Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna, sisi tumeshaamuaSpika natatoka bara tena atakua mkristo
Of course.Niliandika tuSpika lazima atokane na CCM ni nafasi vyeti hawezi kupewa mtu from ni where
Atupwe kule, huyu atakuwa anafata maelekezo ya NdungaiKwanza ni mfuasi na kiongozi mwandamizi wa lile kundi alilotoka Ndugai, kundi lililotaka Rais Samia asigombee 2025 na kupanga mikakati ya kumdhoofisha Mh. Rais.
Pili ni mtu asiyeamini katika kazi za Rais Samia, Tulia hakuwahi kuvaa barakoa wala kuhamasisha chanjo hadharani sio ndani wala nje ya bunge.
Tatu Tulia amekuwa aki provoke Mawaziri na wabunge walio nje ya kundi lao wakati wa vikao vya bunge na kuwapa credit wale walio katika kundi lao almaarufu "Sukuma Gang".
Nne Kundi la upinzani kwa Rais Samia bungeni almaarufu kama Sukuma Gang linamtegemea Tulia kama muhimili wao katika kujiimarisha kuelekea 2025 baada ya Ndugai kufurushwa
Tano Tulia hajawahi kujivunia kuwa na Rais Mwanamke. Tangu Samia aingie madarakani tulia is upset hatujui sababu ni msiba ule au ana conflict binafsi na Madam President
Vipimo vya uzani, vinakataa kuwa Tulia anaweza kubahatika kuwa kiongozi kwenye muhimili wa Bunge ama Spika ama kuendelea kuwa Naibu baada ya hili sakata la boss wake ambaye yeye ni mtu wa jikoni kabisa.
Vipimo vinasoma chini ya uzani wa wastani.
Rais Samia 2025
KAZI IENDELEE
Japokuwa simkubali Tulia lakini huu ni ujinga tu ulioandika yaani kifupi ni "nonsense"Kwanza ni mfuasi na kiongozi mwandamizi wa lile kundi alilotoka Ndugai, kundi lililotaka Rais Samia asigombee 2025 na kupanga mikakati ya kumdhoofisha Mh. Rais.
Pili ni mtu asiyeamini katika kazi za Rais Samia, Tulia hakuwahi kuvaa barakoa wala kuhamasisha chanjo hadharani sio ndani wala nje ya bunge.
Tatu Tulia amekuwa aki provoke Mawaziri na wabunge walio nje ya kundi lao wakati wa vikao vya bunge na kuwapa credit wale walio katika kundi lao almaarufu "Sukuma Gang".
Nne Kundi la upinzani kwa Rais Samia bungeni almaarufu kama Sukuma Gang linamtegemea Tulia kama muhimili wao katika kujiimarisha kuelekea 2025 baada ya Ndugai kufurushwa
Tano Tulia hajawahi kujivunia kuwa na Rais Mwanamke. Tangu Samia aingie madarakani tulia is upset hatujui sababu ni msiba ule au ana conflict binafsi na Madam President
Vipimo vya uzani, vinakataa kuwa Tulia anaweza kubahatika kuwa kiongozi kwenye muhimili wa Bunge ama Spika ama kuendelea kuwa Naibu baada ya hili sakata la boss wake ambaye yeye ni mtu wa jikoni kabisa.
Vipimo vinasoma chini ya uzani wa wastani.
Rais Samia 2025
KAZI IENDELEE
Ameutuma uje umuokoeJapokuwa simkubali Tulia lakini huu ni ujinga tu ulioandika yaani kifupi ni "nonsense"
I have nothing to do with that shit ila hata wewe huna hoja za msingi dhidi ya hili nachelea kusema hata wewe huna credibility za kumnanga huyo tulia maana bandiko lako halina mantiki.Ameutuma uje umuokoe
Ukiwa kundi pinzani ndani ya Chama
Tegemea ayo mambo kukuharibikia muda wowote
Tulia anahusika na wale wanaojiita Sukuma ganga
Mkuu wasamehe ndio kiwango cha upeo wetu.Hapa hoja zingine ni mufilisi kabisa.
Mfano, "hajawahi kuvaa barakoa" so what? Tusiwe na akili za kushikiwa. Wewe unavaa barakoa kwasababu rais anavaa au kwasababu unajihisi uko hatarini?
