Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Nimekuelewa love,ila code zako zimekaba kidogo....but it's ok...tusiumize watu Kwa kuwatajaKuna ukweli japo kidogo kwenye hii mada yangu baby wangu.
Sasa hivi hali ni mbaya sana, machoko wamekuwa wengi sana hadi wale ambao unawaheshimu na wengine uliwaona ni role model wako.
Fikiria tu watu kama R, O, A, M, B, P, H etc
Hali ni mbaya sana baby wangu ndio maana nakupenda sana wewe.
Arusha, Dar sasa hivi hakufai, vijana wanajiuza mchana kweupe bila woga wala aibu.
Sasa hivi hakuna sehemu yenye machoko wengi kama chugga. Hadi aibuWanaume wa Daslam hao njoo huku Chugga tukupelekee moto.
Labda wewe ni mmoja waoSasa hivi hakuna sehemu yenye machoko wengi kama chugga. Hadi aibu
Daaa π₯Chekini hawa washezi, ZEBRA ZAOView attachment 2334195
Duuh hatari sanaSiku hizi wamejiimarisha ukitaka kuona balaa nenda google andika PAMOKO
Tutafika mbingu tupo hoi.Kuna siku tutaanza kulilia kifoπ€¦ Ili tusiyaone yote haya
Na sasa hivi ndio yamepamba moto, Mungu atusaidie kwa kweli.Na wanaoumia na haya yanayoendelea duniani ni wale wenye hofu ya Mungu mioyoni mwao pekee
Hali ni mbaya sanaNimekuelewa love,ila code zako zimekaba kidogo....but it's ok...tusiumize watu Kwa kuwataja
Bora wanawake wanaosagana kuliko wanaume wanaoliwa. Mwanamke hata akisagana bado ameumbwa kufanywaNaona umeegemea upande wa wanaume vp hakuna wanawake wanaosagana?
Ni Dar res salaam pekee ndo utaskia habari kama hiziNi masista duu nimewanyaka sehemu fulani wakijadili na kupondea....Eti hawaolewi kwa sababu wanaume wananyang'anya wanaume zao Ivo kumekuwa na uhaba wa wanaume[emoji15]....jambo lingine Eti hata picha zinazotupiwa sana mitandaoni....
Ukiona wanaume wawili picha ya pamoja afu wanajiita marafiki ujue ni wanakulana yaan wapenzi....haitoshi na mabarabarani wanaume wanaoongozana wawiliwawili au wamekaa sehemu tulivu(bar) pamoja Eti wengi wao ni wapenzi.
Nimewaza nikajisemea hii ngoma hii dunia hii amani na utulivu hakuna tena....Dunia imekuwa uwanja wa vita.[emoji26] Aisee....wanaume mnaoliwa acheni bas hizo mambo mnachafua wenzenu tafadhali
Eti....?!Wataje tuwasute ili waache kama @cocastic alivyookoka baada ya kumweka kitimoto