ninachokiona.

Lakini kwa hali niliyonayo sasa kuna viashiria vingi vinavyofanana na sababu alizoziyotoa Blaise Compaore kuwa alilazimika kushiriki kumuua rafiki yake wa toka utotoni ndugu Thomas Sankara aliyekuwa rais kijana wa Burkina Faso. Moja ya sababu ikiwa ni Sankara alikuwa anaikasirisha Ufaransa kwa matendo yake ya kuwatetea waburkinabe!

Nasema ngoja kichwa kipate baridi naweza kuona tofauti labda.
 
Huwa nawaza sana tulifikaje hapa tulipo leo,

Hivi ilikuwaje taifa lenye wasomi wazuri kabisa likaamua kufanya maamuzi ya kipumbavu ambayo hata Waroma wa kale walioishi miaka 2000 iliyopita wasingeyafanya. Hivi katika maksudi kabisa, taasisi nyeti za Tanzania ziliamini kabisa kwamba wao wangeweza kuifanya Tanzania nchi tajiri bila kushirikiana na dunia : Hivi ilikuwaje kabisa wataalamu wetu ambao wameenda shule, wanafahamu mifumo ya dunia ya kiuchumi, kiulinzi na kisiasa na wako kule USALAMA, BENKI KUU na MAMBO YA NJE wakakubaliana na huu upumbavu na kuanza kuutekeleza kabisa?

Mpangilio wa dunia yetu ya sasa uliwekewa msingi mwaka 1814 kule Vienna baada ya miaka 25 ya vita za mfalme Napoleon Bonaparte. Mwanamfalme Von Matternich alifahamu kabisa ili dunia isirudie kuingia kwenye songombingo la vita au kadhia yoyote ile, basi ni lazima watengeneze mfumo ambao uko kama utandu wa bui-bui: Kwamba maamuzi ya nchi moja yakifanyika lazima yaathiri nchi zote, hivyo nchi lazima zikubaliane kwenye baadhi ya mambo muhimu yanayowagusa wote. Ndiyo nadharia ya MZANI WA NGUVU (Balance of Power) ikazaliwa.

Mfumo wa dunia ya yetu hii tunayoishi leo hii umejengwa na matukio yaliyotokea miaka ya 1913, 1914, 1918, 1920, 1927, 1928, 1933, 1935, 1939, 1941, 1944, 1945, 1947, 1948, 1971 na 2001 . Kiufupi mlolongo wa matukio haya yafuatayo ndiyo yanatoa mwelekeo mzima wa mwenendo wa dunia yetu ya leo : Nashauri tufanya utafiti wa ndani kuhusu hili.

Formation of the Federal Reserve, World War I, Versailles Peace Treaty, Formation of League of Nations, Signing of Kellog-Briand Pact, The Great Depression, The Monte-Video Convention, America's Abolition of Gold Standard, World War II, The Bretton Wood Agreement, Formation of UNO, Signing of the GATT, Publication of the Universal Declaration of Human Rights, Nixon's Abandonment of the Gold Standard and China's Admission to the WTO n.k.

Mtaalamu yoyote yule wa Uchumi, Diplomasia, Ulinzi na Sheria ni lazima afahamu fika kuhusu haya ninayoyasema hapa. Kwamba dunia nzima tuko ndani ya utandu moja wa bui-bui. Huwezi kufanya jambo lolote lile ukiwa nje ya hapo. Ndani ya huu utandu wa bui-bui kuna kila aina ya watu: Wema na wabaya, Huru na watumwa, Masikini na tajiri, Wenye matumaini na wasio na matumaini, Wababe na dhaifu na Waamini Mungu na Maadui wa Mungu.

Huu ndiyo mfumo wa dunia (The World Order), huwezi kufanya maajabu yoyote yale ukiwa nje: Hata mataifa makubwa yenye nguvu duniani yanaheshimu huu mfumo kwasababu yanafahamu siku mfumo huu unaharibika basi ndiyo utakuwa mwisho wao. Hivyo kuna baadhi ya sheria hata yenyewe yatazifuata tu kwasababu zina manufaa kwao. Mwandishi George Orwell kwenye The ANIMAL FARM aliwahi kusema "All animals are equal, but some are more equal than others" hivyo hata kama tunataka usawa kuna wale waliotutangulia watakuwa mbele yetu kwenye baadhi ya mambo tu.

Sasa kinachoumiza wasomi wa Tanzania wenye PhD za sheria, uchumi na diplomasia. Huku wengine wakiwa na shahada kwenye masomo ya ulinzi, usalama na sayansi za vita wakiwa na akili timamu kabisa, wakaamua kuwa wapumbavu. Wakatundika elimu zao nyuma ya milango na kuanza kutekeleza jambo ambalo hata watu wa kale walioishi miaka 2000 hawakuwahi kuliwaza. Tanzania ina matatizo mengi, lakini ilikuwa inarekebishika vizuri tu kwasababu waliofikisha nchi yetu hapa wanafahamika na tunakula na kunywa nao kila siku.

