Imani kwa wanaume imekwisha

Imani kwa wanaume imekwisha

Hatari sana. Kwa mujibu wa wanaosagwa kuacha hiyo umafia huwa ni ngumu mno kwasababu anayemsaga mwenzie anamfanya kwa namna ambayo kama angekuwa anafanyiwa yeye angejiskiaje hivyo anakuwa makini sana kuitafuta ile sexual excitement kwa ustadi wa kiwango Cha kimataifa.

Hata hivyo wanakiri wazi kwamba mborlour itabaki kuwa mborlour tu na heshima yake haifananishwi
Ni kweli kabisa
 
Ni masista duu nimewanyaka sehemu fulani wakijadili na kupondea, eti hawaolewi kwa sababu wanaume wanawanyang'anya wanaume zao, hiyvo kumekuwa na uhaba wa wanaume😳. Jambo lingine, eti hata picha zinazotupiwa sana mitandaoni, ukiona wanaume wawili picha ya pamoja afu wanajiita marafiki ujue ni wanakulana yaani wapenzi!

Barabarani pia wanaume wanaoongozana wawili wawili au wamekaa sehemu tulivu(bar) pamoja, eti wengi wao ni wapenzi. Nimewaza nikajisemea, hi dunia amani na utulivu hakuna tena. Dunia imekuwa uwanja wa vita😥. Aisee, wanaume mnaoliwa acheni basi hizo mambo mnachafua wenzenu tafadhali.
Bwana Yesu tuhurumie na kutusamehe, ponya kizazi hichi😪
 
Ni masista duu nimewanyaka sehemu fulani wakijadili na kupondea, eti hawaolewi kwa sababu wanaume wanawanyang'anya wanaume zao, hiyvo kumekuwa na uhaba wa wanaume[emoji15]. Jambo lingine, eti hata picha zinazotupiwa sana mitandaoni, ukiona wanaume wawili picha ya pamoja afu wanajiita marafiki ujue ni wanakulana yaani wapenzi!

Barabarani pia wanaume wanaoongozana wawili wawili au wamekaa sehemu tulivu(bar) pamoja, eti wengi wao ni wapenzi. Nimewaza nikajisemea, hi dunia amani na utulivu hakuna tena. Dunia imekuwa uwanja wa vita[emoji26]. Aisee, wanaume mnaoliwa acheni basi hizo mambo mnachafua wenzenu tafadhali.
Ungesema hivii wanaume sikuhizi hawana muda na wanawake ningekuelewa.

Na kiukweli wanaume wameamua kutafuta furaha na starehe sehemu nyingine kiufupi wanawake Hampati ile attention mlio kuwa mmeizoea kutoka kwa wanaume.

Tatizo mlilinga sana hadi wanaume wakawa sugu wa ugwadu yaani saizi wanaume wanaweza wakakaa muda mrefu bila Kuonja mbususu na mambo yakaenda.

Na mlisahau katika haya Maisha mwanamke ndio anamuhitaji mwanaume Kipita maelezo na mwanaume huyo ndio hana muda na nyie sasa.[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Si mnataka haki sawa?

Tunapoelekea hii sheria ya kumlinda na kumtetea mwanamke itapotea, itaibuka sheria ya kumlinda na kumtetea shoga

Nadhani unaona nchi za wenzetu, mashoga wanaandamana kabisa kutetea haki zao, na serikali zao zinawalinda sana

Ndo yale maswala ya sodoma na gomora yanarudi, ambapo mwanaume shoga atakuwa na thamani kubwa sana kuliko mwanamke.

New world order!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungesema hivii wanaume sikuhizi hawana muda na wanawake ningekuelewa.

Na kiukweli wanaume wameamua kutafuta furaha na starehe sehemu nyingine kiufupi wanawake Hampati ile attention mlio kuwa mmeizoea kutoka kwa wanaume.

Tatizo mlilinga sana hadi wanaume wakawa sugu wa ugwadu yaani saizi wanaume wanaweza wakakaa muda mrefu bila Kuonja mbususu na mambo yakaenda.

Na mlisahau katika haya Maisha mwanamke ndio anamuhitaji mwanaume Kipita maelezo na mwanaume huyo ndio hana muda na nyie sasa.[emoji2][emoji2][emoji2]
Umeona eeh!! Wanawake wanakosa attention kwa sasa
 
Wanawake wajinga sasa ,mwaka Jana nilikuwa na mwanangu akihamia eneo ya kazi ni mtu wa kondoa sema ,alikaa sana chuga ukimuona ni mweupe jamaa alioa mapema mpaka anakuja kazini alikuwa ana mtoto ana miaka kama 3....Basi jamaa
Ndio vilivyo vimekosa attention na soko vimebaki kutupakazia huu ujinga lkn wanaume kama tulivyo kubaliana mwanamke kwetu ni kachumbari tu awepo asiwepo mambo poa dole kuna mengi ya kufanya nje ya kuchezea vududu
 
Ndio vilivyo vimekosa attention na soko vimebaki kutupakazia huu ujinga lkn wanaume kama tulivyo kubaliana mwanamke kwetu ni kachumbari tu awepo asiwepo mambo poa dole kuna mengi ya kufanya nje ya kuchezea vududu
🤣🤣🤣🤣
 
Ndio vilivyo vimekosa attention na soko vimebaki kutupakazia huu ujinga lkn wanaume kama tulivyo kubaliana mwanamke kwetu ni kachumbari tu awepo asiwepo mambo poa dole kuna mengi ya kufanya nje ya kuchezea vududu
😄😄😄😄
 
Ungesema hivii wanaume sikuhizi hawana muda na wanawake ningekuelewa.

Na kiukweli wanaume wameamua kutafuta furaha na starehe sehemu nyingine kiufupi wanawake Hampati ile attention mlio kuwa mmeizoea kutoka kwa wanaume.

Tatizo mlilinga sana hadi wanaume wakawa sugu wa ugwadu yaani saizi wanaume wanaweza wakakaa muda mrefu bila Kuonja mbususu na mambo yakaenda.

Na mlisahau katika haya Maisha mwanamke ndio anamuhitaji mwanaume Kipita maelezo na mwanaume huyo ndio hana muda na nyie sasa.[emoji2][emoji2][emoji2]
Sawa 🙄
 
Ndio vilivyo vimekosa attention na soko vimebaki kutupakazia huu ujinga lkn wanaume kama tulivyo kubaliana mwanamke kwetu ni kachumbari tu awepo asiwepo mambo poa dole kuna mengi ya kufanya nje ya kuchezea vududu
🤣🤣🚴🚴🤸
 
Back
Top Bottom