Una mawazo ya kimasikini kweli wewe.Nimekwambia wewe kibibi. Ukitaka kujadiliana na mimi njoo na facts.
Mipasho ya kwenye madrasa wapelekee wapuuzi wenzako. Hapa tunaongea kwa facts.
Njoo na facts acha porojo.
Tena umeshindwa kabisa kuzuia hisia zakonza udiniUdini tena. Achana ns inferiority complex.
Leta facts wewe acha mbwembwe.Una mawazo ya kimasikini kweli wewe.
Masikini siku zote anamwombea mabaya tajiri kwa kudhani tajiri akianguka basi utajiri utaenda kwake
hizo rasilimali ni za tanganyika, nakuuliza wewe bichwa flat uko kwenu makunduchi mna nini?.......stupidMijitu mengine mijinga nikuulize wewe umefaidika na nini na rasilimali zilizokuwemo nchini kwako? tz tuna kila aina ya madini na gesi yenye thamani ya mabilioni ya dola lakini hutafaidiki navyo,warabu ata mafuta yakiisha leo hawaweezi kufilisika wale wanajua kutumia rasilimali zao kuwanufaisha.
Hapa tunaongelea agenda. Mwenzetu unapiga domo. Hapa siyo jukwaa la wapiga domo. Tunajadili kwa facts.Tena umeshindwa kabisa kuzuia hisia zakonza udini
Mkuu waache wajinga wajazane ujinga.Kweli tunawacheka UAE leo
Wao wamewekeza sana kwao na miradi na viwanda vya kila aina
Dunia inahamia kwenye magari ya umeme na hapo kuna batteries za magari ambapo wanaweza kuwa na viwanda pia hata vya magari
Sisi tunapambana kuwa na mlo mmoja tu
Hawategemei mkataba mmoja kwani kama ni njaa wachina wamemaliza misitu na kuiba rasilimali za Africa bila mikataba ya milele bali wanachota kama kwao
Waarabu wamenunua makampuni ya ulaya mengi sana na hata nusu ya majengo ya London ni ya kwao pamoja na makampuni
Sisi wenye dhahabu kila sehemu hatuna hata duka moja Dubai wala Paris
Halafu tuna uwezo wa kuwasema wao eti mafuta yanaisha
Sisi hata maji mwanza ya tabu wakati maji yamejaa
Wao unafikiri maji wanachota ziwa nyasa?
Tujiangalie sisi na tujiulize tunaenda wapi
Siyo kweli. Hakuna viwanda vya kila aina huko.Kweli tunawacheka UAE leo
Wao wamewekeza sana kwao na miradi na viwanda vya kila aina
Dunia inahamia kwenye magari ya umeme na hapo kuna batteries za magari ambapo wanaweza kuwa na viwanda pia hata vya magari
Sisi tunapambana kuwa na mlo mmoja tu
Hawategemei mkataba mmoja kwani kama ni njaa wachina wamemaliza misitu na kuiba rasilimali za Africa bila mikataba ya milele bali wanachota kama kwao
Waarabu wamenunua makampuni ya ulaya mengi sana na hata nusu ya majengo ya London ni ya kwao pamoja na makampuni
Sisi wenye dhahabu kila sehemu hatuna hata duka moja Dubai wala Paris
Halafu tuna uwezo wa kuwasema wao eti mafuta yanaisha
Sisi hata maji mwanza ya tabu wakati maji yamejaa
Wao unafikiri maji wanachota ziwa nyasa?
Tujiangalie sisi na tujiulize tunaenda wapi
79% ni wehu ndio wanaoiweka Chama Twawala madarakani!Hiyo 4 billion ndiyo hawana hao. Hata Tanzania tumewapita na tu masikini (wa akili) gas tuliyonayo ukiibadili kwa mafuta ni zaidi ya pipa trillion 10.
wewe zimekufaidisha mpaka sasaivi?hizo rasilimali ni za tanganyika, nakuuliza wewe bichwa flat uko kwenu makunduchi mna nini?.......stupid
Sasa nani mkweli, tumia akili ya kawaida tuThe UAE's reserves-to-production is about 18 years
Nani mkweli?? Tumia akili ya kawaida.The UAE's reserves-to-production is about 18 years
Hao jamaa wana akili kuliko sisi ndiomaana tumewazidi rasilimali na wao wametuzidi utajiri,... nani yuko matawi ya juu anatamani kurudi chini? Hata ujambazi atafanya abaki kule kule juu.
Aliyeko juu usimngoje chini mfate hukohuko juu, utangoja milele dadaUmeshawahi kusoma kisa cha Nauru?
Nenda kasome uelewe mambo ya uchumi. Nauru was the richest country in the World. But now is among the poorest countries in the world.
Nenda kasome kisa cha Nauru kisha uje hapa.
Yakiisha waje kuchimba kwetuLeta facts wewe acha mbwembwe.
Topic tunayoongelea ni 18 to come United Arab Emirates itakuwa imeishiwa mafuta.
Wewe maoni yako ni yapi?
Sina haja ya kubishana na chawa. Najadili na watu waona jielewa. Ambao wapo kwa ajili ya maslahi ya nchi si ushabiki. Rejea kumbukumbu ya hotuba ya mama. Kipindi cha mwanzo alisameje juu ya madini kuchimbwa yaliyoko kwenye hifadhi au mbuga.Umeandika ushuzi na uongo mwingi. Mwaka 2015 aliyekuwa mgombea urais mwenye kashfa ya ufisadi kupitia CHADEMA, Lowassa ndo alisema akiupata urais atatumia rasilimali za nchi kukopa.
Indeed tuna majitu majinga sana, tuna gas ya matrillion lakini wananchi wengi bado wanatumia kuni, imagine gas kama ile bado tuna migawo ya umeme na uliopo ni very expensive, tuna ardhi safi, maziwa na mito ya kuzalisha mpaka tukauza nje lakini hata mafuta ya kula na sukari tunaagiza kutoka nje, dhahabu tunachimba tangu 90's lakini hatuna hata dollar ya kuagiza mafuta, hatuna cha kuonyesha kwa huo utajiri zaidi ya mashimo waliyotuachia mabeberu, sasa wanataka kuuza bandari, maziwa na anga, hawa mbwa wata control mpaka maji yetu ya kunywa au ya kilimo tusipoangalia, DP ikataliwe kwa nguvu zote... ndio maana wanataka kuifungisha nchi yetu tukufu ndoa ya milele kwa faida zao! CCM na mafisadi hawaoni Hilo as long wamelipwa vihongo wako tayari kuliuza taifa.
Vipi wale wabunge wote, serikali inayowabambikia watu kesi za uhaini, mahakama zinazokubaliana na mkataba na vibaka wa JF wanaounga mkono DP, hao wote wako plotted? nafikiri ni akili mbovu tuu ya mtu mweusiAu huyu tulinae ni kawa plotted na wajomba zake?