Kuanza kulaumu mabeberu peke yake haisaidii kwasababu kuna wenzetu ambao wamefanikiwa kutumia mifumo hii-hii ya mabeberu kuwashinda mabeberu kiuchumi, kiulinzi na kisiasa. Ukweli ni kwamba huu mfumo umejengwa na mabeberu lakini hata walioujenga hawaundeshi wanavyotaka wao. Mataifa ya Magharibi ndiyo waanzilishi wa World Trade Organization (WTO) lakini leo hii, WTO imemnufaisha Uchina kuliko tangu alivyojiunga nao mwaka 2001 na mpaka sasa wanajutia kumkaribisha.

Nchi kama Singapore, India, Korea-Kusini na Brazil wamewezaje kucheza vizuri kwenye huu mfumo wa mabeberu hadi kufikia kuwango cha kuwashinda mabeberu kwenye baadhi ya mambo ??? Inahitaji akili ya ziada kutoka kwa Mungu ili kuweza kucheza kwenye huu mfumo. Raisi Donald Trump alijaribu kuitoa Marekani kwenye huu mfumo wa Vienna, lakini pamoja na maguvu yote ya Marekani alifanikiwa ???

Lakini leo hii kuna watu wako ndani ya IDARA ZA USALAMA ZA TANZANIA waliamini kabisa kwamba Tanzania inaweza kujitenga na dunia bila kupata madhara. Yaani waliamini kabisa na wengine bado wanaamini kabisa. Kuna wengine bado wanaamini kwamba mfumo wa Kileninisti na Kimaksisti (Marxist-Leninism) unaweza kutumika kuikomboa Tanzania. Sawa, lakini hata walioutuletea huu mfumo Warusi na Wachina, wamebadilisha sana baadhi ya hizi falsafa.

Dunia ya nchi moja kutawala wengine (Uni-Polar World) au nchi mbili kuamulia dunia nini kifanyike (Bi-Polar World) unakufa taratibu, ndiyo maana Marekani na Urusi wanapata shida kukubaliana na huu ukweli. Wao kama mataifa hawaanguki na bado wana nguvu, ila tu ni kwamba mataifa yale madogo na masikini kama Vietnam, Poland, Mexico yamekuwa makubwa yenye uchumi unaokua kwa kasi sana.

Tanzania tuliachiwa mtaji mkubwa sana kidiplomasia, ambao ulitujengea SOFT-POWER na INFLUENCE ambayo ilifanikisha ulinzi na usalama wa Tanzania kikanda na kidunia kwa kiwango kikubwa sana. Tuliingia sehemu ambazo hata nchi kubwa hazikuweza kuingia, tulipata taarifa nyeti kabla hata baadhi ya mataifa makubwa hayajazipata, tulipewa heshima ya kipekee (Special Treatment) ambayo mataifa mengine yenye uchumi mkubwa kuliko sisi barani Afrika hayakupewa.

Tuliogelea bwawa moja na mababeru, wakomunisti, wajahidina na wazayuni lakini tulitoka salama, kesho tena tukarudi kuogelea. We were a Shrimp among Whales, lakini bado tuliheshimika mno. Lakini leo hii hebu angalia, ile nguvu yote ambayo Mzee Nyerere na Raisi Mkapa walitutengenezea, imemomonyoka kisa kikundi cha watu wachache wasiokuwa na uelewa mpana wa mahitaji ya nchi yetu na nafasi yetu hapa ulimwenguni.

Binafsi naamini ili tuweze kutoka hapa tulipo ni lazima NYUMBA ISAFISHWE aidha mbele ya majirani au kisiri. Mambo ya UHAINI, KUHODHI MADARAKA, KUPANGA KUUA MARAISI WASTAAFU,KUSHIRIKIANA NA MAADUI WA TAIFA na KUWINDANA KWA KUTUMIA MAKUNDI NDANI YA TASISI ZA KIUSALAMA (Cloack and Dagger Diplomacy) tulikuwa tunayasikia nchi jirani tu: Kwetu sisi yalikuwa ni MWIKO KABISA. Vitendo vya kihaini tulishaachana navyo awamu ya kwanza. Lakini leo kuna kakundi kalifikiri kabisa kangeweza kutupangia sisi Watanzania nani awe Mkuu wa nchi kweli?

Halafu bado haka kakundi kanalelewa tu: Kuhakikisha kwamba nchi haiwezi kurudi tena kule ilipotoka there's one place these people belong : The Cemetery, A Noose or A Bullet in the head!!! A prison term is not enough for these ruthless and deranged fanatics (This is legal, legitimate, justified and righteous).

Mara nyingine huwa naumia sana kuhusu Tanzania, natamani hata nisingekuwa nayafahamu haya yanayondelea.....
Watu wa Chato waliamini hivyo.
 
Watanzania tuna shida kubwa pahala,...

Mkuu nafikiri ni vyema zaidi uulize ilikuwaje mtu kama jiwe akawa Rais wa Tanzania na maamuzi yake yote kutekelezwa bila kuhojiwa? Kwa sababu yeye ndiye aliyelazimisha msimamo wa kujitenga na “mabeberu na vibaraka wao”.

Mimi hasa ningependa kufahamu mtazamo wako binafsi kuhusu utawala wa Magufuli ulikuwaje na ukoje hivi sasa? Unaweza kurejea michango yako hapa JF kama afanyavyo Pascal Mayalla.