Eti hajawahi kujivunia kuwa na raisi mwanamke? Hii ni hoja mfu kabisa. Tanzania haihitaji raisi mwanamke ila inahitaji rais atakayetoa dira ya kuondoa umasikini ujinga na maradhi bila kujali jinsia. Unapojivunia uwanamke kwani tunataka azae au unajivunia kipi?
Tumedhoofishwa kifikra hadi tunasifu vitu vya kipumbavu. Kwa namna hii tutatawaliwa na mabeberu hadi tunyooke.
Kwanza ni mfuasi na kiongozi mwandamizi wa lile kundi alilotoka Ndugai, kundi lililotaka Rais Samia asigombee 2025 na kupanga mikakati ya kumdhoofisha Mh. Rais.
Pili ni mtu asiyeamini katika kazi za Rais Samia, Tulia hakuwahi kuvaa barakoa wala kuhamasisha chanjo hadharani sio ndani wala nje ya bunge.
Tatu Tulia amekuwa aki provoke Mawaziri na wabunge walio nje ya kundi lao wakati wa vikao vya bunge na kuwapa credit wale walio katika kundi lao almaarufu "Sukuma Gang".
Nne Kundi la upinzani kwa Rais Samia bungeni almaarufu kama Sukuma Gang linamtegemea Tulia kama muhimili wao katika kujiimarisha kuelekea 2025 baada ya Ndugai kufurushwa
Tano Tulia hajawahi kujivunia kuwa na Rais Mwanamke. Tangu Samia aingie madarakani tulia is upset hatujui sababu ni msiba ule au ana conflict binafsi na Madam President
Vipimo vya uzani, vinakataa kuwa Tulia anaweza kubahatika kuwa kiongozi kwenye muhimili wa Bunge ama Spika ama kuendelea kuwa Naibu baada ya hili sakata la boss wake ambaye yeye ni mtu wa jikoni kabisa.
Vipimo vinasoma chini ya uzani wa wastani.
Rais Samia 2025
KAZI IENDELEE
Tunasubiri Mkuu PDr Tulia Akson Mwansasu ndiye Spika wetu mpya ajaye. Utanisamehe, sio mimi, bali ni sauti hii
Hivyo endeleeni kusema yoote, mwisho wa siku Spika ni yule tuu aliyepangiwa, hivyo kama sauti hiyo ni ya ukweli, ... then Spika wetu mpya ni Dr. Tulia.Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...www.jamiiforums.com
P
Imani ya Bunge kwa nani? Imani gani hiyo unayoisemea? Je chini ya Ndugai ilijengwa?Kwanza ni mfuasi na kiongozi mwandamizi wa lile kundi alilotoka Ndugai, kundi lililotaka Rais Samia asigombee 2025 na kupanga mikakati ya kumdhoofisha Mh. Rais.
Pili ni mtu asiyeamini katika kazi za Rais Samia, Tulia hakuwahi kuvaa barakoa wala kuhamasisha chanjo hadharani sio ndani wala nje ya bunge.
Tatu Tulia amekuwa aki provoke Mawaziri na wabunge walio nje ya kundi lao wakati wa vikao vya bunge na kuwapa credit wale walio katika kundi lao almaarufu "Sukuma Gang".
Nne Kundi la upinzani kwa Rais Samia bungeni almaarufu kama Sukuma Gang linamtegemea Tulia kama muhimili wao katika kujiimarisha kuelekea 2025 baada ya Ndugai kufurushwa
Tano Tulia hajawahi kujivunia kuwa na Rais Mwanamke. Tangu Samia aingie madarakani tulia is upset hatujui sababu ni msiba ule au ana conflict binafsi na Madam President
Vipimo vya uzani, vinakataa kuwa Tulia anaweza kubahatika kuwa kiongozi kwenye muhimili wa Bunge ama Spika ama kuendelea kuwa Naibu baada ya hili sakata la boss wake ambaye yeye ni mtu wa jikoni kabisa.
Vipimo vinasoma chini ya uzani wa wastani.
