Imani hizi! Je, unajua kanisa linaitwa "Chanzo halisi?

Imani hizi! Je, unajua kanisa linaitwa "Chanzo halisi?

Ya kweli hayo mkuu? Hayo "maajabu" yametokea wapi?
😄 nimemsikiliza huyo mchungaji huwa anawaponda sana hao na anaongea kama chiriku ila ana kipaji aisee
Mtafute clip zake anaitwa Mchungaji Hananja yeye ndio kaleta hayo kwa kuwaponda hao
 
Hao ni siloam version 2. Baada ya mpasuko wakajitenga. Ile siloam ya awali ipo chini ya mke wa marehemu munuo. Hii ya sasa ya kujiita chanzo halisi ndio huyu mwamba anaisimamia .Kipindi cha eliya(munuo) huyu alikuwa akijiita elisha miaka 1000. Chanzo cha kwenda kuhiji kigoma ni kwa vile eti huyo munuo mwaka 2003 alipokea sauti ya mungu akiwa huko kigoma kikazi kama mtumishi wa tanesco. Kwa hiyo hata kuvaa white ni kwa vile wanaitwa wakamilifu au watakatifu na sio waumini kama makanisa mengine. Nna mengi ya kusema ila mdomo una maji mengi kama samaki.
 
Huyu Pastor yupo vizuri sana amenyooka
Hana unafiki kabisa na anapiga mule mule
Huyu apewe kibarua serikalini afunge makanisa ya kitapeli yote kama Rwanda
Watu wanaenda kanisani kumuomba Mungu
Sasa unapeleka kakakuona akaombe umeme
 
Hao ni siloam version 2. Baada ya mpasuko wakajitenga. Ile siloam ya awali ipo chini ya mke wa marehemu munuo. Hii ya sasa ya kujiita chanzo halisi ndio huyu mwamba anaisimamia .Kipindi cha eliya(munuo) huyu alikuwa akijiita elisha miaka 1000. Chanzo cha kwenda kuhiji kigoma ni kwa vile eti huyo munuo mwaka 2003 alipokea sauti ya mungu akiwa huko kigoma kikazi kama mtumishi wa tanesco. Kwa hiyo hata kuvaa white ni kwa vile wanaitwa wakamilifu au watakatifu na sio waumini kama makanisa mengine. Nna mengi ya kusema ila mdomo una maji mengi kama samaki.
Sarakasi zake tamu sana.Utasikia kuhani miaka 1000.N.k
 
Linaitwa Kanisa halisi la Mungu baba. Lilianzishwa baada ya mpasuko kwenye kanisa la The Pool of Siloam.

Sasa hawa kanisa halisi la Mungu baba ndio wamewazidi nguvu wale Siloam na sasa wanajulikana zaidi wao.
Noma sana
 
Dini zimefanikiwa kuharibu akili za watu, hasa Tanzania. Watanzania wengi wamekuwa mbuzi Kwa sababu ya dini.
Imani ni kitu cha ajabu sana, nilikua najiuliza hivi hawa wanaamini kabisa????
 
Wenyewe wanasema hawatokufa

Ukifa kwenye hilo kanisa ni umejiatakia kwa matendo yako maovu
 
Linaitwa Kanisa halisi la Mungu baba. Lilianzishwa baada ya mpasuko kwenye kanisa la The Pool of Siloam.

Sasa hawa kanisa halisi la Mungu baba ndio wamewazidi nguvu wale Siloam na sasa wanajulikana zaidi wao.
Kumbe pool of Siloam lilipasuka? Mi najua ni hao hao tu!!!
 
Hao ni siloam version 2. Baada ya mpasuko wakajitenga. Ile siloam ya awali ipo chini ya mke wa marehemu munuo. Hii ya sasa ya kujiita chanzo halisi ndio huyu mwamba anaisimamia .Kipindi cha eliya(munuo) huyu alikuwa akijiita elisha miaka 1000. Chanzo cha kwenda kuhiji kigoma ni kwa vile eti huyo munuo mwaka 2003 alipokea sauti ya mungu akiwa huko kigoma kikazi kama mtumishi wa tanesco. Kwa hiyo hata kuvaa white ni kwa vile wanaitwa wakamilifu au watakatifu na sio waumini kama makanisa mengine. Nna mengi ya kusema ila mdomo una maji mengi kama samaki.
Mkuu endelea kutupa historia
 
nilikuwa huko mi nikatoka kundini . Maana mahubiri ya huko yanatengeneza mazingira ya kumwabudu mtu kama huyo jamaa na sio mungu!
Mkuu hebu tujuze ya huko, inaonekana unafahamu vingi
 
Back
Top Bottom