Watanzania wengi hatuna shida katika ufahamu uelewa, tafakuri na mantiki. We’re somehow intelligent and relatively smart. Kama tuna tatizo basi ni kuwa na ustaarabu uliopitiliza na kuthamini sana uhai wetu. We’re ready to be subservient to nasty people rather than annoy anyone and/or physically endanger ourselves.
 
Diplomacy is a multifaceted phenomenon, it is more than attending international conferences...
Diplomacy is a a tool to project A foreign Policy of a country when she relates with others......

Leo hii hatumuongelei huyu mama, tunamuongelea Raisi wetu mpendwa na jinsi gani sera zake za mambo ya nje zimeathiri usalama, siasa na uchumi wa nchi. Kama alifanikiwa basi naomba nikosolewe kwa kuoneshwa maana niko tayari kujifunza. Lakini kunitukana mimi au kumtukana huyu mama hakusaidii nchi hii,.....
we jamaa ni mjinga kweli yaani watu wapigane kujenga nchi zao. Hafu wewe uwende na pua yako eti uwaite nchini kwako waje kukupa faida hapo ni unyonyaji mtupu hiyo point ya foreign policy na diplomasia hivyo vitakuja tu Cha kwanza ni mazingira. Yaani wewe umwite na umaskini na ujinga aje hafu utegemee equal trade
 
Kinachosikitisha ni kwamba kuna watu hawastuki kabisa.

Unakaa unajiuliza hivi hizi kuna tatizo gani hapa nchini Tanzania.
Tatizo ni kubwa ni elimu
Mwalimu alifanya kosa kubwa sana kutumia kiswahili kama lugha ya taifa ,
Leo hii hata taarifa ya habari ya bbc world watu wanataka watafsiriwe na lufufu au mkandara
Mijadala mingi ya kimataifa kuhusu haki , utawala bora na uhuru wa kujieleza , watanzania hatuijui kinachoendelea ,
 
Huwa nawaza sana tulifikaje hapa tulipo leo,

Hivi ilikuwaje taifa lenye wasomi wazuri kabisa likaamua kufanya maamuzi ya kipumbavu ambayo hata Waroma wa kale walioishi miaka 2000 iliyopita wasingeyafanya. Hivi katika maksudi kabisa, taasisi nyeti za Tanzania ziliamini kabisa kwamba wao wangeweza kuifanya Tanzania nchi tajiri bila kushirikiana na dunia : Hivi ilikuwaje kabisa wataalamu wetu ambao wameenda shule, wanafahamu mifumo ya dunia ya kiuchumi, kiulinzi na kisiasa na wako kule USALAMA, BENKI KUU na MAMBO YA NJE wakakubaliana na huu upumbavu na kuanza kuutekeleza kabisa?

Mpangilio wa dunia yetu ya sasa uliwekewa msingi mwaka 1814 kule Vienna baada ya miaka 25 ya vita za mfalme Napoleon Bonaparte. Mwanamfalme Von Matternich alifahamu kabisa ili dunia isirudie kuingia kwenye songombingo la vita au kadhia yoyote ile, basi ni lazima watengeneze mfumo ambao uko kama utandu wa bui-bui: Kwamba maamuzi ya nchi moja yakifanyika lazima yaathiri nchi zote, hivyo nchi lazima zikubaliane kwenye baadhi ya mambo muhimu yanayowagusa wote. Ndiyo nadharia ya MZANI WA NGUVU (Balance of Power) ikazaliwa.

Mfumo wa dunia ya yetu hii tunayoishi leo hii umejengwa na matukio yaliyotokea miaka ya 1913, 1914, 1918, 1920, 1927, 1928, 1933, 1935, 1939, 1941, 1944, 1945, 1947, 1948, 1971 na 2001 . Kiufupi mlolongo wa matukio haya yafuatayo ndiyo yanatoa mwelekeo mzima wa mwenendo wa dunia yetu ya leo : Nashauri tufanya utafiti wa ndani kuhusu hili.

Formation of the Federal Reserve, World War I, Versailles Peace Treaty, Formation of League of Nations, Signing of Kellog-Briand Pact, The Great Depression, The Monte-Video Convention, America's Abolition of Gold Standard, World War II, The Bretton Wood Agreement, Formation of UNO, Signing of the GATT, Publication of the Universal Declaration of Human Rights, Nixon's Abandonment of the Gold Standard and China's Admission to the WTO n.k.

Mtaalamu yoyote yule wa Uchumi, Diplomasia, Ulinzi na Sheria ni lazima afahamu fika kuhusu haya ninayoyasema hapa. Kwamba dunia nzima tuko ndani ya utandu moja wa bui-bui. Huwezi kufanya jambo lolote lile ukiwa nje ya hapo. Ndani ya huu utandu wa bui-bui kuna kila aina ya watu: Wema na wabaya, Huru na watumwa, Masikini na tajiri, Wenye matumaini na wasio na matumaini, Wababe na dhaifu na Waamini Mungu na Maadui wa Mungu.