Rais Samia 2025
KAZI IENDELEE
Nchi gani imewahi kuuzwaChange akirudishwa kuwa spika Kuna siku watanzania watalia na kusaga meno
Tumshukuru Sana Magufuli alitutolea huyu mtu hapo Bungeni
Ni mtu hatari Sana, nchi itauzwa hii, Na Sasa atarudi akiwa na hasira mara dufu
Msithubutu kabisa jamani ndugu zetu wabunge
Tuoneeni huruma wananchi
Imani ya Bunge kwa nani? Imani gani hiyo unayoisemea? Je chini ya Ndugai ilijengwa?Kwanza ni mfuasi na kiongozi mwandamizi wa lile kundi alilotoka Ndugai, kundi lililotaka Rais Samia asigombee 2025 na kupanga mikakati ya kumdhoofisha Mh. Rais.
Pili ni mtu asiyeamini katika kazi za Rais Samia, Tulia hakuwahi kuvaa barakoa wala kuhamasisha chanjo hadharani sio ndani wala nje ya bunge.
Tatu Tulia amekuwa aki provoke Mawaziri na wabunge walio nje ya kundi lao wakati wa vikao vya bunge na kuwapa credit wale walio katika kundi lao almaarufu "Sukuma Gang".
Nne Kundi la upinzani kwa Rais Samia bungeni almaarufu kama Sukuma Gang linamtegemea Tulia kama muhimili wao katika kujiimarisha kuelekea 2025 baada ya Ndugai kufurushwa
Tano Tulia hajawahi kujivunia kuwa na Rais Mwanamke. Tangu Samia aingie madarakani tulia is upset hatujui sababu ni msiba ule au ana conflict binafsi na Madam President
Vipimo vya uzani, vinakataa kuwa Tulia anaweza kubahatika kuwa kiongozi kwenye muhimili wa Bunge ama Spika ama kuendelea kuwa Naibu baada ya hili sakata la boss wake ambaye yeye ni mtu wa jikoni kabisa.
Vipimo vinasoma chini ya uzani wa wastani.
Rais Samia 2025
KAZI IENDELEE
Ilitoka ndio kwani potential candidates si walijulikana mapema kwa hiyo sio ajabu kwa sababu Kati ya wote yeye ndio mwenye uzoefu.Hii ilitoka hata kabla hajachukua fomu
Kama na Wewe Ngungenge umeliona hilo sisi tusemeje? Ingawa hakuna bunge la maana lakink hata hilo Tulia Ackson hafai. Anaangalia maslahi binafasi tu.Kwanza ni mfuasi na kiongozi mwandamizi wa lile kundi alilotoka Ndugai, kundi lililotaka Rais Samia asigombee 2025 na kupanga mikakati ya kumdhoofisha Mh. Rais.
Pili ni mtu asiyeamini katika kazi za Rais Samia, Tulia hakuwahi kuvaa barakoa wala kuhamasisha chanjo hadharani sio ndani wala nje ya bunge.
Tatu Tulia amekuwa aki provoke Mawaziri na wabunge walio nje ya kundi lao wakati wa vikao vya bunge na kuwapa credit wale walio katika kundi lao almaarufu "Sukuma Gang".
Nne Kundi la upinzani kwa Rais Samia bungeni almaarufu kama Sukuma Gang linamtegemea Tulia kama muhimili wao katika kujiimarisha kuelekea 2025 baada ya Ndugai kufurushwa
Tano Tulia hajawahi kujivunia kuwa na Rais Mwanamke. Tangu Samia aingie madarakani tulia is upset hatujui sababu ni msiba ule au ana conflict binafsi na Madam President
Vipimo vya uzani, vinakataa kuwa Tulia anaweza kubahatika kuwa kiongozi kwenye muhimili wa Bunge ama Spika ama kuendelea kuwa Naibu baada ya hili sakata la boss wake ambaye yeye ni mtu wa jikoni kabisa.
Vipimo vinasoma chini ya uzani wa wastani.
Rais Samia 2025
KAZI IENDELEE
Ana ID nyingiNa wewe unaendaga wapi
Unapotea mwaka mzima
Mihimili yote wanawake na kule Inteligence tutaweka mwanamke. Mahakama mwanamke.Nasikia ameshaongezewa ulinzi.
Lakini mihimili miwili kuongozwa na sidhani kama vidume vitakubali.