Huu ndiyo mfumo wa dunia (The World Order), huwezi kufanya maajabu yoyote yale ukiwa nje: Hata mataifa makubwa yenye nguvu duniani yanaheshimu huu mfumo kwasababu yanafahamu siku mfumo huu unaharibika basi ndiyo utakuwa mwisho wao. Hivyo kuna baadhi ya sheria hata yenyewe yatazifuata tu kwasababu zina manufaa kwao. Mwandishi George Orwell kwenye The ANIMAL FARM aliwahi kusema "All animals are equal, but some are more equal than others" hivyo hata kama tunataka usawa kuna wale waliotutangulia watakuwa mbele yetu kwenye baadhi ya mambo tu.

Sasa kinachoumiza wasomi wa Tanzania wenye PhD za sheria, uchumi na diplomasia. Huku wengine wakiwa na shahada kwenye masomo ya ulinzi, usalama na sayansi za vita wakiwa na akili timamu kabisa, wakaamua kuwa wapumbavu. Wakatundika elimu zao nyuma ya milango na kuanza kutekeleza jambo ambalo hata watu wa kale walioishi miaka 2000 hawakuwahi kuliwaza. Tanzania ina matatizo mengi, lakini ilikuwa inarekebishika vizuri tu kwasababu waliofikisha nchi yetu hapa wanafahamika na tunakula na kunywa nao kila siku.

Kuanza kulaumu mabeberu peke yake haisaidii kwasababu kuna wenzetu ambao wamefanikiwa kutumia mifumo hii-hii ya mabeberu kuwashinda mabeberu kiuchumi, kiulinzi na kisiasa. Ukweli ni kwamba huu mfumo umejengwa na mabeberu lakini hata walioujenga hawaundeshi wanavyotaka wao. Mataifa ya Magharibi ndiyo waanzilishi wa World Trade Organization (WTO) lakini leo hii, WTO imemnufaisha Uchina kuliko tangu alivyojiunga nao mwaka 2001 na mpaka sasa wanajutia kumkaribisha.

Nchi kama Singapore, India, Korea-Kusini na Brazil wamewezaje kucheza vizuri kwenye huu mfumo wa mabeberu hadi kufikia kuwango cha kuwashinda mabeberu kwenye baadhi ya mambo ??? Inahitaji akili ya ziada kutoka kwa Mungu ili kuweza kucheza kwenye huu mfumo. Raisi Donald Trump alijaribu kuitoa Marekani kwenye huu mfumo wa Vienna, lakini pamoja na maguvu yote ya Marekani alifanikiwa ???

Lakini leo hii kuna watu wako ndani ya IDARA ZA USALAMA ZA TANZANIA waliamini kabisa kwamba Tanzania inaweza kujitenga na dunia bila kupata madhara. Yaani waliamini kabisa na wengine bado wanaamini kabisa. Kuna wengine bado wanaamini kwamba mfumo wa Kileninisti na Kimaksisti (Marxist-Leninism) unaweza kutumika kuikomboa Tanzania. Sawa, lakini hata walioutuletea huu mfumo Warusi na Wachina, wamebadilisha sana baadhi ya hizi falsafa.

Dunia ya nchi moja kutawala wengine (Uni-Polar World) au nchi mbili kuamulia dunia nini kifanyike (Bi-Polar World) unakufa taratibu, ndiyo maana Marekani na Urusi wanapata shida kukubaliana na huu ukweli. Wao kama mataifa hawaanguki na bado wana nguvu, ila tu ni kwamba mataifa yale madogo na masikini kama Vietnam, Poland, Mexico yamekuwa makubwa yenye uchumi unaokua kwa kasi sana.

Tanzania tuliachiwa mtaji mkubwa sana kidiplomasia, ambao ulitujengea SOFT-POWER na INFLUENCE ambayo ilifanikisha ulinzi na usalama wa Tanzania kikanda na kidunia kwa kiwango kikubwa sana. Tuliingia sehemu ambazo hata nchi kubwa hazikuweza kuingia, tulipata taarifa nyeti kabla hata baadhi ya mataifa makubwa hayajazipata, tulipewa heshima ya kipekee (Special Treatment) ambayo mataifa mengine yenye uchumi mkubwa kuliko sisi barani Afrika hayakupewa.

Tuliogelea bwawa moja na mababeru, wakomunisti, wajahidina na wazayuni lakini tulitoka salama, kesho tena tukarudi kuogelea. We were a Shrimp among Whales, lakini bado tuliheshimika mno. Lakini leo hii hebu angalia, ile nguvu yote ambayo Mzee Nyerere na Raisi Mkapa walitutengenezea, imemomonyoka kisa kikundi cha watu wachache wasiokuwa na uelewa mpana wa mahitaji ya nchi yetu na nafasi yetu hapa ulimwenguni.

Binafsi naamini ili tuweze kutoka hapa tulipo ni lazima NYUMBA ISAFISHWE aidha mbele ya majirani au kisiri. Mambo ya UHAINI, KUHODHI MADARAKA, KUPANGA KUUA MARAISI WASTAAFU,KUSHIRIKIANA NA MAADUI WA TAIFA na KUWINDANA KWA KUTUMIA MAKUNDI NDANI YA TASISI ZA KIUSALAMA (Cloack and Dagger Diplomacy) tulikuwa tunayasikia nchi jirani tu: Kwetu sisi yalikuwa ni MWIKO KABISA. Vitendo vya kihaini tulishaachana navyo awamu ya kwanza. Lakini leo kuna kakundi kalifikiri kabisa kangeweza kutupangia sisi Watanzania nani awe Mkuu wa nchi kweli?

Halafu bado haka kakundi kanalelewa tu: Kuhakikisha kwamba nchi haiwezi kurudi tena kule ilipotoka there's one place these people belong : The Cemetery, A Noose or A Bullet in the head!!! A prison term is not enough for these ruthless and deranged fanatics (This is legal, legitimate, justified and righteous).

Mara nyingine huwa naumia sana kuhusu Tanzania, natamani hata nisingekuwa nayafahamu haya yanayondelea.....
Jibu lako ni rahisi: kwakutumia unafiki mfano wewe uliyeandika huu Uzi unetumwa na mabeberu
 
Hakuna ambae hakutaka kushirikiana na nchi nyingine ila kushirikiana kwa kutunyonya hilo ndo tulikataa awamu ya tano na inatakiwa iwe hivo kwa nchi zote za Africa gasa kusini mwa jangwa la sahara! Ile mikata ya kusaini mi nakuletea kandamili ww nipe Tanzanite hatuitaki

Sent using Jamii Forums mobile app

Soma tena kisha rejea kuandika comment na si kama utaamua kui edit
 
Hakuna ambae hakutaka kushirikiana na nchi nyingine ila kushirikiana kwa kutunyonya hilo ndo tulikataa awamu ya tano na inatakiwa iwe hivo kwa nchi zote za Africa gasa kusini mwa jangwa la sahara! Ile mikata ya kusaini mi nakuletea kandamili ww nipe Tanzanite hatuitaki

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisha kuwa tegemez utanyonywa tu... Hutaki kunyonywa mwisho wa siku unataka misaada kwao, unataka mikopo, dawa unawategemea, ARV, silaha Sasa kwann usinyonywe.. Magufuli alijarbu kupiga hizo kelele lakn honestly Hawa jamaa tunawategemea kwene kila kona lazima tu watatuendesha..
 
Ndo maana kuna nchi zinaitwa first world na sisi ni third world, get that fact right kwanza kabla ya yote!
Nchi tajiri zina templates kadhaa katika profile zao, wakiamua wanajitegemea, wakiamua wanaweza kututegemea masikini kwa faida zao , wakiamua wanasaidia masikini..kuna wakati nchi hizo zinafanya mamboyote hayo kwa wakati mmoja
hadi leo dawa za kifua kikuu , hiv, zinakuja kama misaada kutoka kwa beberu, meantime copper ya zambia hadi leo hii masoko yake yapo huko huko kwa beberu.
Mama anazunguka huko kwa sababu anajua beberu haipukiki kwa namna yoyote.
She will loose some and win some games katika rounds hizo
we jamaa ni mjinga kweli yaani watu wapigane kujenga nchi zao. Hafu wewe uwende na pua yako eti uwaite nchini kwako waje kukupa faida hapo ni unyonyaji mtupu hiyo point ya foreign policy na diplomasia hivyo vitakuja tu Cha kwanza ni mazingira. Yaani wewe umwite na umaskini na ujinga aje hafu utegemee equal trade
 
Hivi ni nani aliyekwambia kwamba Diplomasia ya nchi inafanywa na mabalozi peke yake ???

Balozi ni kitaalamu ni Diplomatic Agent/Legate/Envoy yeye hufanya kazi kama wakala au muwakilishi wa nchi na sera zake. Wao hawafanyi kazi nje ya TOR ambazo hupewa baada ya teuzi na kutumwa nje ya nchi. Sasa kama unafikiri mabalozi ndiyo wanaendesha diplomasia ya nchi au lazima mtua aende nje ya nchi ili awe mwana diplomasia, UMECHELEWA BASI (You've missed a bus) mkuu.

Nadhani sasa kuna haja turudishe ule utaratubu wa zamani vijana wote wa UVCCM, Viongozi wa umma, TISS na JWTZ na makada wengine wa UVCCM lazima tuwapeleke Kurasini kinguvu au wasome vyuo vya itikadi kwa lazima: Hiki kiwango chenu cha ujinga is beyond ordinary comprehension. Yaani wewe SWEETTABLET nilikuwa nakuona walau ziko kichwani kumbe na wewe ni mweupe hivi ??? SMH
Labda nikuulize swali. Marekani enzi za Trump ilijitenga na Africa. Vipi enzi za Joe Biden, imejitenga na Africa? Rais Putin katika vipindi vyake vyote vya Urais hajawahi kuja Africa Je, amejitenga na Africa? Mama yetu amejitenga na Asia, Bara Arabu, India na China kwasababu hajaenda huko? Ukinijibu scholarly nikaelewa, nitakuheshimu.
 
Mmmmmh! Tulijitenga na dunia lini? Mbona tuliongea na Rwanda na Uganda kuhusu kuonganisha nchi zetu na (SGR). Mbona mkutano wa sadac ulifanyika Tanzania. Mbona balozi zetu hazikufungwa nchi jirani na duniani.Mbona wageni/watalii walifika nchini.Mbona viwanda vya wageni hususani ni waChina vimeongezeka.
Anhaa, kwahiyo mkuu unataka kusema kwamba sera ya mambo ya nje ya Tanzania ilitekelezwa ipasavyo kwasababu ya SGR, mkutano wa SADC, kuongezeka kwa viwanda vya wachina na watalii SI NDIYO ??? Lakini, vipi kuhusu utekelezaji wa International Commitments at Regional and International Levels ambazo tuliziweka kisiasa na zile ambazo ziko kisheria ???

Kuna matatizo mangapi ambayo nchi iliingizwa kwasababu za kutokuwa makini katika kuheshimu hizi international Commitments ??? Kuhusu mambo ya Bilateral Investment Treaties (BIT's) ni mara ngapi tulijiingiza kwenye shida zisizokuwa na ulazima kisa tu kiburi cha mtu mmoja ??? Haya ni baadhi ya mambo ambayo inabidi tuyazungumzie, lakini sioni mtu hata mmoja akiyaleta hapa.

u kuwa karibu na dunia nikujenga bandari ya bagamoyo kwa masharti ya kipumbavu na kubinafsisha Tanesco. Au kusaini bogus treaty
Hakuna nchi inayolazimishwa kusaini mikataba endapo inahisi mikataba hiyo haina manufaa kwa taifa lake. Kila taifa ni Sovereign na Signin of Treaties falls within a scope of sovereign prerogatives. Pia hata kujitoa kwenye mikataba nayo ni Sovereign Prerogative, nchi inaweza kuamua kujitoa. Sisi tunachokataa ni kujitoa bila kuwa na mkakati, kudanganya umma au kutaka umaarufu.

Katika kusoma kwangu kote hata nchi kama Serikali za nchi kama Uingereza huwa hazishindi kesi dhidi ya wawekezaji endapo pale serikali imeamua kujitoa bila kufuata mkakati maalumu. Kama tunaikataa hii mikataba basi lazima tuje na mkakati na siyo kukurupuka hapa, mwishowe tunakuja kupata madhara kama yale yaliyotukuja kisa tulivunja baadha ya BIT kwa kukurupuka.

Je umesema kuhusu leagal of nation je kwanini ujerumani aliona ni uboya akawageuka. Nakusuhu UN kwanini Patrice lumumba aliomba jeshi kutoka UN ili kuwaondoa wabelgiji wezi wa shaba congo baadala yake wanajeshi wa UN wakaanza kuwasupport wabelgiji. Huuu ndio uhusiano na dunia? jihusishe na dunia lakini chunga chako kwasababu hakuna wakutupa zaidi ya mungu lazima tuheshimu zawadi hii.
Daaah, hili swali huwa nilikuwa nakutana nalo kila nilipokuwa nafundisha International Law kwa wanafunzi wa mwaka wa pili. Ntakujibu kwa kufupi kabisa: International Relations cross-cuts many issues other than peace and security, it touches investment issues, health issues, international monetary systems, markets, culture etc.

Kilichotokea kwa Lumumba siyo kitu kuzuri hata kidogo, na kilidhihirisha udhaifu wa mfumo wetu wa dunia ambao uko mpaka leo hii. Lakini busara ni ipi, tuendelee kujitenga na kujificha au sisi kama bara la nchi masikini tuungane ili kusaidiana kubadilisha mifumo ya dunia ambayo inatukandamiza ??? Tanzania ilipoteza pesa nyingi sana katika kusaidia nchi za Afrika kupata Uhuru, lakini unafahamu faida za kiusalama ambazo nchi ilizipata kutokana na ule uwekezaji ???

Swali la msingi kijiuliza: Kikwete na Mkapa walifanikiwa sana kuendeleza hii tunu tulioachiwa na Baba wa Taifa. Je Raisi Magufuli alifanikiwa kufanya hivyo au alishindwa ???

Kaa chini fikiri.....

Nasikitika Sana mtoa maada umekuja na kapoint uchwara sijui ka diplomasia sijui naahisi ndo hicho ukijuacho kwenye maendeleo foreign policy hayo ni mambo ya mwisho maendeleo yanaanza ndani tengeneza mazingira ya ndani kwanza. Hizo nchi China na wenzake zimewin sio kwasababu ya blabla unazosema wewe ni kwa kufanya kazi kwa bidii na kutengeneza mazingira ya uwekazaji.
Dunia hii ya leo huwezi kutengeneza ya ndani bila kutengeneza ya nje pia, maana kila kitu ambacho kinakuja ndani ya nchi hutoka nje. Kiasilia, taifa ambalo huwa tajiri ni lile ambalo linafanikiwa sana kuuza bidhaa zake nje ya nchi kwa kiwango kikubwa, na lile ambalo linafanikiwa kuvutia mitaji ya nje kwa kupitia uwekezaji. Sasa ili ufanikiwe katika hili ni lazima uwe unafahamu fika mfumo mzima wa masoko ya dunia na michezo michafu ambayo mabeparu hucheza.

Nikikuuliza Sera ya uwekezaji na viwanda ya Tanzania kwa miaka mitano iliyopita ilikuwa ni ipi hutanijibu kabisa. Mkakati ambao ulitekelezwa vizuri ni ujenzi wa miundo mbinu, katika hili lazima tukubali kwamba Raisi Magufuli alijitahidi sana , lakini huko kwingineko hebu mnifundishe zaidi
 
Hakuna ambae hakutaka kushirikiana na nchi nyingine ila kushirikiana kwa kutunyonya hilo ndo tulikataa awamu ya tano na inatakiwa iwe hivo kwa nchi zote za Africa gasa kusini mwa jangwa la sahara! Ile mikata ya kusaini mi nakuletea kandamili ww nipe Tanzanite hatuitaki

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakwanini unyonywe? Kunyonywa ni ujinga wa mnyonywaji ...Dunia ya leo watu wanasaka fursa kama kwako ipo watakuja issue unajua kutetea maslahi yako? Sasa nyie mmemezeshwa Ujinga kwamba dawa kurudisha mpira kwa kipa ujinga
 
Huwa nawaza sana tulifikaje hapa tulipo leo,

Hivi ilikuwaje taifa lenye wasomi wazuri kabisa likaamua kufanya maamuzi ya kipumbavu ambayo hata Waroma wa kale walioishi miaka 2000 iliyopita wasingeyafanya. Hivi katika maksudi kabisa, taasisi nyeti za Tanzania ziliamini kabisa kwamba wao wangeweza kuifanya Tanzania nchi tajiri bila kushirikiana na dunia : Hivi ilikuwaje kabisa wataalamu wetu ambao wameenda shule, wanafahamu mifumo ya dunia ya kiuchumi, kiulinzi na kisiasa na wako kule USALAMA, BENKI KUU na MAMBO YA NJE wakakubaliana na huu upumbavu na kuanza kuutekeleza kabisa?

Mpangilio wa dunia yetu ya sasa uliwekewa msingi mwaka 1814 kule Vienna baada ya miaka 25 ya vita za mfalme Napoleon Bonaparte. Mwanamfalme Von Matternich alifahamu kabisa ili dunia isirudie kuingia kwenye songombingo la vita au kadhia yoyote ile, basi ni lazima watengeneze mfumo ambao uko kama utandu wa bui-bui: Kwamba maamuzi ya nchi moja yakifanyika lazima yaathiri nchi zote, hivyo nchi lazima zikubaliane kwenye baadhi ya mambo muhimu yanayowagusa wote. Ndiyo nadharia ya MZANI WA NGUVU (Balance of Power) ikazaliwa.

Mfumo wa dunia ya yetu hii tunayoishi leo hii umejengwa na matukio yaliyotokea miaka ya 1913, 1914, 1918, 1920, 1927, 1928, 1933, 1935, 1939, 1941, 1944, 1945, 1947, 1948, 1971 na 2001 . Kiufupi mlolongo wa matukio haya yafuatayo ndiyo yanatoa mwelekeo mzima wa mwenendo wa dunia yetu ya leo : Nashauri tufanya utafiti wa ndani kuhusu hili.

Formation of the Federal Reserve, World War I, Versailles Peace Treaty, Formation of League of Nations, Signing of Kellog-Briand Pact, The Great Depression, The Monte-Video Convention, America's Abolition of Gold Standard, World War II, The Bretton Wood Agreement, Formation of UNO, Signing of the GATT, Publication of the Universal Declaration of Human Rights, Nixon's Abandonment of the Gold Standard and China's Admission to the WTO n.k.

Mtaalamu yoyote yule wa Uchumi, Diplomasia, Ulinzi na Sheria ni lazima afahamu fika kuhusu haya ninayoyasema hapa. Kwamba dunia nzima tuko ndani ya utandu moja wa bui-bui. Huwezi kufanya jambo lolote lile ukiwa nje ya hapo. Ndani ya huu utandu wa bui-bui kuna kila aina ya watu: Wema na wabaya, Huru na watumwa, Masikini na tajiri, Wenye matumaini na wasio na matumaini, Wababe na dhaifu na Waamini Mungu na Maadui wa Mungu.

Huu ndiyo mfumo wa dunia (The World Order), huwezi kufanya maajabu yoyote yale ukiwa nje: Hata mataifa makubwa yenye nguvu duniani yanaheshimu huu mfumo kwasababu yanafahamu siku mfumo huu unaharibika basi ndiyo utakuwa mwisho wao. Hivyo kuna baadhi ya sheria hata yenyewe yatazifuata tu kwasababu zina manufaa kwao. Mwandishi George Orwell kwenye The ANIMAL FARM aliwahi kusema "All animals are equal, but some are more equal than others" hivyo hata kama tunataka usawa kuna wale waliotutangulia watakuwa mbele yetu kwenye baadhi ya mambo tu.

Sasa kinachoumiza wasomi wa Tanzania wenye PhD za sheria, uchumi na diplomasia. Huku wengine wakiwa na shahada kwenye masomo ya ulinzi, usalama na sayansi za vita wakiwa na akili timamu kabisa, wakaamua kuwa wapumbavu. Wakatundika elimu zao nyuma ya milango na kuanza kutekeleza jambo ambalo hata watu wa kale walioishi miaka 2000 hawakuwahi kuliwaza. Tanzania ina matatizo mengi, lakini ilikuwa inarekebishika vizuri tu kwasababu waliofikisha nchi yetu hapa wanafahamika na tunakula na kunywa nao kila siku.

Kuanza kulaumu mabeberu peke yake haisaidii kwasababu kuna wenzetu ambao wamefanikiwa kutumia mifumo hii-hii ya mabeberu kuwashinda mabeberu kiuchumi, kiulinzi na kisiasa. Ukweli ni kwamba huu mfumo umejengwa na mabeberu lakini hata walioujenga hawaundeshi wanavyotaka wao. Mataifa ya Magharibi ndiyo waanzilishi wa World Trade Organization (WTO) lakini leo hii, WTO imemnufaisha Uchina kuliko tangu alivyojiunga nao mwaka 2001 na mpaka sasa wanajutia kumkaribisha.

Nchi kama Singapore, India, Korea-Kusini na Brazil wamewezaje kucheza vizuri kwenye huu mfumo wa mabeberu hadi kufikia kuwango cha kuwashinda mabeberu kwenye baadhi ya mambo ??? Inahitaji akili ya ziada kutoka kwa Mungu ili kuweza kucheza kwenye huu mfumo. Raisi Donald Trump alijaribu kuitoa Marekani kwenye huu mfumo wa Vienna, lakini pamoja na maguvu yote ya Marekani alifanikiwa ???

Lakini leo hii kuna watu wako ndani ya IDARA ZA USALAMA ZA TANZANIA waliamini kabisa kwamba Tanzania inaweza kujitenga na dunia bila kupata madhara. Yaani waliamini kabisa na wengine bado wanaamini kabisa. Kuna wengine bado wanaamini kwamba mfumo wa Kileninisti na Kimaksisti (Marxist-Leninism) unaweza kutumika kuikomboa Tanzania. Sawa, lakini hata walioutuletea huu mfumo Warusi na Wachina, wamebadilisha sana baadhi ya hizi falsafa.

Dunia ya nchi moja kutawala wengine (Uni-Polar World) au nchi mbili kuamulia dunia nini kifanyike (Bi-Polar World) unakufa taratibu, ndiyo maana Marekani na Urusi wanapata shida kukubaliana na huu ukweli. Wao kama mataifa hawaanguki na bado wana nguvu, ila tu ni kwamba mataifa yale madogo na masikini kama Vietnam, Poland, Mexico yamekuwa makubwa yenye uchumi unaokua kwa kasi sana.

Tanzania tuliachiwa mtaji mkubwa sana kidiplomasia, ambao ulitujengea SOFT-POWER na INFLUENCE ambayo ilifanikisha ulinzi na usalama wa Tanzania kikanda na kidunia kwa kiwango kikubwa sana. Tuliingia sehemu ambazo hata nchi kubwa hazikuweza kuingia, tulipata taarifa nyeti kabla hata baadhi ya mataifa makubwa hayajazipata, tulipewa heshima ya kipekee (Special Treatment) ambayo mataifa mengine yenye uchumi mkubwa kuliko sisi barani Afrika hayakupewa.

Tuliogelea bwawa moja na mababeru, wakomunisti, wajahidina na wazayuni lakini tulitoka salama, kesho tena tukarudi kuogelea. We were a Shrimp among Whales, lakini bado tuliheshimika mno. Lakini leo hii hebu angalia, ile nguvu yote ambayo Mzee Nyerere na Raisi Mkapa walitutengenezea, imemomonyoka kisa kikundi cha watu wachache wasiokuwa na uelewa mpana wa mahitaji ya nchi yetu na nafasi yetu hapa ulimwenguni.

Binafsi naamini ili tuweze kutoka hapa tulipo ni lazima NYUMBA ISAFISHWE aidha mbele ya majirani au kisiri. Mambo ya UHAINI, KUHODHI MADARAKA, KUPANGA KUUA MARAISI WASTAAFU,KUSHIRIKIANA NA MAADUI WA TAIFA na KUWINDANA KWA KUTUMIA MAKUNDI NDANI YA TASISI ZA KIUSALAMA (Cloack and Dagger Diplomacy) tulikuwa tunayasikia nchi jirani tu: Kwetu sisi yalikuwa ni MWIKO KABISA. Vitendo vya kihaini tulishaachana navyo awamu ya kwanza. Lakini leo kuna kakundi kalifikiri kabisa kangeweza kutupangia sisi Watanzania nani awe Mkuu wa nchi kweli?

Halafu bado haka kakundi kanalelewa tu: Kuhakikisha kwamba nchi haiwezi kurudi tena kule ilipotoka there's one place these people belong : The Cemetery, A Noose or A Bullet in the head!!! A prison term is not enough for these ruthless and deranged fanatics (This is legal, legitimate, justified and righteous).

Mara nyingine huwa naumia sana kuhusu Tanzania, natamani hata nisingekuwa nayafahamu haya yanayondelea.....
Tanzania ilipoteza dira baada ya Nyerere kufariki.

Awamu ya tatu na ya nne Tanzania lost its soul ikabakiza historia ya marehemu.

2015 hivi aliyeruhusu Magufuli awe rais alikuwa anawaza nini ?
 
Back
Top Bottom